Solid State Driver (SSD) Ndo suluhisho la uzito wa Computer yako! Simple tu Unatoa Hard Disk unaweka SATA SSD ata kama machine yako ina Ram GB2 lakini ukiwa na SSD Computer yako itakuwa nyepesi...
Baada ya zoezi la kurudisha channel za nyumbani (local channels) katika king'amuzi cha DSTV bei yao ya kufunga king'amuzi kipya kuwa 59,000/ huku AZAM wakibakia na bei ya king'amuzi kipya...
Waungwana najua shida kill mmoja wetu humpata nakuamua kuuza kilicho chake hatakama anakipenda kiasi gani ili kimsaidie hivyo na mimi msaada wa kutatua tatizo langu nimeamua kuuza simu yangu...
Sehemu: MWANZA USAGARA-NYANGHOMANGO.
[emoji2518] Ina vyumba vitatu kimoja ni master, sebule, public toilet,
[emoji312] Kiwanja cha nyuma kilichobaki 15 kwa 23, unaweza kujenga nyumba nyingine...
Lipo Kijiji Cha yakobi
Katika halmashauri ya mji njombe
Mkoani njombe
Lipo barabara kuu ya lami ya njombe-songea
Kutoka bararani mpaka shambani ni umbali wa mita 850
Parachichi zina umri wa...
Iko katika hali nzuri ni ya January 2021.
Ina vitu na nyaraka muhimu kama ifuatavyo:
1. Bima hadi Feb 23
2. Latra hadi Jun 23
3. Mapato TRA hadi Dec 22
4. Imefungwa GPS
5. Imejengewa vizuri...
Habari wakuu
Kwa anayehitaji Containers za 40ft ziko katika condition nzuri kabisa na zipo nyingi kama unahitaji basi nicheki tuzungumze
Bei 4600 USD
LOCATION KURASINI
.
Habari wakuu daah nilinuanua hisa bila kutafuta washauri sasa nahangaika maana hata kuuza mawakala wote wanasema Hakuna mteja nimejaribu hata kuomba wanipe kiasi chochote Hakuna majibu.
Nimeleta...
Helmet ya Harley davidson original na Beg lake naiuza kwabei nzuri kabisa.Nilinunua kwamatumizi yangu kutoka Dubai showroom Harley anaeelewa vizuri hii brand bei Tsh.500,000/= mawasiliano 0769618684
Habari JF.
Natafuta chumba kigamboni chenye choo cha ndani na geti la kulaza chombo cha usafiri.
Maeneo yafuatayo
1 Mikadi
2 maweni
3 The giant.
Chumba chenye choo ndani! Ahsante Sana
Rejea na somo hapo juu, nahitaji msaada wa kupata soko la mtu mmoja mmoja au kampuni ambayo inaweza kununua konokono na jongoo wa shambani na sio wale wa baharini. Ukinisaidia kupata soko utakuwa...
Banda la biashara linauzwa lipo kigamboni dar es salaam,ni kubwa na linahamishika,halina tatizo lolote bei ni 380,000 tu! Nipigie 0653110660. Kama haupo mbali sana na kigamboni nakuletea FREE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.