Recent content by 1954tanu

  1. 1

    Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

    Huu ni mnyukano baina ya wanawane/ kanda ya nyanza dhidi ya watanganyika
  2. 1

    "Mnapanda basi la makabila karne hii 21?" Mwl. Nyerere. Basi la Makabila limepaki Ngomeni kuelekea 2020

    Mwasisi wa taifa hili alikemea kwa ukali siasa za kuwagawa watanzania kikabila, kikanda nk. Lakini kwa sasa, kama alivyodokeza Waziri Mkuu Mstafu Jseph Sinde Warioba nchi imesambalatika, siasa za ukabila na ukanda (zilijionesha wakati wa zoezi la bomoa bomoa); miradi ya maendeleo kusogezwa eneo...
  3. 1

    "Mnapanda Basi la Makabila Karne hii 21?" Mwl. Nyerere. Basi la Makabila Limepaki Ngomeni Kuelekea 2020

    Mwasisi wa taifa hili alikemea kwa ukali siasa za kuwagawa watanzania kikabila, kikanda nk. Lakini kwa sasa, kama alivyodokeza Waziri Mkuu Mstafu Jseph Sinde Warioba nchi imesambalatika, siasa za ukabila na ukanda (zilijionesha wakati wa zoezi la bomoa bomoa); miradi ya maendeleo kusogezwa eneo...
  4. 1

    Nisaidie Pinnacle 15 au Adobe Premiere Product key

    Kama kichwa cha habari kinavyosema. Ninaomba mwenye hizo key anisaidie.
  5. 1

    Msaada: Fito za Dish langu 8" zimekula kutu na kukatika

    Jamani nawaombeni msaada. Je1 Naweza pata wapi fito za dish 8 ft. Nimewahi ambiwa nichonge nondo. Hata hivyo, hazikunifaa kabisa.
  6. 1

    Jinsi ya kujua jinsia ya computer yako!

    Bado haijakua, isubiri ikue
  7. 1

    Inawezekana CAG alisema wabunge wa CCM pekee ndio dhaifu ila waupinzani sio dhaifu.....

    Iko haja ya kuitisha Kura ya Maoni ili kujua mtazamo na msimamo wa wananchi juu ya Bunge. Yamkini Bunge likawa mithili ya mfalme aliyekuwa uchi. Itapasa ajulishwe kuwa yu uchi. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. 1

    Polisi Ashikilia Leseni kwa Kosa la Mtu Mwingine

    Sheria inasemaje, sio kuuliza utashi mtu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. 1

    Polisi Ashikilia Leseni kwa Kosa la Mtu Mwingine

    Wana JF heri ya mwaka mpya. Kuna suala nimelisia sasa naomba kuelimishwa sheria inasemaje. Kuna ndugu mmoja kanunua gari kwa mtu. Siku moja akasimamishwa barabarani akaambiwa gari lake inadeni la tzs 150,000/- akaoneshwa jina la dereva na lesseni namba ya huyo dereva. Pia, akajulishwa makosa...
  10. 1

    Je! Carina TI cc 1754 na cc 1453 ipi ni bora?

    Kati ya carina ti yenye ingini ya cc 1754 na ile yenye injini ya cc 1454 ipi itamfaa mtu mwenye kipato cha chini. Ukizingatia i) ulaji wa mafuta. ii) uimara wa injini. Matumizi ya kawaida hapa mjini na kama Mara moja au mbili kwa mwaka kwenda Bukoba toka Dar.
  11. 1

    Kupanda Madaraja kwa Watumishi wa Umma ni Suala la Kisheria au utashi tu wa mwajili?

    Wapendwa wana JF napenda kufahamu, hasusani wanasheria. Hivi kupanda madaraja kwa watumishi wa umma ni suala la kisheria; kikanuni; au ni utashi tu wa mwajili? Nafahamu mwajili anapopanda daraja pia kiwango cha mshahara kinaongozeka. Na hili lina athari chanya kwenye mafao yake wakati mwajili...
  12. 1

    Petrol in Tanzania Ksh 95. Uganda Ksh 101. Kenya is going to be Ksh 108

    Hii ya tz ni Buree elimu, kidato cha pili hawajui kusoma wala kuandika. Mtoto darsa la saba hawezi kusoma kitabu cha kiingereza cha darasa la pili. Ama kweli Elimu Bure bongo
  13. 1

    Je! Tuendelee Kuandaa "Lesson Plan?"

    Ufundishaji katika shule nyingi za sekondari za kata hauendani na haufuati mpango wa Maandalio ya Somo. Nadhani, sasa ni wakati mwafaka wa kuachana nazo. Kuna sababu hizi za kusema hayo. Mosi, aina ya wanafunzi wanaojiunga na shule hizi wanahitaji nguvu na mbinu za ziada ili kuwawezesha kuelewa...
  14. 1

    Kenya yaja na muundo mpya wa Jeshi la Polisi

    Serikali ya Kenyà imebadili muundo wa Jeshi la Polisi ambapo sasa vyeo vya kipolisi vimebadilika na hata sare za jeshi hilo zimebadilishwa. Jeshi limebadilishwa kutoka Kenya Police Force na kuwa Kenya Police Service. Mabadiliko hayo yamekuja ili kulifanya jeshi liwahudumie wananchi tofauti na...
Back
Top Bottom