ASA Microfinance

ASA Microfinance

uliza ujibiwe ..tatizo mkuu wajifanya wajua vingi kumbe hujui.. ipo hiv after interview ni training direct baada ya hapo twasubiri kupangiwa.. usikariri kuwa training mpaka uwe umeingia kazini tayari.. wao baada ya interview wanakupa mafunzo yao kabisa( theory and practical) ..( na interview yao ni group boss) si individual .. ila tu kila mtu aweza ulizwa swali lake ..maswali zaidi njoo pm
Siwezi kuja huko kwasababu unaongopea wenzio na kukatisha tamaa tatizo linakuja tangu deadline ya tangazo hata hata mwezi hautapita wewe ushafanyiwa interview na uko training kitu ambacho hakiwezekani
 
uliza ujibiwe ..tatizo mkuu wajifanya wajua vingi kumbe hujui.. ipo hiv after interview ni training direct baada ya hapo twasubiri kupangiwa.. usikariri kuwa training mpaka uwe umeingia kazini tayari.. wao baada ya interview wanakupa mafunzo yao kabisa( theory and practical) ..( na interview yao ni group boss) si individual .. ila tu kila mtu aweza ulizwa swali lake ..maswali zaidi njoo pm
Kumbe lengo lako ufatwe Chemba (pm)
Subiri utawapata
 
Ipo ivi wakuu naon mnampinga sana mdau apo juu ila ASA wameshaita watu batch 2 ndo wapo training.kama hujaitwa na bado unahitaji kazi nashauri ni vyema ukapeleka cv physically pale kuna cv drop box unakua Na chances kubwa za kuitwa
Acha kazi iendelee Tukutane TPB BANK
 
Haya maelezo yananukia 'uongo uongo'
Anachosema ni kweli mimi nilishafanya nao kazi 2017. Iko hivi si tuliapply then tukaitwa kupitia sms , tulivyofika siku ya interview, tukafanyiwa interview group wise tulikuwa watu 60 tukapita 30. Kesho yake tukaanza training for two weeks tukapangwa vituo vya kazi lakini mind you kufanya training baada ya kupita interview haimaanishi umepata kazi hell no. Siku ya kupangwa kazi ni jinsi muhindi atakavyoona na kupenda kwa upande wetu siku ya kupangwa kazi walipangwa watano tu siku ya kwanza siku ya pili watano au sita then the rest walikaa home wakawa wanaitwa pakitokea nafasi wengine hawakuitwa kabisa.
 
uliza ujibiwe ..tatizo mkuu wajifanya wajua vingi kumbe hujui.. ipo hiv after interview ni training direct baada ya hapo twasubiri kupangiwa.. usikariri kuwa training mpaka uwe umeingia kazini tayari.. wao baada ya interview wanakupa mafunzo yao kabisa( theory and practical) ..( na interview yao ni group boss) si individual .. ila tu kila mtu aweza ulizwa swali lake ..maswali zaidi njoo pm
Mimi sikubishii.
 
Kumbe lengo lako ufatwe Chemba (pm)
Subiri utawapata
nimeekezea
Anachosema ni kweli mimi nilishafanya nao kazi 2017. Iko hivi si tuliapply then tukaitwa kupitia sms , tulivyofika siku ya interview, tukafanyiwa interview group wise tulikuwa watu 60 tukapita 30. Kesho yake tukaanza training for two weeks tukapangwa vituo vya kazi lakini mind you kufanya training baada ya kupita interview haimaanishi umepata kazi hell no. Siku ya kupangwa kazi ni jinsi muhindi atakavyoona na kupenda kwa upande wetu siku ya kupangwa kazi walipangwa watano tu siku ya kwanza siku ya pili watano au sita then the rest walikaa home wakawa wanaitwa pakitokea nafasi wengine hawakuitwa kabisa.
correctly bro usemacho ..same kwetu imekuwa hivi..
 
Anachosema ni kweli mimi nilishafanya nao kazi 2017. Iko hivi si tuliapply then tukaitwa kupitia sms , tulivyofika siku ya interview, tukafanyiwa interview group wise tulikuwa watu 60 tukapita 30. Kesho yake tukaanza training for two weeks tukapangwa vituo vya kazi lakini mind you kufanya training baada ya kupita interview haimaanishi umepata kazi hell no. Siku ya kupangwa kazi ni jinsi muhindi atakavyoona na kupenda kwa upande wetu siku ya kupangwa kazi walipangwa watano tu siku ya kwanza siku ya pili watano au sita then the rest walikaa home wakawa wanaitwa pakitokea nafasi wengine hawakuitwa kabisa.
Mnaongelea nafasi gani?
Yaani IT manager wanataka mmoja halafu mfanyie interview kwa group halafu muende training ndio mpate kazi?
 
Mnaongelea nafasi gani?
Yaani IT manager wanataka mmoja halafu mfanyie interview kwa group halafu muende training ndio mpate kazi?
Post ilikuwa ni loan officer... post nyingine tofauti na hiyo interview inafanyika kawaida kama ilivyo sehemu nyingine.
 
Hakuna walioitwa hadi muda huu, achen kudanganya watu labda kama uliitwa kwa position zingine ila sio zile 100...
 
bro nikweli waeza kuwa jirani na hr ..ila nafurahi unajipa majibu mwenyewe.. endelea utayapata yote.. ila niamini mimi kuna ambao tumemaliza training,, na kati yetu kuna ambao wamepangiwa tayari na kuna ambao bado kupangiwa..na kuna watu wapo training sahivi..poleni nilikuwa kimya mana sikutaka kubishana mie toka mwanzo nilikuwa tu natoa maelezo na hali nayoijua au nilopitia ila kuna watu wakaja kama kuni attack tubishane kumbe. sikuwa nabishana wala kumuweka mtu roho juu au kumuambia mtu kakosa au kapata.. pia nilitoa ushauri kwa hali pia nilokuta kule.. sikusema direct mtu apeleke cv na mkono nilipendekeza kwa wa karibu.. pia nilisema bado wanaajiri tena sana so sikusema kwa kumdanganya mtu.. shukrani wakuu
 
bro nikweli waeza kuwa jirani na hr ..ila nafurahi unajipa majibu mwenyewe.. endelea utayapata yote.. ila niamini mimi kuna ambao tumemaliza training,, na kati yetu kuna ambao wamepangiwa tayari na kuna ambao bado kupangiwa..na kuna watu wapo training sahivi..poleni nilikuwa kimya mana sikutaka kubishana mie toka mwanzo nilikuwa tu natoa maelezo na hali nayoijua au nilopitia ila kuna watu wakaja kama kuni attack tubishane kumbe. sikuwa nabishana wala kumuweka mtu roho juu au kumuambia mtu kakosa au kapata.. pia nilitoa ushauri kwa hali pia nilokuta kule.. sikusema direct mtu apeleke cv na mkono nilipendekeza kwa wa karibu.. pia nilisema bado wanaajiri tena sana so sikusema kwa kumdanganya mtu.. shukrani wakuu
Aya wewe umefanya training ni kati ya kundi lipi la wale 100 kama walivyosema watu huko juu?
 
bro nikweli waeza kuwa jirani na hr ..ila nafurahi unajipa majibu mwenyewe.. endelea utayapata yote.. ila niamini mimi kuna ambao tumemaliza training,, na kati yetu kuna ambao wamepangiwa tayari na kuna ambao bado kupangiwa..na kuna watu wapo training sahivi..poleni nilikuwa kimya mana sikutaka kubishana mie toka mwanzo nilikuwa tu natoa maelezo na hali nayoijua au nilopitia ila kuna watu wakaja kama kuni attack tubishane kumbe. sikuwa nabishana wala kumuweka mtu roho juu au kumuambia mtu kakosa au kapata.. pia nilitoa ushauri kwa hali pia nilokuta kule.. sikusema direct mtu apeleke cv na mkono nilipendekeza kwa wa karibu.. pia nilisema bado wanaajiri tena sana so sikusema kwa kumdanganya mtu.. shukrani wakuu
Hakuna unalolijua.
 
Back
Top Bottom