Recent content by 999 chatta

  1. 999 chatta

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mpira ungekuwa unachezwa hivi, Tanzania ingekuwa na world cup
  2. 999 chatta

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Za kichwa
  3. 999 chatta

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Kimsingi sio majina tu. Tunatakiwa mpaka lugha yetu ya kiswahili ndiyo iwe lugha ya kufundishia kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu. Yani ukiingia Google ukisachi lugha namba Moja Africa utaambiwa kiswahili, lakini jitu jeusi linakomaa kukidogosha kiswahili
  4. 999 chatta

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Na ndio maana sisi hatuna na Wala hatufikirii kuwa na Dhama au technology yetu, licha ya kuwa na rasilimali kibao. Tunahangaika kupocy culture zao, lugha zao, majina Yao, lifestyle zao, nk. Sisi vya kwetu atavienzi nani?? Dhama na technology kubadika hakuna uhusiano wowote na majina.
  5. 999 chatta

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Me nishasemaga, watoto wangu wote wataitwa kwa majina ambayo mtu akilisikia, anajua Moja kwa Moja ametokea Afrika. Eti unamwita mwanao Joseph, sijui Andrea, Mohammed
  6. 999 chatta

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Nakumbuka wakati tupo chuo. Kuna Padre alikuwa akituhamasisha kutumia majina ya asili hata kwa ubatizo. Hata kama dini tumeletewa, hatupaswi kukataa Kila kitu Cha kwetu
  7. 999 chatta

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Me hapo sioni tatizo, mbona Kuna wachezaji wa kizungu wanaitwa drinkwater? Dini za kuja na meli zinatuhubiria eti Kuna mapepo yataambatana na jina lako. Mtu akiitwa mateso, mtasema maisha yake yatakuwa ya mateso. Kwanini usiseme atakuwa mvumilivu bila kutetereka pale atakapo kumbana na mateso...
  8. 999 chatta

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Maoni Yako tumeyachukua
  9. 999 chatta

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Oya makenge, Kocha wa Mpira asisemwe tafadharini sana
  10. 999 chatta

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sasa hapo kocha wa Mpira Tactical Rosenyo kosa lake nini?? We humuonagi akiwa anaandikaga vikaratasi anawapa wachezaji?? Kocha Gani mwenye kipaji Cha kuandikaandika, hebu taja mmoja
  11. 999 chatta

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Watoto wa Rosenior
  12. 999 chatta

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Weekend imekaa vizuri sana
  13. 999 chatta

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😁 Unaangalia mechi moyo unakwenda mbio utadhani we ndo mchezaji unacheza. Hii ligi iishe tu
  14. 999 chatta

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Goli la Dowman alivyokuwa ana dribble, nilikuwa nalukaluka kwenye kiti, Hadi nikavunja kiti Cha watu 😁
  15. 999 chatta

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wakati wenzenu wanacheza mechi 2 Kila wiki, nyinyi mna game Moja au msicheze kabisa. Halafu mnaenda kufungwa na timu ipo pungufu. Hivi nyie mna akili kweli
Back
Top Bottom