Nipo katika soko la nguo nlikuwa nauza jeans spesho lakini kwa sasa nahita kuuza mitumba.
Point yangu ni kwamba naombeni msaada wenu wakuu mniongoze ni wapi ntapata chimbo zuri la jeans na tshirt...
Greetings JF massive.
Ni tumaini langu upo vizuri unaendelea na mishe zako zakutengeneza pesa ili kusukuma gurudumu la maisha. Kwa wale ambao hawapo vizuri msihofu mtapata nguvu tena na...
Habari!
Zanzibar Kuna eneo zuri saana coast view plot linauzwa kwa haraka. In case Kama unataka kujenga apartment za watalii, restaurant, Bar, hotel e.t.c hata nyumba yako pia sawa tu. Kiwanja...
Wewe ni mkulima? Unafanya grafting? Unataka kukuzia na kuhifadhia miche?
Basi Agroceron ndio wakala Tanzania anayejua hitaji la SEEDLING TRAYS kwa ajili ya kukuzia, kuhifadhia miche kwa ajili ya...
Namshukuru tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa...
Asante kwa wote ambao Mnatupigia simu na mnafika ofisini kwetu na kuchukua bidhaa zetu za simu..
TUNAKULETEA POPOTE ULIPO KWA NAULI YAKO AU NJOO UBUNGO MAWASILIANO karibu kabisa na GETI la Chuo...
Zinatumia Line zote,Zipo znazotumia charger ya Smartphones..Zipo znazotumia charger ya Lap top..
Unaweza kutuma sms na kupokea sms..
Tunakuletea popote ulipo kwa gharama zako..
Au njoo UBUNGO...
Habari
Excavator yaani kijiko kinauzwa kipo mkoani Iringa. Bei Tsh 50M. Kipo ktk hali nzuri ni cha kijapani imara
Kwa maelezo zaidi ya engine nk na attach card yake. Lakini ukitaka maelezo...
habari.
natafuta watu wenye magari yao binafsi na wapo teyari kuyakodisha kwaajiri ya shughuli za sherehe (harusi, send off n.k) karibu tufanye biashara nina wateja wengi wa kukodi magari...
Habari
Nataka kufanya biashara ila nahitaji mtu wa kunifanyia market research kwenye maeneo mbali mbali hapa dar es salaam
Na kunishauri kulingana na alichokipata kwenye hayo maeneo.
Aina ya...
husika na kicha cha habari, sehem gan kwa daslam naweza kupata chumba au vyumba viwili (chumba na sebule) kwa gharama ya kawaida kwa chumba (70tzsh na kushuka) , usafiri usio na usumbufu saana na...
KWA MAHITAJI YA RAMANI ZA NYUMBA NA MAJENGO MBALI MBALI.
Faida utazozipata kwetu ni hizi.
1: Tutakuandalia gharama zote za ujenzi wa jengo lako.
2: Tutakusaidia kufuatilia kibari cha ujenzi...
Habari wakuu. Natafuta pilipili za aina ya charapita (Aji Charapita yellow chilli peppers). Wakati mwingine huwa zinaota mashambani (wild charapita). Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane 0676434611...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.