Recent content by abbydone

  1. abbydone

    Vijana msiklizeni Mo Dewji

    Kwa dhama hizi hatunaga principle,, nikuangalia upepo tu unakoelekea,,, yeye ana principle sababu kazikuta toka kwa mababu zake,,
  2. abbydone

    Najuta kuoa

    Daaah,,! Anyway pole mzeee,,
  3. abbydone

    Ex wako aliondoka na kitu gani chako unachotamani akurudishie

    Simu yangu daah,,, nahis ndo anayotumia kulijenga penz jipya
  4. abbydone

    Wanaume mliopelekwa jando huwa mnajifunza nini huko?

    Kuna tofauti ya mapenzi na upendo,, jandoni na unyagoni tuliandaliwa kimapenz zaid na co upendo,,! Hope nimeeleweka
  5. abbydone

    Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Daah,, kama nimefika situation hiyo basi tumuachie mungu
  6. abbydone

    Bado anaendelea kuwasiliana na x wake kimya kimya kupitia (hidden chats whatsapp)

    Daaah, pole mwanamme mwenzangu!! Ningumu lakini cmama kiume,, amua kiume,,!! Simamimia unachokiamua,, hata kama kinakukost kwa namna moja nyngne,,,
  7. abbydone

    Fid q awaomba radhi wasafi asema alikuwa hajielewi na awezi kuwa kinyume na Clouds media

    Angekaa kimya tu,, co kuwadungukia page yote hiyo,, thamn ya mtu huwez iconvert to money or car,,, wangeelewa tu
  8. abbydone

    Nipo Njia Panda, Nipeni Mawazo yenu!

    Nje ya boom una kipato kingine!? Unakaa wapi,, kiwanja unacho,, usafr gan watumia,, kipi kingne anachokifurahia kutoka kwako zaid ya kitanda!? Kama majibu ni ndiyo asilimia 90 mfikilie,, kama hakuna jifikilie
  9. abbydone

    Wanaume kama hawa

    Wanaume wamwkua really now!!! Hakuna penz la sinema,,!
  10. abbydone

    Wanaume kama hawa

    [emoji15][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122]
  11. abbydone

    Mwanamke mwenye mwili wa size ya kati asiwe mrefu ni balaa

    Mwanamme wankibongo hata umpe mia achague mmoja bado atalalamika kwa wale 99 watakao baki
Back
Top Bottom