Nimekwama na nahitaji hela ya haraka ili niweze kutatua shida yangu.
Katika vitu nilivyonavyo na angalau vinaweza kunipatia hela ya kukidhi shida yangu ni Blender na Rice cooker. Kwa hiyo...
Bado nzima; ina portions mbili ya chini na juu.
Juu kwa ajili ya kupooza
Chini ya kugandisha
Ina ICE BOX kwa ajili ya kutengeneza barafu la nje.
Ni Imara. [emoji91][emoji91][emoji91]
Bei...
Kama uko Arusha au unamfahamu mtu yeyote mwenye stoo, naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0629 255 677 . Nitumie hata sms.
Natafuta stoo ya kuhifadhia mzigo wa dagaa. Niko Arusha. Asanteni sana.
Toyota Brevis (DND)
Year: 2005
CC:2490
Full AC
Silver Coloured
Key to Start
Fog Lights
Clean Seats
Good Tyres + Original Sports Rim + New Spare Tyre
Music system + Radio
Full Documents...
Pata school bags za kisasa mapemaa kabla msimu wa shule haujafika. Ni water proof bags hata mvua ikinyesha maji hayaingii ndani kulowesha daftari.
Quality yake ni nzuri sana ni ngumu na imara...
Endapo baadhi ya matatizo yatatokea katika gari lako hasa matatizo ambayo yanagusa mifumo ya muhimu katika gari lako basi mfumo wa kompyuta wa gari lako utaizima baadhi ya mifumo ambayo si ya...
Habari za wakati huu,
Kwa wale wanaohitaji kununua Viwanja,Mashamba na Nyumba Katika wilaya ya Kigamboni kwa Gharama nafuu wakati ndio huu:
Viwanja vyenye ukubwa tofauti vipo...
Kama uko Arusha au unamfahamu mtu yeyote mwenye stoo, naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0629 255 677 . Nitumie hata sms.
Natafuta stoo ya kuhifadhia mzigo wa dagaa. Asanteni sana.
Kwanini usubiri hadi January kununua viatu vya shule kwa ajili ya mwanao, wakati ni sasa jipatie viatu vya shule na offer ya socks Kwa 35,000
Call/what's up 0744 002351
Zinapatikana no 20 - 40
Kwa wale Wafanyabiashara wakubwa, wakati na wadogo tunayofuraha kuwatangazia upatikanaji wa dagaa safi kutoka Bukoba.
Sifa za dagaa ni
Wasafi hawana mchanga
Siyo wachachu kama uliyowazoea...
Mwenye kujua wapi naweza pata aina hii ya bluetooth speaker kwa hapa Tanzania pls nijulieshe na bei zake ni kampuni ya BOSE
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipo eneo linaitwa igingilanyi. Eneo zuri kwa ufugaji na kilimo. Ukubwa wa shamba ni hekari 2.2 nyumba ya kijana ipo, kisima cha maji na bwawa la samaki ambalo linaweza kutumika kama msingi wa...
Wasaalam
Kwa wale wenye mahitaji wa Mabegi original,Mabagi ya Laptop/Masanduku na begi nyingine nyingi kwa bei za jumla karibuni tufanyeBiashara.
Tunaweza kukutumia mzigo wako mahali popote...
Pata mikoba ya Wanawake kwa bei ya chini kabisa, Mikoba yetu ni kwaliti ina rangi zaidi ya ishirini bei zetu ni bei za jumla jumla yaani elf nanetu tunauza kuanzia mikoba 5+
Whatsaap
Karibuni nyoote!
1.BLUETOOTH EARPHONES - OUT OF STOCK
- Talk time: 3hours
- Music time: 3 hours
- Condition : New
- Price : Tsh. 19,000/=
- Colour: white
- Call 0764232348
- free delivery in Dar es salaam
2...
Wakuu habarini za Asubuhi....Naomba kuwashirikisha wazo langu hili ambalo litakuwa ni kama njia ya kupata TAARIFA juu ya MINADA mbalimbali ya Vitu na Mali.
1.Minada ya TRA
2.Minada ya Mashirika...
Zinatoa mwanga mkali ambao Ni light warm(sio mweupee ni
njano kidogo)
-zinatumia umeme we TANESCO -Zina Watt 20
-Ni LED
-Mwanga wake Ni direct na siyo scattered
-Sport light
-Zipo Pc4
- Zinatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.