Nauza IPhone 7 Plus
Color:- Rose gold
Storage- 32gb 3gb
Battery Health:- 100%
Display:- 5.5 inch
Condition:- Neat and no scratch
Location:- Mbezi luis ,Dar es salaam
Contact:-0756248745
Habari.
Napenda kuwaletea na mashine ya kisasa ya juisi ya miwa iliyo mdogo (5Okg) na yenye ufanisi wa halo ya juu.
Ina roller tatu hivo kusaga miwa Mara moja tu bila kurudia.
Inatumia chain...
wakubwa habari
Nina shida na fremu au eneo la biashara kwa ajili ya uuzaji wa vitu kama juisi vitafunwa na chips, kwa maeneo ya temeke dar es salaam na pia liwe linaruhusu biashara hizo hapo juu...
Habari rafiki, karibu ujipatie godoro nzuri ya uhakika kiukweli hauta jutia kabisa.Nakushauri kitu kimoja kwenye sekta ya magodoro kuna aina nyingi sana za godoro na kwa watu wengi tunakalili...
Toyota ipsum: Very good condition[emoji91]
Mwaka: 2000
Engine Capacity: 1990.
Engine type: 2AZ.
Engine&gear box condition: Good condition.
[emoji618]: Petrol.
Transmition: Automatic.
Loc
Music...
Habari
Karibu ujipatie shuka
Duvet
Duvert cover
Carpet
Pazia kwa bei poa
Tupo ubungo
Whatsaap 0746374457
Dar delivery ipo ni juu ya mteja
#your taste is here
KARIBU SHULE YA SEKONDARI JOY GIRLS' ILIYOPO MKOANI MBEYA KWA KIDATO CHA KWANZA 2023.
INTERVIEW ZITAKUA ZIKIFANYIKA KUANZIA MWEZI WA KUMI.
MTOTO ATAPATIWA:
1) ELIMU BORA 2) CHAKULA BORA NA MALAZI...
Habarini wakuu,
Waridi pure & natural honey inawakaribisha wafanya biashara kutoka nchi zote za Afrika Mashariki kujipatia asali mbichi ya nyuki wadogo na nyuki wakubwa kwa bei nzuri...
Gari ipo katika hali nzuri na imetunzwa kama 0Km, njoo na fundi wako uchukue mali.
Contacts:
0746 931 556
Location: Mwanza
Bei: 17M (Milioni kumi na saba ) tshs.
Habari wana jamvi, naanza kufundisha javascript programming. Focus kubwa itakuwa katika web development. Utajifunza dynamic web pages.
Gharama ni sawa na bure, utalipia 10,000 na ntafundisha kwa...
Habar za jion wadau wa jukwaa
Kwa yoyote mwenye mercury nyekundu nanunua tafadhali kwa bei nzuri kabi saa hadi mwenyewe ataridhika
Na sihitaji nyingi nahitaji kiasi kidogo tuu kama unayo njoo...
Mahali: Kisarawe Kijiji cha Gwata (Appr. 60 km toka Mlandizi)
Ukubwa: Ekari 47
Hali ya shamba: Limepimwa na lina hati ya kimila ya halmashauri. Shamba ni pori.
Bei : milioni 7 (saba) tu kwa...
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita 25 kwa 20 kilichopo Mabwe Pande karibu na mto Mpiji kwa Tsh 5M. Umeme upo tayari kiwanjani na pia Kiwanja hiki hakijapimwa. Nipigie 0736770052
Bei isiwe kali, zingatia yafuatayo
1. Uwe na risit ya tv
2. Kama hauna risiti tunaandikishiana pamoja vitambulisho na passport size
3. Isiwe imeguswa na fundi
4. Bei iwe ya kitanzania
Picha...
Shamba linauzwa, linafaa kwa kilimo Cha parachichi, miti ya mbao, maharage n,k
Lina ukubwa wa eka 50. Bei ya kila eka ni tsh laki tatu na Elfu hamsini (350,000=)
Shamba lipo Kijiji Cha mfriga...
Jamani naombeni msaada wa mawazo juu ya kufanya malipo online nahitaji kulipia visa ya Canada Leo siku ya nne.
kila nikilipia sipati OPT code kutoka bank ili niingize kukomferm malipo, lingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.