Ni kampuni gani. Kama ni DStv hivyo vyuma wanaviuza ktk ofisi zao kubwa, kama sh 10,000 au 20,000. Otherwise chukua fundi afanye vipimo ukachonge Gerezani, Kariakoo DSMJamani nawaombeni msaada. Je1 Naweza pata wapi fito za dish 8 ft. Nimewahi ambiwa nichonge nondo. Hata hivyo, hazikunifaa kabisa.
Ni kampuni gani. Kama ni DStv hivyo vyuma wanaviuza ktk ofisi zao kumbwa, kama sh 10,000 au 20,000. Ohterwise chukua fundi afanye vipimo ukachonge Gerezani, Kariakoo DSM
Mkuu Hata hizi nondo zinatofautiana unene, uimara etc.Jamani nawaombeni msaada. Je1 Naweza pata wapi fito za dish 8 ft. Nimewahi ambiwa nichonge nondo. Hata hivyo, hazikunifaa kabisa.