U.S. warns Iran on Strait of Hormuz

U.S. warns Iran on Strait of Hormuz

Mkubwa ni moja tu ni Mwenyezi Mungu, mataifa makubwa huangushwa na mataifa madogo, farao aliangushwa na musa asiye na jeshi bali haki..

Wamerakani hawawezi kundesha dhulma wakabaki, na kwa hili la Irani hasara ya kijeshi na kiuchumi na kubwa mno kwa taifa lao, wapinzani wa ndani wameongezeka yote hiyo ni dalili mbaya kwao..

Hawawezi kitu, mbona wanashinikiza vikwazo wasiende vitani? kama kweli ni taifa kubwa? oops
Kama inavyosemekana, samaki hawezi kupigana na maji, binadamu nasisi hatuwezi kupigana na hewa.

Mimi nazungumzia facts na reality, where as wewe unazungumzia kishabiki na kipropaganda, my self i'm just analysing.

Wapinzani wa ndani unaozungumzia ni wapi hao? Ama kuna news za kipropaganda unasoma na zimeharibu uwezo wako wa kuona ukweli?

Si kweli kwamba wanaweka vikwazo kwasababu hawawezi kwenda vitani, hiyo ni mojawapo ya njia za kuelekea vitani, sijui kwanini huchambui issue na kuinclude reality.

Ni ukweli kwamba wana njia ambazo wanazitumia ku eaxhaust options zote kabla ya vita ili kuondoa lawama.

Huwa wanasema wanaanza na diplomasia, ikishindikana ni vikwazo, ikishindikana ni vita, ndo ukweli huo, na issue ya Iran haijaanza kwenye utawala wa Obama, ilianza long time ago na trust me ineelekea ukiongoni.

Hayo ya mataifa makubwa kunagusha madogo ni propaganda alizokuwa akizitumia Bin Laden kuwadanganya Taliban wakaingia vitani na US.

Ni ukweli kuwa vita hiyo imewacost, lakini ni ukweli pia wanashirikiana na NATO, hizo stori za Farao hazina mantiki kwenye generation hii ya sasa, the pwerfull will always rule.

Ni kweli recently, USSR ilianguka kwa kuingia vitani na Afghanistan kwa miaka kumi, wakati huo Bin Laden akiwa kamanda, lakini credit inawaendea hao Taliban kuhusu kuanguka kwa USSR?

Jibu unali, mmarekani alikuwa nyuma ya Taliban na kina Bina Laden, ndo hapo mmarekani na wenzake wanapowashinda hao watu, kwanza wanajuwa madhaifu yao na wanayatumia vilivyo kuwatawala na kushinda vita dhidi yao.

We unadhani kwanini waliweza kumnasa Bina Laden?

Unadhani ni kwanini wanaweza kuivamia nchi yoyote ya middle east na wakapata sapoti ya nchi jirani za huko kumvamia jirani mwenzao?

Akitaka kumwondoa Sunni anamtumia Shia and vice versa.
 
Vituo vyote vya kijesho vya Marekani katika Mashariki ya kati na maeneo yanayopakana (umbali wa kilometa 2000 kutoka Irani) hayampi homa Iran kwani ana uwezo wa kuyaangamiza kwa makombora ya kutengeneza yeye mwenyewe (Ref. messenger of death to enemies of Iran).
 
Vituo vyote vya kijesho vya Marekani katika Mashariki ya kati na maeneo yanayopakana (umbali wa kilometa 2000 kutoka Irani) hayampi homa Iran kwani ana uwezo wa kuyaangamiza kwa makombora ya kutengeneza yeye mwenyewe (Ref. messenger of death to enemies of Iran).
kwani usa hana zaidi ya hayo?
 
Vituo vyote vya kijesho vya Marekani katika Mashariki ya kati na maeneo yanayopakana (umbali wa kilometa 2000 kutoka Irani) hayampi homa Iran kwani ana uwezo wa kuyaangamiza kwa makombora ya kutengeneza yeye mwenyewe (Ref. messenger of death to enemies of Iran).

mwataka kujitia confidence tu. Iran peke yake haiwezi hata waaanzishe ile inayoitwa sting operation dhidi ya marekani. nina uhakika wanatizamwa tu( hao iran) watashikwa offguard jinsi Libya na gadaffi walivopatikana.
 
Nchi za Ulaya sasa zaiomba Iran isisitishe uuzaji mafuta

Bunge_Iran012.jpg

Nchi nne za Ulaya zimeiomba Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani Bunge la Iran, kutopitisha muswada wa sheria ya kupiga marufuku uuzaji mafuta katika nchi za umoja wa Ulaya.
Nasser Sudani Naibu Mkuu wa Kamati ya Nishati Bungeni ameliambia Shirika la Habari la Fars kuwa mabalozi wa Ufaransa, Ugiriki, Italia na Ujerumani mjini Tehran wamefika bungeni na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa lengo la kuomba kutopitishwa muswada wa kusimamisha uuzaji mafuta katika nchi za Umoja wa Ulaya.
Bunge la Iran limetayarisha muswada wa sheria ambao utapelekea kupigwa marufuku uuzaji mafuta ghafi ya petroli katika nchi za Umoja wa Ulaya ambazo hivi karibuni zimeiwekea Iran vikwazo vya mafuta.
Wakati huo huo Waziri wa Mafuta wa Iran Rostam Qasemi amesema Iran itakata uuzaji mafuta kwa baadhi ya nchi za Ulaya.
Qasemi hakuzitaja nchi hizo lakini amesisitiza kuwa uamuzi wa Iran ni wa kulipiza kisasi kufuatia hatua ya Umoja wa Ulaya kuwekea vikwazo mafuta ghafi ya petroli kutoka Iran kuanzia Julai mosi.

SOURCE:
http://kiswahili.irib.ir/index.php?...itishe-uuzaji-mafuta&catid=1:latest&Itemid=74
 
Kwa hali hii, tusubili anguko kubwa la ulaya.
 
Kazi kweli kweli hawa jamaa hawawezekani na israel hawezi kusogea peke yake, inabidi ajaribu kuomba USA waende nye kweye vita.


 
Last edited by a moderator:
Obama: Israel haiwezi kuishambulia kijeshi Iran
Rais Barack Obama wa Marekani amesema Utawala haramu wa Kizayuni hauwezi kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran kwani matokeo yake yatakuwa muhali kudhibiti.
Akizungumza kwenye mahojiano na kanali ya NBC mjini Washington, Rais Obama
amekariri matamshi yake ya huko nyuma kwamba Marekani itaendelea kuuunga mkono kwa hali na mali utawala haramu wa Israel. Aidha kiongozi huyo wa Marekani amekiri kuwa kadhia ya nyuklia ya Iran inaweza kutatuliwa vyema zaidi kupitia mazungumzo. source: Obama: Israel haiwezi kuishambulia kijeshi Iran
obama-frustrated4.jpg
 
Manoari za Iran zatia nanga katika bandari ya Jeddah, Saudi Arabia
JeshiMajini.jpg
Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Msafara wa 18 wa Meli za Kivita za Iran zimetia nanga katika bandari ya Jeddah nchini Saudi Arabia kwa lengo la kuonyesha uwezo wa Iran katika maji ya Kimataifa.
Admeli Habibollah Sayyari amesema msafara huo wenye meli za kivita na za kutoa huduma uliwasili Jeddah Ijumaa katika fremu ya amri ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya kutaka manoari za Iran ziingie katika maji ya kimataifa.
Amesema msafara wa manoari za Iran unalenga kuthibitisha nguvu za majini za Iran na kukabiliana na njama za Wamagharibi za kueneza chuki dhidi ya Iran. Ameongeza kuwa meli za kivita za Iran zina ujumbe wa amani na urafiki kwa nchi za eneo.

Mwaka jana Iran ilituma manoari zake hadi Bahari ya Mediterranean kupitia Mfereji wa Suez. Manoari za kivita za Iran pia zinalinda doria katika Ghuba ya Aden kwa lengo la kukabiliana na maharamia. Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya bahari IMO limepongeza mafanikio ya Jeshi la Wanamaji la Iran katika kukabiliana na maharamia
 
Obama: Israel haiwezi kuishambulia kijeshi Iran
Rais Barack Obama wa Marekani amesema Utawala haramu wa Kizayuni hauwezi kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran kwani matokeo yake yatakuwa muhali kudhibiti.
......../QUOTE]
Anataka wairani warelax ili aje washtukze na mashambulizi ya kuvizia. Sio wakuamini
 
Mafuta yapanda baada ya Iran kutangaza nia yake ya kusitisha uuzaji mafuta kwa nchi 6 za Ulaya
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itasitisha uuzaji mafuta ghafi ya petroli kwa nchi sita za Umoja wa Ulaya. Nchi hizo ni pamoja na Uholanzi, Uhispania, Italia, Ufaransa, Ugikiri na Ureno.
Kupandamafuta.jpg
Mapema jana Jumatano mabalozi wa Ufaransa, Uhispania na Ugiriki mjini Tehran waliitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ambapo walifahamishwa kuwa Iran imechukua maamuzi mapya kuhusu uuzaji mafuta kwa nchi hizo.
Mabalozi hao wamefahamishwa kuwa nchi zao zinapaswa kutia saini mikataba ya muda mrefu ya kununua mafuta ya Iran la sivyo Iran itasitisha uuzaji mafuta. Wakati huo huo Balozi wa Ufaransa mjini Tehran Bernard Poletti leo amesema kuwa uamuzi wa Iran utazidisha mashinikizo dhidi ya nchi za Ulaya. Amesema Paris inaamini kuna udharura wa kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Tangazo la Iran la kuzipa nchi za Ulaya muhula limepelekea bei ya mafuta ghafi ya petroli aina ya Brent imepanda kwa dola $1.83 na kufika dola $119.18. Hii ni bei ya juu zaidi katika soka la kimataifa tokea mwezi Agosti mwaka jana
 
[h=2]Russia says anti-Iran sanctions have had zero effect[/h]


0dd1821f32dbebe0aa3b115e45130013_L.jpg

Russia’s Deputy Foreign Minister Sergei Ryabkov describes sanctions imposed against Iran as having “zero” effect, hours after Iran announced its latest nuclear achievements.

According to Press TV, he said on Wednesday: "The alternative to sanctions is the introduction of a serious negotiations process with the Iranian side."
Ryabkov added that talks must be aimed at "a search for compromises and the proposal of a solution scheme that could interest the Iranian side."
Sending a letter to EU foreign policy chief Catherine Ashton, Secretary of Iran Supreme National Security Council Saeed Jalili announced Tehran’s readiness to resume talks with the P5+1 --China, France, Russia, the UK and the US plus Germany.
Jalili said the success of negotiations is tied to the P5+1’s constructive approach to Iran's initiatives.
Iran and the P5+1 held two rounds of multifaceted talks in Geneva in December 2010 and in the Turkish city of Istanbul in January 2011.
While Tehran says it is ready to continue the talks based on common grounds, it has stressed that it will not give up any of its rights.
Ryabkov said Russia sees no "hard, unequivocal evidence" that Iran is pursuing military objectives in its nuclear program.

Source: Russia says anti-Iran sanctions have had zero effect
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Iran yazindua miradi muhimu ya nyuklia[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]
MiradiNyuklia.jpg
Fito za kwanza zilizotengenezwa Iran za uzalishaji fueli ya nyuklia zimeanza kutumika katika Tanuri Nyuklia ya Utafiti ya Tehran. Kufuatia hatua hiyo, tanuri nyuklia hiyo itakuwa na uwezo wa kuzalisha fueli ya nyuklia kwa kiwango cha asilimia 20
Rais Mahmoud Ahmadinejad amehudhuria sherehe za uzinduzi huo ambapo amepewa maelezo kamili na wataalamu Wairani wa Shirika la Atomiki la Iran. Kufuatia mafanikio hayo, Iran sasa imechukua hatua ya mwisho kukamilisha mzunguzko wa uzalishaji mafuta ya nyuklia. Katika hafla hiyo vile vile kumezinduliwa dawa za kinyuklia zilizotengenezwa na wataalamu wa Iran na ambazo zinatumika kuwatibu watu wenye magonjwa sugu. Wakati huo huo Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran Fereydoun Abbasi amesema Iran imeweka mashinepewa yaani sentrifiji za kisasa kabisa katika Kituo cha Nyuklia cha Natanz. Ameongeza kuwa baada ya miezi michache Iran itaanza kuzalisha aina mpya ya keki ya njano inayotumika katika utengenezaji fueli ya nyuklia.
Shughuli hizo zote za nyuklia za Iran zinafanyika chini ya usimamizi wa wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

Source:Iran yazindua miradi muhimu ya nyuklia[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Japan PM warns Israel against attacking Iran
rabbani20120216074216547.jpg
Israel's Deputy Prime Minister and Defense Minister Ehud Barak (L) meets with Japanese Prime Minister Yoshihiko Noda at the latter's official residence in Tokyo on February 15, 2012.

Thu Feb 16, 2012 8:54AM GMT







Japanese Prime Minister Yoshiko Noda has warned Israel against the ramifications of launching a military strike on Iran over Tehran’s nuclear program.


Noda told visiting Israeli Defense Minister Ehud Barak in a meeting that an attack on Iran would be ''extremely dangerous'' and would ''escalate'' the situation in the region.

Earlier this month, Barak claimed that if the Western sanctions against Iran fail to stop its nuclear program, military action against the country must be placed on its agenda.

The United States, Israel and their European allies accuse Tehran of pursuing military objectives in its nuclear program and have used this pretext to push for international and unilateral sanctions against the Islamic Republic.

Washington and Tel Aviv have also repeatedly threatened Iran with a military option in a bid to force the Islamic Republic to halt its peaceful nuclear program, which has been closely monitored by inspectors from the International Atomic Energy Agency (IAEA).

Iran has fiercely rejected the Western publicity that its nuclear program may be diverted to military objectives while insisting that as a signatory to the nuclear Non-Proliferation Treaty and a member of the IAEA, it is entitled to pursue nuclear technology for its numerous civilian uses and benefits.

Such war threats and rhetoric have been derided by Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyyed Ali Khamenei as well as other senior officials and armed forces commanders, who have persistently rejected the US-Israeli psywar campaign against Iran and declared the country’s total readiness in deterring and confronting any attacks on its assets and interests.

AR/GHN/MA

SOURCE: PressTV - Japan PM warns Israel against attacking Iran
 
Kwa hali hii, tusubili anguko kubwa la ulaya.

Kabla Ulaya haijaanguka, Iran itakuwa ya kwanza. Subiri uchaguzi wa Ufaransa na US uishe mwaka huu. Iran itapewa kichapo kwa tabia hii ya kuleta uncertainty katika uchumi wa dunia. Marekani haihitaji kuipiga Iran mapema ila inaweza fanya hivyo mwishoni mwa October kama Obama atakuwa kazidiwa kete kwenye kampeni. Kuipiga Iran kwa sasa ni kuhatarisha uchumi wa dunia na matokeo yake ni kupoteza uchaguzi mwishoni mwa mwaka.
 
Migogoro hii ni ya kipuuzi na ya kuudhi...uroho wa mali ,,nguvu na ushawishi katika dunia hii ndio mchezo unaoendelea ktk sakata hjili la Nyuklia ya Iran.
Sie wakuja wa dunioa ya tatu ndo tutaumia na michezo hii..muda sio mrefu utasikia kupanda kwa mafuta bei ktk soko la dunia...hali ya mfumuko wa bei itazidi kuwa mbaya
 
Kabla Ulaya haijaanguka, Iran itakuwa ya kwanza.

Kabla ya Iran haijaanguka, Umoja wa ulaya (US Puppets) itakuwa ya kwanza na dalili zishaanza kuonekana..

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"]Mgogoro wa kiuchumi unazidisha umaskini barani Ulaya[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]
umaskini-ulaya1.jpg
Mgogoro wa kiuchumi ulioliathiri eneo la Euro umezidisha idadi ya watu maskini na wasio na makazi katika eneo hilo. Maghala ya chakula katika nchi za Ulaya sasa hayana akiba yoyote na serikali za nchi hizo zimelazimika kuwadhaminia raia maskini wa nchi hizo kiasi fulani cha chakula kutoka katika masoko huru. Afisa mmoja wa Ulaya ameeleza kuwa mgogoro wa kiuchumi umesababisha umaskini katika nchi za kaskazini na kusini mwa Ulaya na kuathiri nchi zote wanachama wa zamani na wapya wa Umoja wa Ulaya.
Amesema, raia maskini na wale wasio na makazi wanahitaji msaada wa haraka wa chakula na dawa kutoka serikalini katika kipindi hiki cha baridi, hata hivyo bahati mbaya misaada hiyo haiwezi kutekelezwa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
kabla ulaya haijaanguka, iran itakuwa ya kwanza. Subiri uchaguzi wa ufaransa na us uishe mwaka huu. Iran itapewa kichapo kwa tabia hii ya kuleta uncertainty katika uchumi wa dunia. Marekani haihitaji kuipiga iran mapema ila inaweza fanya hivyo mwishoni mwa october kama obama atakuwa kazidiwa kete kwenye kampeni. Kuipiga iran kwa sasa ni kuhatarisha uchumi wa dunia na matokeo yake ni kupoteza uchaguzi mwishoni mwa mwaka.

wazungu ni walaghai jamani. Ulaya itakuwa ya mwisho kuanguka
 
[h=2]Western officials confirm Iranian experts’ success in cyber war[/h]
b4a19c04384dc14e8b738828a2044c23_L.jpg

Western officials have confirmed Iranian engineers’ success in countering the Israeli-led cyber attacks aimed at damaging Tehran’s peaceful nuclear program.

According to Reuters on Tuesday, several American and European officials, who asked not to be named, say the Islamic Republic’s computer experts have successfully thwarted and purged the Stuxnet malware from the country’s industrial facilities.
In June 2010, Iran identified the virus, Stuxnet, averting damage to the country's industrial sites and resources.
Stuxnet is a malware designed to infect computers using supervisory control and data acquisition (SCADA) systems made by the German company Siemens -- which are favored by industries that manage water supplies, oilrigs, and power plants.
In July 2010, media reports claimed that Stuxnet had targeted industrial computers around the globe, with Iran being the main target of the attack. The reports said Iran's newly launched Bushehr nuclear power plant was at the center of the cyber attack.
Many of the Western computer experts hold the US and the Zionist regime accountable for inventing and orchestrating the Stuxnet malware to damage Iran's nuclear infrastructure.
This comes while Iran has repeatedly reassured that its nuclear facilities are immune to enemy cyber attacks

SOURCE: Western officials confirm Iranian experts
 
Back
Top Bottom