Miundombinu yetu ya barabara ni hovyo sana hizo machine labda zitengenezwe kuendana na nature ya hizo barabara
Suala lingine ni nature yetu wenyewe, hao operators wa hizo machine wanaweza kuziharibu kwa makusudi ili wapate upenyo wa kupiga hela kwenye ufundi au kuagiza machine nyingine
Singo mothers ndo wanapenda hekaheka za harusi ili wawaringishie watesi wao. Huyo wa kwako kama hakuwa singo mother kabla ni jazba tu, akitulia ukamwelewesha harusi inafanyika vizuri tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.