Haya uchawi unatumikaje?? Na umejuaje unatumikaje??
Mnatuambia mtu anaweza akaenda kuiba sehemu bila kushtukiwa kwa uchawi, tukisema kwanini asitumie chumaulete akaibe benki? Unaambiwa uchawi hautumiki hivyo.
Uchawi hakuna, hofu zenu tu na kulishana matango pori. Ungekuwa unafanya kazi kweli...
Nikikuuliza kwanini tusimshawishi huyo Mzee akaenda bungeni akapiga wabunge wote, Kisha aende ikulu, nk. Utasema uchawi hautumiki hivyo.
Nyie ndiyo mnahadithia watu kwamba mtu Fulani kapata pesa kwa njia za kichawi, lakini papo hapo utahadithia uchawi siyo kwa ajili ya kunufaika kiuchumi.
Kuna watu humu mulikuwa mnataka Odegard aondoke. Me nasemaga wachezaji siyo maroboti, wanapataga fatigue sometime.
Mfano mwengine Saka, kacheza mechi nyingi. hayuko fit.lakini watu hawaelewi. Hata Zubimendi inatakiwa awe fully fit ndiyo tumjudge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.