Mimi naona tuachane na hili suala, miaka 50 imepita tumechelewa ni wakati muafaka kuangalia zaidi maendeleo ya kiuchumi! watu bado maskini sana, maliasili za taifa zinaibwa, siasa inapoteza pesa nyingi wananchi wanaumia na kupanda kwa vyakula, mafuta n.k.
Hili vazi halina tija yoyote, labda...