Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Eneo hili linapangishwa kwa matumizi ya bar(pub), groceries, mgahawa na biashara nyingine kama ulionavyo lipo maeneo ya Tabata(DSM), Kodi kwa mwezi ni laki mbili(200,000/=) Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ilo la upande wa kulia. Nicheki kwa 0746243817
0 Reactions
0 Replies
308 Views
Habari ndugu zangu wa JF poleni na majukumu ya hapa na pale. Sisi ni mafundi ujenzi tunajenga nyumba aina yoyote kulingana na mteja anavyo itaji kwa ubora mkubwa na kwa gharama nafuu zaidi..Vile...
2 Reactions
6 Replies
816 Views
Pump ya kumwagilia inauzwa inch 3 800000 bargain Ipo nicheki 0710881879 Nipo mwenge Dar
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nauza RAM 4GB ya Laptop Bei: 35k Dm me or nichek 0621554787
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Ni mafundi wazur wa rangi za kisasa pamoja na material design mbali mbali kwa kupiga nje ya nyumba na kuleta muonekano mzuli wa nyumba yako kwa mawasiliano zaidi cm namba 0718884670
0 Reactions
53 Replies
14K Views
Nauza bajaj no MC 263 CED bei 3M, ipo Mbezi Mwisho no. 0766030011, Haina tatzo lolote.
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Habarii za usiku ndugu zangu wanaJF Kama inavyoonesha hapo juu mimi ni kijana nahitaji shamba kwa Morogoro kufanya shughuli za kilimo kwa kukodisha iwe eneo lenye maji inakua inapendeza zaidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwema Wakuu, Its in my hopes y’all fine. To The Matter Ebana nina Canter Box Body Tonne 3 nmenunua 3rd Hand Kwa Mtu Hapa Dar…Sasa nataka ni toe ile box body niweke kwenye hyo canter tipper na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, tafadhali nahitaji gari aina ya ist au raum ila tufanye exchange na kiwanja kigamboni kimbiji ambacho kina hati tayari toka ardhi ukubwa ni sqm 520 Kwa mawasikiano nicheki 0762987034...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
TUNAUZA MASHINE YA KUKATA/KUCHAKATA MAJANI WE ARE SELLING GRASS CHOPPING Bei ni 1,550,000Tsh Call/Text/: 0656873718 Whatsapp: 0719765056 Location; Dar es salaam, mabibo mwisho DETAIL SIFA ZA...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Samsung Galaxy A32 4G for Sale Korean version In partnership with LGU+ Condition: Used but in excellent condition Memory capacity: 64GB Colour : Powder Pink Display: 6.4inch Super AMOLED RAM: 4GB...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
BEI ZA OFA (PUNGUZO) TV KWA LEO BOSS 32(single kioo).....285,000 49(smart vioo viwili)..850,000 39.......470,000 NATIONAL 32(vioo viwili)....300,000 MR UK 32(double)....300,000...
6 Reactions
14 Replies
27K Views
Heshima kwenu wadau , Cummins 60kva Diesel Generator ipo sokoni nicheki 0710 881879.
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Pata viwanja eneo la mbezi mzalendo kuanzia 10 kwa 10 sq meter 100 kwa shilingi mil 1 na laki 2. Pia kuna eneo lingine lina ukubwa wa 10 kwa 10 tofali 500 na nondo 10 kwa shilingi mil 2 na laki 5...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nvidia gtx 1080 ti 11gb graphic card Inapiga game yeyote unayoijua ww up to 4k Pia kwa wale waofanya video editing ,graphic disighn au wanachora majengo wanaotumia lumion card hii Bei 1.4m...
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Natafuta kiwanja kuanzia pugu kuelekea town kama ukonga ivi kwa ajili ga ujenz wa nyumba ....niinbox au tunawez aelekezana hapa
0 Reactions
1 Replies
544 Views
Kwa anayehitaji cheti cha Pharmaceutical technician kinapatikana Location: Dar es Salaam Phone No: 0763060804
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii. Mwenye gari Suzuki Escudo old model au RV4 old model nahitaji. OFA yangu milion 10 itaongezeka kutegemea na ubora wa gari. Naitaka ya shughuli ya mashambani huko maana ni ngumu.
1 Reactions
5 Replies
959 Views
Njoo upate eneo la biashara lenye magorofa ya kutosha, haina udalali mmiliki ni mimi mwenyewe. Hati ipo Unaweza kwenda jiji ukamchukua surveyor mwenyewe mkaenda nae hata bila kuniambia...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom