Recent content by 01savag

  1. 0

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kiume mnaokataa ndoa, fanyeni mapema Kuoa kabla hamjakutana na hiki ninachopitia

    Kama unataka kuoa kwa ajili ya upweke jipange tena, tafuta sababu nyingine. Kuna watu wengi wapo kwenye ndoa na bado ni wapweke. Kuoa inabidi kupenda na kupenda sio jambo lakujiforce ni kitu automatic. Alafu braza upweke ni jambo baya kama utalichukulia kua ni baya. Naona hapo unasafari...
  2. 0

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Saka:you are too good defensively Arteta: come help us to win the league Guehi; no i think more of internal damage Saka; what yo mean man Guehi; i will join city and do blunders in important match
  3. 0

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wap tunakutana kucelebrate wanaarsenal💪
  4. 0

    JamiiForums Tanzania Nahitaji subwoofer (10 inch)- single voice coil

    Hii yako unaitoaje
  5. 0

    JamiiForums Tanzania Nahitaji subwoofer (10 inch)- single voice coil

    Namaanisha driver za bass za 10"
  6. 0

    JamiiForums Tanzania Nahitaji subwoofer (10 inch)- single voice coil

    Habari wadau wa audio. Natafuta Subwoofer ya inchi 10 (Used/Mitumba) kwa ajili ya DIY project yangu ya chumbani. Target yangu ni kupata Quality Bass kwa ajili ya RnB na Trap (Tight bass, siyo kelele). Sifa ninazotafuta: ✅ Size: 10 Inch ✅ Impedance: 4 Ohms (Preferably) ✅ Aina: Single Voice Coil...
  7. 0

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Roho mkonon mpaka arteta kavua koti🤣
  8. 0

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Dowmnan amehusika kwenye both goals, thanks kwenye dakika za jion mentality. Inawezekana downman akawa good good kwenye izo moment kama trossard. Hatujui akianzidhwa atakuwaje
  9. 0

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😁😁😁 i missed it, niliondoka na presha ya kona nikijua watachomoa
  10. 0

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapa nazan kwa merino angekuepo ata ode tungekua tunacheza kwao
  11. 0

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Nimeshaiweka watch list nitaichek nikimaliza hii homeland Asante sana🙏
  12. 0

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Wakuu heshima zenu, Naombeni suggestion ya series kali za espionage zile za akili nying. Nimeshachek the americans, the bureau na tehran
  13. 0

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapo anafatiliwa cd mwingine, nadhani huyu jamaa akilala anaota defence
  14. 0

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Asante sana chief
  15. 0

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    I FIfa 14 inaweza kuongezewa feature ?!, kama inawezekana itakua bomba sana *Chakwanza sipendi unrealist player development na iyo ya kupata mawonder kid wengi kwa msimu *wonderkid akijitahidi sana inabidi awe ana rate ya 70 *nikiweza kupata iyo feature ya kupata tactics nyingi kwa mfano kuwa...
Back
Top Bottom