Una
unandika waraka mrefu halafu unaongea ujinga …. Hujatambua yoga anajaribu kutokua direct awezavyo we huoni ata spelling anazikwepesha makusudi na hata iyo ishu ya mwanasheria kwa akili yako unaona hajui nani anamwapisha rais kwa yote hayo anayosimulia kwa haraka haraka tu smartness ya yoga...
Anachosema ni kweli mimi nilishafanya nao kazi 2017. Iko hivi si tuliapply then tukaitwa kupitia sms , tulivyofika siku ya interview, tukafanyiwa interview group wise tulikuwa watu 60 tukapita 30. Kesho yake tukaanza training for two weeks tukapangwa vituo vya kazi lakini mind you kufanya...
Garage moja ipo pale veta igogo mkabala na ofisi za bonde la ziwa victoria jirani na ofisi za GPSA.. au mcheki huyu fundi wa hapo 069 274 9814 hawatakuangusha
Sijawai ona mpumbavu kama wewe.....yaani nani kakwambia interest ulizonazo wewe, kila mtu anazo .. we kupenda pikipiki unahisi kila mtu atapenda??? ...eti nunua ist ??? Unaweza kuta uwezo wa jamaa financially ni mara tano yako suala la mafuta kwake sii ishu kabisa we unakuja na mawazo yako ya...
Yan kitendo tu cha kuuliza hili swali katika dunia ya biashara umeshafail....biashara iweze kuanza na ili ikue au ifanikiwe inahitaji iwe ni hitaji lako la moyo kwanza ambalo litakalopelekea hadi utafute huo mtaji ....
tofauti na hapo itachukua muda sana mpaka miaka mitano ustabilize na si...
Watu wengine bana kwaio hako ka idea kako ndio unaona msaada....hapo atalipa kodi na aweze kumudu gharama za chakula cha siku kwa huo upuuzi unaomueleza.... mtu kakwambia alijaribu biashara mambo ni magumu unaleta ujuaji....na biashara is not for everyone ye kuchagua kuajiriwa sio vibaya ndio...
Statement kama hizi ni za watu wasio elimu..kwa akili ya kawaida mtu asome civil engineering miaka minne chuo kikuu then afanane na darasa la saba wabebe wote zege.....hicho kichwa chako kina akili au kiko tupu ?
Kuna taasisi ya kidini yenye hospitali nyingi tanzania kama roman catholic?..... huo ndio usemi wao kuhusu malaria na waraka wao unalenga taifa la Mungu yaani waumini wao inawezekana wewe huko exempted
Kuna kipindi wakati niko chuo ilikua inatokea shower kuwa zinaharibika na kuvuja kina namna flan sehemu ya koki pembezoni mwa ukuta..sasa kwa upande wangu nikienda kuoga nikakutana na shower inavuja nilikua na style flani hivi naivuta halafu nairudishia design flani hivi then ilikuwa inaacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.