Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 132
- 541
TANGAZO: Shule huria ya Kijiji cha Nyuki Singida inakutangazia mafunzo ya mwezi ya kuanzisha na kusimamia manzuki, kuvuna na kuchakata, na masoko ya mazao na huduma za nyuki za nyuki yatakayoanza tarehe 1 Septemba hadi 30 Septemba 2022 kwa ada ya Tsh Milioni moja ambapo wanafunzi watapata chakula, malazi na safari za mafunzo kwa siku 30.
Kwa usajili na maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba +255 765 895 805, +255717027973 na kwa kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii (kijiji cha nyuki Tanzania).
WHERE NATURE MADE BEES AND PEOPLE BEST FRIENDS.
Kwa usajili na maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba +255 765 895 805, +255717027973 na kwa kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii (kijiji cha nyuki Tanzania).
WHERE NATURE MADE BEES AND PEOPLE BEST FRIENDS.