Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza decorder ya DStv Ina remote na wire zake. Nahitaji 20,000. Ipo Kigamboni 0738 862 877
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nauza IPhone 7 Plus Color:- Rose gold Storage- 32gb 3gb Battery Health:- 100% Display:- 5.5 inch Condition:- Neat and no scratch Location:- Mbezi luis ,Dar es salaam Contact:-0756248745
2 Reactions
11 Replies
988 Views
Vinauzwa vifaa vyote vya msingi kuweza kuanzisha maabara ya afya ya binadamu. Call 0765252600 vyote ni vipya
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari. Napenda kuwaletea na mashine ya kisasa ya juisi ya miwa iliyo mdogo (5Okg) na yenye ufanisi wa halo ya juu. Ina roller tatu hivo kusaga miwa Mara moja tu bila kurudia. Inatumia chain...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
wakubwa habari Nina shida na fremu au eneo la biashara kwa ajili ya uuzaji wa vitu kama juisi vitafunwa na chips, kwa maeneo ya temeke dar es salaam na pia liwe linaruhusu biashara hizo hapo juu...
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Habari rafiki, karibu ujipatie godoro nzuri ya uhakika kiukweli hauta jutia kabisa.Nakushauri kitu kimoja kwenye sekta ya magodoro kuna aina nyingi sana za godoro na kwa watu wengi tunakalili...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Naomba kupata maoni yenu wenye uzeofu na Zuku Internet, nataka kuweka package yao ya 20MB. Maoni na ushauri please
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Toyota ipsum: Very good condition[emoji91] Mwaka: 2000 Engine Capacity: 1990. Engine type: 2AZ. Engine&gear box condition: Good condition. [emoji618]: Petrol. Transmition: Automatic. Loc Music...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Habari Karibu ujipatie shuka Duvet Duvert cover Carpet Pazia kwa bei poa Tupo ubungo Whatsaap 0746374457 Dar delivery ipo ni juu ya mteja #your taste is here
1 Reactions
0 Replies
491 Views
KARIBU SHULE YA SEKONDARI JOY GIRLS' ILIYOPO MKOANI MBEYA KWA KIDATO CHA KWANZA 2023. INTERVIEW ZITAKUA ZIKIFANYIKA KUANZIA MWEZI WA KUMI. MTOTO ATAPATIWA: 1) ELIMU BORA 2) CHAKULA BORA NA MALAZI...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini wakuu, Waridi pure & natural honey inawakaribisha wafanya biashara kutoka nchi zote za Afrika Mashariki kujipatia asali mbichi ya nyuki wadogo na nyuki wakubwa kwa bei nzuri...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Price: 140,000/= Location: Mbezi kimara Cont: 0758 597106 condition: Used only once.
0 Reactions
0 Replies
377 Views
Gari ipo katika hali nzuri na imetunzwa kama 0Km, njoo na fundi wako uchukue mali. Contacts: 0746 931 556 Location: Mwanza Bei: 17M (Milioni kumi na saba ) tshs.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, naanza kufundisha javascript programming. Focus kubwa itakuwa katika web development. Utajifunza dynamic web pages. Gharama ni sawa na bure, utalipia 10,000 na ntafundisha kwa...
5 Reactions
49 Replies
4K Views
Habar za jion wadau wa jukwaa Kwa yoyote mwenye mercury nyekundu nanunua tafadhali kwa bei nzuri kabi saa hadi mwenyewe ataridhika Na sihitaji nyingi nahitaji kiasi kidogo tuu kama unayo njoo...
1 Reactions
22 Replies
10K Views
Mahali: Kisarawe Kijiji cha Gwata (Appr. 60 km toka Mlandizi) Ukubwa: Ekari 47 Hali ya shamba: Limepimwa na lina hati ya kimila ya halmashauri. Shamba ni pori. Bei : milioni 7 (saba) tu kwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita 25 kwa 20 kilichopo Mabwe Pande karibu na mto Mpiji kwa Tsh 5M. Umeme upo tayari kiwanjani na pia Kiwanja hiki hakijapimwa. Nipigie 0736770052
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Bei isiwe kali, zingatia yafuatayo 1. Uwe na risit ya tv 2. Kama hauna risiti tunaandikishiana pamoja vitambulisho na passport size 3. Isiwe imeguswa na fundi 4. Bei iwe ya kitanzania Picha...
0 Reactions
0 Replies
366 Views
Shamba linauzwa, linafaa kwa kilimo Cha parachichi, miti ya mbao, maharage n,k Lina ukubwa wa eka 50. Bei ya kila eka ni tsh laki tatu na Elfu hamsini (350,000=) Shamba lipo Kijiji Cha mfriga...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada wa mawazo juu ya kufanya malipo online nahitaji kulipia visa ya Canada Leo siku ya nne. kila nikilipia sipati OPT code kutoka bank ili niingize kukomferm malipo, lingine...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom