Kimsingi sio majina tu. Tunatakiwa mpaka lugha yetu ya kiswahili ndiyo iwe lugha ya kufundishia kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.
Yani ukiingia Google ukisachi lugha namba Moja Africa utaambiwa kiswahili, lakini jitu jeusi linakomaa kukidogosha kiswahili
Na ndio maana sisi hatuna na Wala hatufikirii kuwa na Dhama au technology yetu, licha ya kuwa na rasilimali kibao.
Tunahangaika kupocy culture zao, lugha zao, majina Yao, lifestyle zao, nk. Sisi vya kwetu atavienzi nani??
Dhama na technology kubadika hakuna uhusiano wowote na majina.
Me nishasemaga, watoto wangu wote wataitwa kwa majina ambayo mtu akilisikia, anajua Moja kwa Moja ametokea Afrika.
Eti unamwita mwanao Joseph, sijui Andrea, Mohammed
Nakumbuka wakati tupo chuo. Kuna Padre alikuwa akituhamasisha kutumia majina ya asili hata kwa ubatizo. Hata kama dini tumeletewa, hatupaswi kukataa Kila kitu Cha kwetu
Me hapo sioni tatizo, mbona Kuna wachezaji wa kizungu wanaitwa drinkwater?
Dini za kuja na meli zinatuhubiria eti Kuna mapepo yataambatana na jina lako.
Mtu akiitwa mateso, mtasema maisha yake yatakuwa ya mateso. Kwanini usiseme atakuwa mvumilivu bila kutetereka pale atakapo kumbana na mateso...
Sasa hapo kocha wa Mpira Tactical Rosenyo kosa lake nini?? We humuonagi akiwa anaandikaga vikaratasi anawapa wachezaji?? Kocha Gani mwenye kipaji Cha kuandikaandika, hebu taja mmoja
Wakati wenzenu wanacheza mechi 2 Kila wiki, nyinyi mna game Moja au msicheze kabisa. Halafu mnaenda kufungwa na timu ipo pungufu. Hivi nyie mna akili kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.