Forwards pale wa uhakika ni Saka pekee. Shida bado ni mdogo pia anatakiwa backup ya watu ambao ni wazoefu haswa wa tournaments kubwa.
Martinelli shida yake kubwa anapenda kuangalia chini yaani runs zake zoote hua zinaishia kwenye box mara atoe boko.
Trossard nae anagames zake tena ni heri aingie sub ila sio aanze unaweza kasirika ukavunja na Tv yenyewe
Ethan, Kai na G. Jesus pale inabidi wakapumzike tu
Midfielders pale sina hofu nao sana labda Merino na Odegaard tu ila Partey, Rice wako fresh sana.
Defenders pale wa uhakika ni Saliba, Timber, Lewis labda kiasi Zini, Ben na Calafiori.
Golini sina hofu mwamba apewe mi 5 tena (Raya)