Recent content by Abdul

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nyoni, Mtasiwa, Mponda, Nkya Must go!

    Mgomo: Hali ni mbaya Watu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, akisema yeye na timu yake hawawezi kujiuzulu kwa sababu ya mgomo wa madaktari, Kamati ya Muda ya Jumuiya ya Madaktari wanaoendelea na mgomo huo, jijini Dar es Salaam, imesema hawako tayari kumfuata Waziri Mkuu...
  2. A

    JamiiForums Tanzania U.S. warns Iran on Strait of Hormuz

    US aangali muiran hayupo vibaya sana! ni agalizo tu
  3. A

    JamiiForums Tanzania Je, tunahitaji Vazi la Taifa?

    Mimi naona tuachane na hili suala, miaka 50 imepita tumechelewa ni wakati muafaka kuangalia zaidi maendeleo ya kiuchumi! watu bado maskini sana, maliasili za taifa zinaibwa, siasa inapoteza pesa nyingi wananchi wanaumia na kupanda kwa vyakula, mafuta n.k. Hili vazi halina tija yoyote, labda...
  4. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amfumania mumewe akipopolewa na hausi boy

    Ndio anayotaka cameroon hayo! haki za binadamu mtu kuliwa kiboga! laana kumu-llah9Laana ya mwenyezi mungu hiyo)
  5. A

    JamiiForums Tanzania Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

    Mimi nafikiri hili suala limefika pazuri, ni wakati wa wananchi kudai katiba mpya, makongamano yafanywe kwa vijana na wamachinga wasiachwe nyuma ili kujadili kwa kina.inauma sana kuona wazee wanatuburuza.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Masikini Wee Jiji la Dar es salaam

    Tatizo nchi hii watu wanapenda rushwa, wakaguzi wakienda kiwandani wanapewa kitu kidogo, sungusungu irudi lyatonga uko wapi?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mtukufu Ramadhani!

    As-salaam Aleikum, Ya ayyuha allatheena amanoo kutiba AAalaykumu alssiyamu kama kutiba AAala allatheena min qablikum laAAallakum tattaqoona O ye who believe! Fasting is prescribed to you as it was prescribed to those before you, that ye may (learn) self-restraint,- ( Al Baqarah 2:183)...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mtukufu Ramadhani!

    Mwezi huu ramadhani,ibada nyingi fanyeni
  9. A

    JamiiForums Tanzania East African Federation (EAF) public Views

    nashukuru kupata nafasi hii ya kuchangia uwepo/kutokuwepo kwa jumuiya hiyo.akumbuka hapo zamani nikiwa mdogo kulikuwa na jumuiya hii ambayo wazee wetu waliiunda ikawafaa lakini kuna wajanja wakafanya kaujanjaujanja wa kipuuzi tu wakauvunja,leo hii wapo!mimi nafikiri tuwaite!hatuwasuti la hasha...
Back
Top Bottom