Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kipo Msangani, Karibia na zahanati ya Kibaha kwa Mathias Msangani. Ukubwa mita 20 kwa 24 Milioni mbili na nusu Km 6 toka Morogoro road Umeme na maji vipo +255 762 689 034
0 Reactions
4 Replies
1K Views
BIASHARA IMEFUNGWA: LAPTOP IMEUZWA Ahsante kwa kupitia tangazo Habari zenu! Nauza laptop mali yangu mwenyewe haina dalali yenye maelezo haya: Aina: Hp Elitebook Vpro Folio: 1040, touch screen...
0 Reactions
6 Replies
975 Views
Nauza iPhone 8 Plus, 64 GB, simu ipo Dar es salaam. Bei ni 389,000 tshs. Negotiable. Kama unahitaji nicheki hapa au dm. Unaweza pia kunicheki Whatsapp: +8619974300439
1 Reactions
5 Replies
914 Views
Biashara ya wallpapers inakua kwa kasi sana Tanzania. Hii ni kutokana na uhitaji na unafuu wa bidhaa hizi. Wallpapers zinatumika katika maduka ya ofisi na nyumbani pia kama moja ya kuifanya nyumba...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Mshtue na mwenzio, sio jambo la kukosa hili. #RudiNyumbaniKumenoga
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika utekelezaji wa miradi, wakati mwingine mteja (client/beneficiary) hutarajia huduma zenye ubora wa kiwango fulani/mtindo fulani tofauti na uwezo wetu katika kuzalisha. Hali hii kwa kiasi...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa sq.909, kinauzwa, bei milioni 5.5 Kipo Nghonghona, kilomita chache sana kutoka Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma. Kimepimwa. 0779017650 Kimewekewa beacon kabisa, very...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Tunazo sub woofer za aina mbali mbali kutoka sea piano,aborder,pinetech na keptech. Dar es salaam na maeneo ya jirani unaletewa mpaka nyumbani,mkoani tunatuma pia. tunafute vica electronics...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Mambo vp wakuu, Nahitaji kreti na Chupa za bia na soda. Nipo Dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu ipo gari aina ya Canter inauzwa kwa bei ya M18 ikiwa bado ni nzima kabisa..na haina udalali wowote karibuni My number. 0714 664 520
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau nahitaji ist ya cc1290, ila sitaki dalali, owner anaweza nicheki inbox, preferably namba DM kushuka chini
1 Reactions
14 Replies
909 Views
Habari, Nahitaji chumba Cha kupanga maeneo ya TEGETA,KIBO nk Kiwe kuzuri Kuanzia 30 hadi 40 Kodi maelewano miezi 3
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza simu aina ya infinix hot 12 i imetumika wiki moja tu.Ina document zote risiti na warrant card ya mwaka mmoja toka infinix PROPERTIES 1.RAM 2.00 GB 2.ROM 64GB 3.CAMERA 8M 4.13M TRIPLE CAMERA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zimetumika kwa muda usiozidi mwezi 1 kutoka zimenunuliwa dukani. Zipo kwenye mabox na risiti zake zipo. Cherehani laki 2, over rock laki 1.5. Karibuni (0783 708437)
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Sold
2 Reactions
0 Replies
743 Views
Nauza fridge kubwa ya milango miwili ipo keko dilers,inafanya kazi vizuri.bei yake 260,000. Pia kuna frizer ndogo iko poa pia inafanya kazi vizuri imezungushiwa copper ndani .rangi yake iko poa...
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Simu inauzwa Oppo f1s bei 200k Storage GB 64 Ram 4 GB Price 200,000 Call 0764182683
0 Reactions
3 Replies
728 Views
Habari za wakati huu Wana JF. Leo nimerudi tena Ndugu Zanguni, Nauza Milango MITANO (5) ya MNINGA. Ni mipya kabisa, bei ni tsh Laki mbili na elf hamsini (250,000/=) kwa mlango MMOJA. Maongezi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za mchana kwema wana jf, twende kwenye mada.Siku hizi magari yamekuwa adimu sana watu hawataki kutuuzia magari yao ya namba D na sisi tuvimbe nayo mtaani.wakati sasa namba E uko inakimbia...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ya mchana waungwana, gari hii hapa haina shida yoyote ni nzima kabisa. Gari ipo Goba njia ya kwenda Madale. Bei ni 9.5 pekee. Ukitaka kuiona, kukagua na kumaliza ama picha zaidi nicheki...
2 Reactions
1 Replies
666 Views
Back
Top Bottom