Mwenye bei mpya ya vifurushi vya Dstv anisaidie!

Mwenye bei mpya ya vifurushi vya Dstv anisaidie!

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,034
Reaction score
900
Kwa yoyote mwenye mabadiliko ya bei ya vifurushi vya Dstv naomba aweke ubaoni ... Bomba, Family, Compact, Compact + & Premium.
 
Tafadhali fahamu kuwa gharama zetu mpya za vifurushi zitakua kama ifuatavyo; Premium Tsh.139,000/- Compact plus Tsh.89,000/-Compact Tsh. 49, 000/-,Family Tsh.29, 900/- na Bomba Tsh.19, 900/-tu
 
Nakushukuru kwa taarifa.

tafadhali fahamu kuwa gharama zetu mpya za vifurushi zitakua kama ifuatavyo; Premium Tsh.139,000/- Compact plus Tsh.89,000/-Compact Tsh. 49, 000/-,Family Tsh.29, 900/- na Bomba Tsh.19, 900/-tu
 
Wadau wadau
Iv wadau kwan Dstv hawa ruhusu mtu kulipia kwa siku au wiki moja walau ..
 
Hao wako next level hakuna mambo ya siku wala wiki
Nimewahi kuwauliza hili na jibu lilikuwa tu "hatuna". Sioni mantiki ya kutokuwepo vifurushi vya siku, wiki. Waliamua kushuka chini ili kupata wateja zaidi na wamefanikiwa. Ushauri wangu kwao na hili waliangalie.
 
tafadhali fahamu kuwa gharama zetu mpya za vifurushi zitakua kama ifuatavyo; Premium Tsh.139,000/- Compact plus Tsh.89,000/-Compact Tsh. 49, 000/-,Family Tsh.29, 900/- na Bomba Tsh.19, 900/-tu
Gharama zimepanda na baadhi ya channel wametoa, labda kama ni kwangu tu. Mfano kwa kifurushi cha bomba, nimeona wametoa channel zote za supersport (201-210). Kulikuwa na channel ya movies, 139, nayo wametoa. Wajiangalie!
 
Nimewahi kuwauliza hili na jibu lilikuwa tu "hatuna". Sioni mantiki ya kutokuwepo vifurushi vya siku, wiki. Waliamua kushuka chini ili kupata wateja zaidi na wamefanikiwa. Ushauri wangu kwao na hili waliangalie.
Dstv sio ya bongo iyo ni chanel ya dunia nzima,unacho lipia huna nenda Azam ama Continental
 
Back
Top Bottom