Recent content by ---

  1. ---

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Kwanza TISS yenyewe ni jina na hata kazi zao wanafanya kumridhisha Boss. Kwenye hii issue watabaki hapo hapo walipo
  2. ---

    JamiiForums Tanzania Hivi huwa ni ustadi gani unatumika hadi kupelekea mwanamke kutoa hydro kwa kasi sana na pressure kubwa?

    Anaekojoa ndio inabidi aseme nini kinapelekea afanye hivyo. Nenda kamuulize atakupa jibu unalotafuta
  3. ---

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Siku jeshi likiacha kutumika kwa maslahi ya watu wachache huko juu ndo itakuwa mwanzo wa tiba ya taifa hili.
  4. ---

    JamiiForums Tanzania Rambirambi zigawanywe kwa Wajane wote kwa usawa

    Huyo mke wa katikati hawezi kuruhusu zigawanywe kwa usawa
  5. ---

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Ahsante kwa mwaliko, mbona jina lako lipo kwenye payroll hapo Lumumba!!
  6. ---

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa mkoa Dar es salaam: Tuboreshe mfumo wa usafi wa barabara – mashine zitumike badala ya kufagia kwa mikono

    Miundombinu yetu ya barabara ni hovyo sana hizo machine labda zitengenezwe kuendana na nature ya hizo barabara Suala lingine ni nature yetu wenyewe, hao operators wa hizo machine wanaweza kuziharibu kwa makusudi ili wapate upenyo wa kupiga hela kwenye ufundi au kuagiza machine nyingine
  7. ---

    JamiiForums Tanzania Baada ya dilema ya muda mrefu sasa yametimia nilichokuwa nakiwaza kimetokea nini kinafuata sijui

    Kwanini mkuu, lilikukuta jambo au vipi?
  8. ---

    JamiiForums Tanzania Nimegombana na mchumba wangu, naombeni ushauri

    Singo mothers ndo wanapenda hekaheka za harusi ili wawaringishie watesi wao. Huyo wa kwako kama hakuwa singo mother kabla ni jazba tu, akitulia ukamwelewesha harusi inafanyika vizuri tu.
  9. ---

    JamiiForums Tanzania Baada ya dilema ya muda mrefu sasa yametimia nilichokuwa nakiwaza kimetokea nini kinafuata sijui

    Kama una mwanamke unamwamini kichwani yupo vizuri mpe hilo jukumu, halafu wewe uwe unaenda mara moja moja
  10. ---

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Hivi Lumumba huwa mnalishwa mavi ya nguruwe au ? Badilika acha ujinga nyumbu mkubwa wewe!
  11. ---

    JamiiForums Tanzania Hili taifa ni zito sana aisee, kutoka kuwa na ndoto za kuwa rais hadi kugeuka kuwa mtalaam wa nyota jukwaani 😁

    Wapi amesema ndoto ya kuwa Raisi imeisha!
  12. ---

    JamiiForums Tanzania Nimeangukia Demu wa Mtaani: Utamu Sijawahi ona!

    Siku uaminifu ukifa uteletee story pia itakuwa tam sana nafikiri
  13. ---

    JamiiForums Tanzania Nimeangukia Demu wa Mtaani: Utamu Sijawahi ona!

    Unamuamini sana nini?
  14. ---

    JamiiForums Tanzania Nimeangukia Demu wa Mtaani: Utamu Sijawahi ona!

    Ulikumbuka kutumia kondomu au na wewe ni wale wa futa jingi?
  15. ---

    JamiiForums Tanzania Hijabu haina maana, tamaa ya wanaume wengi ni makalio, matiti na sura

    Umeandika vema kabisa, makalio, matiti na sura ndo vinavyofanya umtamani mwanamke. Huwezi kumtamani kwa kuangalia kichwa chake na nywele tu
Back
Top Bottom