Wanaume kama hawa

Wanaume kama hawa

Wewe umenipenda lazima unitunze,mke ni ua... Lazima lipaliliwe
mke na mume kweli mnaweza kaa mwezi bila kufanya mapenzi? mke na mume hakuna masharti aise labda kama unaongelea wapenzi wa kawaida tu
 
Bila pesa mzee ni shida maana unaweza kupata mtoto asiekuomba ata senti moja lakini bado ikawashida tu maana utahitaji umpe zawadi, au mtoke kidogo

Kabisa ndugu, na hata kama haombi na wewe ukajifanya mgumu humpi siku zote kuna wajanja wataanza kumpa na hapo ndipo unakuwa mwanzo wa kumegewa
 
Back
Top Bottom