Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

KARIBU KUNUNUA VITU MBALI MBALI KWA BEI NAFUU...[emoji593]AL AUTO PARTS ! Please let us know how we can help you.Ofisi zetu zipo Dar es salaam, kariakoo NA TABATA MUSLIMFree Delivery within...
1 Reactions
1 Replies
590 Views
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi, pia mashine za chakula Cha kuku, mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali, nk, karbuni sana wateja wetu tunapatikana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye nayo krb. Npo Geita, Walio jiran watapat kipaumbele.
0 Reactions
4 Replies
659 Views
Habari, Nakaribia kufungua kampuni ya kutoa ya courier services (delivery), na nimeona gharama za kununua vyombo vya moto kama pikipiki, Tricycles ni kubwa na nikaona ni rahisi kama naweza...
0 Reactions
3 Replies
934 Views
SOLD OUT[emoji845]
0 Reactions
2 Replies
496 Views
Chuo Kikuu cha Ushirika cha Moshi (MoCU) kilipitishwa rasmi tarehe 3 Julai 2014 na Tume ya Vyuo vikuu vya Tanzania katika mkutano wake wa 64 na kutoa idhini ya kubadilisha / kuboresha Chuo Kikuu...
4 Reactions
50 Replies
16K Views
64 gb rom 4 gb ram double line(duos) 4g 3000 mAh battery clean no crack 260k 0624008133 Dodoma
1 Reactions
5 Replies
717 Views
Brand new Amazon Kindle inauzwa, (full boxed) ni nzuri sana kwa wapenzi wa kusoma vitabu online au wanafunzi wa chuo, itakuepusha kutembea na mavitabu au Kila siku kwenda library kufuata vitabu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunauza matrekta aina ya Lovol
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar wadau wa elimu. Kuna jambo hapa naomba ushirikiano wako. Hii ni kwa zile shule za sekondari sasa kuna maabara zile za masomo ya physics, chemistry na biology. Sasa kwenye hizi maabara...
0 Reactions
1 Replies
496 Views
Wana jamvi, aliye somea COMMUNITY DEVELOPMENT (Maendeleo ya Jamii), HUMAN RESOURCES MANAGEMENT, mnakaribishwa kuomba Internship kwa wale mnaotaka kujifunza kazi hapa ndio pahala penu. Internship...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nianze kwa kushukuru wadau humu JF kwa mchango wao wa mawazo hadi makala hii kukamilika. Kwanza kabisa kabla hujafikiria kupunguza gharama za ujenzi unatakiwa kufahamu gharama halisi za ujenzi...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wana JF Nitangulize shukrani zangu kwenu wana JF Tunapatikana Mwanza Mjini kazi tunazofanya uchapishaji wa MaT,shirt mabango aina zote vikombe sahani na Graphic miyanvuli I'd...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Habari zenu wadau, mbwa anauzwa sh 350,000 . Nipo mikocheni dar es salaam . Kwa anae hitaji Karibu pm kwa maelezo zaidi
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Tarehe 13 October 2022 nitakuwa na send off ya bint yangu. Mwenye gari la kukodisha aina hizo hapo juu na liwe rangi nyeusi tuwasiliane. Root itakuwa kutoa ukumbini (Baracuda Hall) Tabata Baracuda...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nahitaji kununua gari aina tajwa hapo juu. Kama una aina yoyote kati ya hayo please pm. Budget 7m na naomba uwe mwenye gari na sio middle man.
0 Reactions
2 Replies
728 Views
TANGAZO: Shule huria ya Kijiji cha Nyuki Singida inakutangazia mafunzo ya mwezi ya kuanzisha na kusimamia manzuki, kuvuna na kuchakata, na masoko ya mazao na huduma za nyuki za nyuki yatakayoanza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau. Bajaji iyo inauzwa wakuu, Full vibal, tair mpya . Ruhusa kuja na fund kukagua mzigo huo, ml 4.300,000/= 0789 820122 Dar es salaam
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau, naomba kwa yoyote mwenye koneksheni ya frame ya biashara tuwasiliane. Mahitaji: Iwe maeneo ya kuanzia Mkuyuni hadi Buhongwa. Iwe maeneo yenye mzunguko mkubwa wa watu. Bei isiyozidi...
1 Reactions
0 Replies
495 Views
5 litres kettle 0788622610 50,000Tsh
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Back
Top Bottom