Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ina support mitandao yote ni 4g LTE Bei 55,000 Mpya dukani ni 120,000 nipo Ubungo - Dar es salaam IMESHAUZWAAA
1 Reactions
7 Replies
753 Views
Solid State Driver (SSD) Ndo suluhisho la uzito wa Computer yako! Simple tu Unatoa Hard Disk unaweka SATA SSD ata kama machine yako ina Ram GB2 lakini ukiwa na SSD Computer yako itakuwa nyepesi...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Baada ya zoezi la kurudisha channel za nyumbani (local channels) katika king'amuzi cha DSTV bei yao ya kufunga king'amuzi kipya kuwa 59,000/ huku AZAM wakibakia na bei ya king'amuzi kipya...
22 Reactions
347 Replies
48K Views
Habari Kiwanja kinauzwa Chanika maeneo ya Buyuni, Kigezi Kina ukubwa wa 1600 sqm bei ni milioni 18, ama ukitaka kukatiwa pia sawa Maelezo zaidi DM
0 Reactions
3 Replies
875 Views
Waungwana najua shida kill mmoja wetu humpata nakuamua kuuza kilicho chake hatakama anakipenda kiasi gani ili kimsaidie hivyo na mimi msaada wa kutatua tatizo langu nimeamua kuuza simu yangu...
0 Reactions
10 Replies
594 Views
Sehemu: MWANZA USAGARA-NYANGHOMANGO. [emoji2518] Ina vyumba vitatu kimoja ni master, sebule, public toilet, [emoji312] Kiwanja cha nyuma kilichobaki 15 kwa 23, unaweza kujenga nyumba nyingine...
0 Reactions
2 Replies
695 Views
Lipo Kijiji Cha yakobi Katika halmashauri ya mji njombe Mkoani njombe Lipo barabara kuu ya lami ya njombe-songea Kutoka bararani mpaka shambani ni umbali wa mita 850 Parachichi zina umri wa...
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Iko katika hali nzuri ni ya January 2021. Ina vitu na nyaraka muhimu kama ifuatavyo: 1. Bima hadi Feb 23 2. Latra hadi Jun 23 3. Mapato TRA hadi Dec 22 4. Imefungwa GPS 5. Imejengewa vizuri...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Limetumika wiki mbili tu Bado nzuri sanaa Bei -600k Risit yake ipo
0 Reactions
4 Replies
958 Views
Habari wakuu Kwa anayehitaji Containers za 40ft ziko katika condition nzuri kabisa na zipo nyingi kama unahitaji basi nicheki tuzungumze Bei 4600 USD LOCATION KURASINI .
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wakuu daah nilinuanua hisa bila kutafuta washauri sasa nahangaika maana hata kuuza mawakala wote wanasema Hakuna mteja nimejaribu hata kuomba wanipe kiasi chochote Hakuna majibu. Nimeleta...
1 Reactions
162 Replies
29K Views
Kuna laptop inahitajika kwa mtu ambaye anayo mpya.nicheki dm
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Nauza simu yangu Infinix not 7 Ina ram GB 4 Storage gb 64 Nipo kimara nataka 220 Call 0625772790
0 Reactions
1 Replies
415 Views
Helmet ya Harley davidson original na Beg lake naiuza kwabei nzuri kabisa.Nilinunua kwamatumizi yangu kutoka Dubai showroom Harley anaeelewa vizuri hii brand bei Tsh.500,000/= mawasiliano 0769618684
0 Reactions
8 Replies
728 Views
Habari JF. Natafuta chumba kigamboni chenye choo cha ndani na geti la kulaza chombo cha usafiri. Maeneo yafuatayo 1 Mikadi 2 maweni 3 The giant. Chumba chenye choo ndani! Ahsante Sana
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Rejea na somo hapo juu, nahitaji msaada wa kupata soko la mtu mmoja mmoja au kampuni ambayo inaweza kununua konokono na jongoo wa shambani na sio wale wa baharini. Ukinisaidia kupata soko utakuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Drone Camera mpya kabisa inauzwa kwa bei nafuu sana tupo Dar na tunatuma mikoa yote. wasiliana nasi kwa simu 0717040837 au 0767267664
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Carina Ti Manual gear 7M 0744757738
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Banda la biashara linauzwa lipo kigamboni dar es salaam,ni kubwa na linahamishika,halina tatizo lolote bei ni 380,000 tu! Nipigie 0653110660. Kama haupo mbali sana na kigamboni nakuletea FREE!
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom