Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamna kocha pale.

Usiweke matarajio makubwa kwa yule kocha utajiumiza.

Nyumbu wanaweza kuwahi kujipata kabla yetu.

Tottenham anapata kombe sisi tumetoa macho tu.


Mtakatifu Arteta

Screenshot_20250628_213612_Chrome.jpg
Screenshot_20250628_213634_Chrome.jpg
 
Hamna kocha pale.

Usiweke matarajio makubwa kwa yule kocha utajiumiza.

Nyumbu wanaweza kuwahi kujipata kabla yetu.

Tottenham anapata kombe sisi tumetoa macho tu.
Hapa hata mimi nakubali jamaa atuachie tu timu sasa maana seems like strategies zake zote zimefeli

Isitoshe anaona tuna kikosi chembamba tena finyu ila anahangaika na positions ambazo zina alternative ila kule mbele aaah hataki
 
Yeye mwenyewe hajui wapi kuna shida.

Anaamini hana beki wa kiungo.
Forwards pale wa uhakika ni Saka pekee. Shida bado ni mdogo pia anatakiwa backup ya watu ambao ni wazoefu haswa wa tournaments kubwa.

Martinelli shida yake kubwa anapenda kuangalia chini yaani runs zake zoote hua zinaishia kwenye box mara atoe boko.

Trossard nae anagames zake tena ni heri aingie sub ila sio aanze unaweza kasirika ukavunja na Tv yenyewe

Ethan, Kai na G. Jesus pale inabidi wakapumzike tu

Midfielders pale sina hofu nao sana labda Merino na Odegaard tu ila Partey, Rice wako fresh sana.

Defenders pale wa uhakika ni Saliba, Timber, Lewis labda kiasi Zini, Ben na Calafiori.

Golini sina hofu mwamba apewe mi 5 tena (Raya)
 
Forwards pale wa uhakika ni Saka pekee. Shida bado ni mdogo pia anatakiwa backup ya watu ambao ni wazoefu haswa wa tournaments kubwa.

Martinelli shida yake kubwa anapenda kuangalia chini yaani runs zake zoote hua zinaishia kwenye box mara atoe boko.

Trossard nae anagames zake tena ni heri aingie sub ila sio aanze unaweza kasirika ukavunja na Tv yenyewe

Ethan, Kai na G. Jesus pale inabidi wakapumzike tu

Midfielders pale sina hofu nao sana labda Merino na Odegaard tu ila Partey, Rice wako fresh sana.

Defenders pale wa uhakika ni Saliba, Timber, Lewis labda kiasi Zini, Ben na Calafiori.

Golini sina hofu mwamba apewe mi 5 tena (Raya)
Arteta angekuwa na akili bas angepeleka ile mbuzi Tross na Jesus italy hata kwa mkopo au angeuza kwa waarabu.

Ule upande wa Martinel anahitajika mtu wakumchallenge ili akae sawa.Kuna kipindi kalikuwa kajinga kawekwa bench kakatuliza akili.

Arteta anaamini akinunua beki na kiungo basi kabeba kombe huku akijaribu mifumo aliyoota.

Against timu inayojitambua uweke Kai na Ode kiungo halafu Rice peke yake.Kama sio kutaka kipigo ni nini.Yule huwa namashaka anaibetia Arsenal au anagawio lake kwenye kampuni za kamari.
 
Arteta angekuwa na akili bas angepeleka ile mbuzi Tross na Jesus italy hata kwa mkopo au angeuza kwa waarabu.

Ule upande wa Martinel anahitajika mtu wakumchallenge ili akae sawa.Kuna kipindi kalikuwa kajinga kawekwa bench kakatuliza akili.

Arteta anaamini akinunua beki na kiungo basi kabeba kombe huku akijaribu mifumo aliyoota.

Against timu inayojitambua uweke Kai na Ode kiungo halafu Rice peke yake.Kama sio kutaka kipigo ni nini.Yule huwa namashaka anaibetia Arsenal au anagawio lake kwenye kampuni za kamari.
Matajiri nao wamekaa kimya kama wapumbavu yaani mpaka sahivi ametoka Jorginho, Marquinhos na Sterling tu
 
Matajiri nao wamekaa kimya kama wapumbavu yaani mpaka sahivi ametoka Jorginho, Marquinhos na Sterling tu
Kwa upande wangu sina shida na matajiri wa Arsenal kwasasa.

Wako tayari kuweka hela shida Arteta na Edu walijitengenezea kamradi kaupigaji.Wananunua matoy mengi hadi boss anaahituka hela yake inaliwa.

Arteta hapaswi kuwalaumu wale jamaa wamempambania sana ila yeye ndio anawaamimisha Kai anajua sana kuliko Lewandowski.
 
Hamna kocha pale.

Usiweke matarajio makubwa kwa yule kocha utajiumiza.

Nyumbu wanaweza kuwahi kujipata kabla yetu.

Tottenham anapata kombe sisi tumetoa macho tu.
Yaani hii ndio comment bora kuliko zote kwa msimu huu, ingewezeka tungemuomba moderator hata akai pin
Huu ni ukweli mchungu ambao mashabiki wengi wa Arsenyo hua hawataki kuukubali.
Tetea kwa hapo Arsenyo hakupaswa kua zaidi ya kocha msaidizi au kocha wa Academy.
 
Kama kuna kosa nililofanya ni kushabikia arsenal
ukifikiri sana utakubaliana na mimi arsenal sio timu inayotaka ubingwa

Haikui katika kufanya maamuzi
Aiseeee ndio maana siku hizi umekua adimu sana kwenye hili Jukwaa.
Kiufupi Asno ni timu la burudani sio timu ya ushindani, kama kwenye siasa zetu Arsenyo unaweza ukaifananisha na CHAUMA, ukihudhuria kwenye kampeni za Chauma utaishia kucheka na kufurahi ila unaporudi kwenye matokeo ya uchaguzi unakuta wameshindwa kupeleka hata mbunge mmoja bungeni.
Pole sana broo, naelewa vizuri maumivu unayopitia ila pia bado haujachelewa sana, unaweza ukafanya maamuzi ya kiume kama ndugu yangu Labyrinth 84 then ukaendelea kuenjoy maisha.
 
Mtazamo wako ni tofauti na Arteta.
Arteta Cv yake ya kufundisha mpira ni kubwa anaona wapi kwenye kukosi kuna madhaifu. Kule mbele kuna Kai Harvetz Mashine ya kufunga magoli.

Sidhani kama wewe ulishawahi kufundisha mpira angalau ngazi ya Sunday school au madrasa.
Hapa umenisikitisha Kai wa kumuhesabu kweli wewe unahitaji maombezi
 
Policy yetu ya uhamisho (kuuza na kununua) ni hovyo. Wakati mwingine tunatumia akili ndogo kufanya maamuzi. Hebu niambie:
Partey alikuwa anataka nyongeza ya £50k ili aendelee kubaki, ambapo kwa mwaka angekula £600k zaidi. Lakini kwa akili ndogo za Arteta na Berta wakaaona ni heri kutoa £10m kumnunua Norgaard kuliko kumuongeza Partey 50k.
Ni akili za kijinga sana. Ukiwa na watu wapumbavu kama hawa kwenye kampuni, huwezi kufanikiwa
 
Back
Top Bottom