Nauza kabati la aluminium la kioo.
Bei Tsh 120K
Ukubwa wake. (77,65,37cm)
Mahali : Dar
Simu no:0658 106 630
Utakuwa umeokoa 40% ya gharama yakutengeneza kabati jipya.
Shallom / A.Salaam Aleykum
Husika na Kichwa Cha Habari Hapo Juu.
Nimekua interested na teknolojia ya ujenzi wa kitumia interlocking bricks kwani seems ina faida nyingi kuliko tofali za kawaida...
Je una Mikanda ya Zamani ya video na unataka kuibadilisha ? Tupo kwa ajili yako tunaweza kuokoa kumbukumbu zako ikiwemo harusi..msiba..graduation na mengineyo karibu ofisi zetu ziko dsm ilala...
|| MURII PAVING BLOCKS [emoji3537]||
✓TUNAFYATUA NA KUPANGA PAVING BLOCKS ZA AINA MBALIMBALI
✓TUNAFANYA RENOVATION YA PAVING ZILIZOPAUKA /KUPAKA RANGI
✓TUNAREPAIR PAVING ZILIZOTITIA NA KUBOMOKA...
Habari wana JF, kama kuna mtu anaweza kunitengenezea posters kwajili ya matangazo ya biashara yangu online plse nicheki kwa namba 0717217520 calls & whatsapp.
Specifications
Kg 300 per hr
Hp 30 motor
Size 75
Plate 25mm
Price 12,000,000/
Cont. 0689 859167
Hp 15 motor
Kg 100 per hr
Size 60
Plate 25mm
Price 10,000,000/
Habari naitwa Frezier Nehatta kutoka forever events sisi tunajihusisha na event decoration kama vile harusi,kitchen party,birthday, graduation,anniversary,engagement,farewell n.k tupo dar es...
TANGAZO! TANGAZO!! TANGAZO!!!
Ndugu yetu Hillary Eliailisa Kimaro wa Mwika-Kilimanjaro amepotelewa na vyeti vyake original pamoja na vitu vingine vya thamani Arusha mjini akiwa safari kuelekea...
Hello wana JF.
Naombeni anayejua namna ya kupata shamba la kukodisha West Kilimanjaro nahitaji Ekari mbili, moja ya maharagwe na moja ya mahindi. Asante sana.
Salaam ndugu zangu wa JamiiForums.
Mimi ni mmoja wa member katika jukwaa hili kwa kipindi kirefu sana na nimekuwa nafatilia jukwaa hili kila siku, Yaani nikifika tu ofisini jambo la kwanza ni...
We are looking for committed PMP aspirants who really need to ace the PMP Exams. We mean those who are capable to register for PMP exams and pay $555 (if Non-PMI member) and $405 (PMI member).
We...
Fundi umeme na madish aina zote nipo hapa.nafanya kazi kwa uwakika na kazi mzuri.bei zangu za kawaida tu wala hatuwezi shindwana.kwa sasa nipo Dar es salam.
*Wireling safi na salama
*Tunafunga...
Pata Tovuti kwa biashara/kampuni yako kwa gharama ya Tsh 230,000/-. Hii ikiwa ni pamoja na gharama ya Domain na hosting.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Habari wakuu,
Eneo hili linapangishwa kwa matumizi ya bar(pub), groceries, mgahawa na biashara nyingine kama ulionavyo lipo maeneo ya Tabata(DSM), Kodi kwa mwezi ni laki mbili(200,000/=)
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.