Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza mlango wa Kioo (Aluminium) mahususi kwa kupachikwa kwenye fremu ya biasharaSize: Futi 7 kwa futi 7. Umetumika kwenye frame ya bucha kwa muda mfupi wa miezi 3 tu, bei ni TZS. 150,000 Tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyosema eneo linauzwa vigwaza barabara ya kwala linakaribia heka 1 bei mil 4 maelewano yapo pia nicheki kwa namba 0718003504
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Swift namba c Full ac Full documents kila kitu Bei/price-4.5 M
0 Reactions
0 Replies
376 Views
@matangazo_digital Ni watengenezaji wa Matangazo mbali ya video na sauti yanayo ielezea biashara yako kwa dakika moja tu. Tangaza kidijitali wafikie wateja wako mahali popote tanzania NB...
0 Reactions
2 Replies
797 Views
Natafuta gari ya kukodi kwa mizunguko ya hapo Dar kwa wiki moja wakati wa likizo. Napendelea mfumo manual. PM na kiasi chako cha gharama kwa siku.
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Nashindwa kujua ni kampuni ipi naweza kupata jagi konki (original), naomba msaada wa mawazo tafadhali. Liwe automatic (maji yakichemka ufikia centigrade mia linajikata lenyewe), ila lisiwe...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini wadau, Ningependa tujuzane juu ya bei ya mchele kwa bei ya jumla(bei ya mashineni) kutokea hapo ulipo. Mimi nikianza na hapa Morogoro ni Tsh: 600/=
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Tunatoa huduma ya fumigation na usafi maofisini, majumbani, Viwandani na maghala kwa ufanisi wa hali ya juu kabisa. Tunavitendea kazi vya kisasa vyenye ubora kabisa pamoja na wafanyakazi wenye...
2 Reactions
1 Replies
505 Views
Habari wakuu, kama una account ya Upwork au Fiverr ya zamani iliyowahi kununua bidhaa au huduma niko interested kukulipa unipe review kwenye account zangu. Kwa wale wa Upwork ntakulipa, halafu...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Compressor LITA 300 Inatumia Jenereta + PETROL Horse 6 750,000🔥🔥🔥 0688986066 MBEZI-MWISHO
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Gari imenunuliwa Toyota km 0 now ina km 80 Engine 1kd Year 2010 Push to start Leather seats Automatic Transmission Registration plate number B Price mil 68,000,00 Location Dar es Salaam...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mashamba yanapatikana kata ya mafizi, kijiji cha ving'andi na zipo zaidi ya hekari 300 zilizopimwa, Mashamba haya mazuri kwa kilimo na bei yake kwa kila hekari ni laki nne, 400,000/= Maji...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
INAUZWA IPO IRINGA HAIDAIWI HAINA TATIZO NUMBER D BEI 70,000,000/= MAWASILIANO: 0745 101 615 Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
505 Views
Kwa wale wapenzi wa team hizi kubwa tumewetea taa za logo ya team . [emoji842]Zinatoa mwanga wa rangi 7 tofauti [emoji842]Zinatumia usb inayokuja nayo au unaweza weka battery za AA...
0 Reactions
0 Replies
412 Views
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA...
3 Reactions
4 Replies
777 Views
Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Naomba kufahamishwa ninapoweza kupata hii mashine ya kupandia mbegu kama alizeti, ufuta, mahindi nk. Seed Planter Video Eneo nilipo ni Dar es salaam. Ni vyema zaidi...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Ndugu zangu nimekuja kwa niaba ya ndugu yangu. Ndugu yangu(rafiki wa dhati kabisa) kakwama, kanikuta nduguye niko dhohoful hali kiuchumi. Tatizo hili ni kama langu, mnisaidie ndugu yenu. Tunauza...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom