Maelezo: Shamba linauzwa Liko maeneo ya Lutukila,Madaba(Km 1 kutoka barabara ya Songea -Njombe)Ukubwa wa shamba eka 100; Mazao yaliyopo,korosho eka 20,mitiki eka 5,parachichi eka 3,Kuna bonde la...
OFFER OFFER OFFER, NAITUPA NOAH SR40 KALII SANAA
TOYOTA NOAH SR40 MPYAA SANAA
CURRENT REG: DHA
ENGINE SIZE : 1990 CC
Engine Type; 3s
AUTOMATIC TRANSMISSION
2-WD DRIVE
LOW MILAGE
FROM JAPAN
FULL...
Ipo Kibaha kwa Mfipa, ni kama 5 toka barabara kubwa inauzwa ml 90. Huduma ya maji na umeme vipo karibu, ina kisima cha maji pia, nyumba kubwa ya vyumba 3 na master. Pia kuna nyumba ndogo yenye...
Jifunze kiingereza kwa kiswahili.
Vitendo (verbs) vipo vya maumbo tofauti, kama vile tulivyoona go/ went/ gone/ going/ goes nk.
Ila hapa tutaangalia yale maumbo matatu tuliyosema Jana , umbo...
CROWN ATHLETE MPYAA SANAA (DMW)
Y.O.M 2006
Low Mileages
Engine 4gr
Cc 2490
Full Ac
Full File
With sports rims & good tyres
Well maintained
Clean in and out
All duties and tax payed
*Price...
Hiyo nyumba inauzwa ipo kimara suka ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master na jiko store public toilet na sitting room na dinning Room eneo lina ukubwa wa 25x27 Bei milioni 50
Begs jumla elf 35000 rejareja 40000 vinakuwa vitatu
Ni nzuri kimuonekano
Material ni nzuri sana
Tunapatikana Dar Kimara Suka
Tunafanya free derivery Tanzania nzima...
Canon ir 1730
Zinapiga kopy 30 kwa dakika moja
Zinauwezo wa kugeuza zenyewe
Zinaprint mbele na nyuma DUPLEX
Zina scan pia
Zina network system
Rahisi kutumia
Spea zake zinapatikana
Wino wake...
Natafuta gari tajwa hapo juu mwenye nayo isiwe ya udalali. Nahitaji gari safi ilionyooka bila vipengele offer yangu 9M.
Nicheki DM fasta angalizo gari iwe number D yeyote ile ila gari iwe...
Kwa mahitaji ya chakula safi na salad kwenye Harusi Send-off kitchen Pat Bathday mikutano Semina na hata misiba tupigie 0689198969. Tupo Kunduchi Dar es salaam. Tunakuletea ulipo.karibuni sana.
Shamba zuri sana kwa kufugia kitimoto linakodishwa. Lipo Kibaha Kwa Mathias
Sifa zake; mabanda mawili makubwa yanafaa kwa kufugia nguruwe, kuna store ya chakula cha mifugo, nyumba ya kukaa...
Habari zanu,
Natafuta shamba la kununua (siyo viwanja) kwa ajili ya kilimo na ufugaji, kuanzia ekari 5 hadi 10. Eneo liwe na ardhi nzuri kwa kilimo na ufugaji, maji yawe yanapatikana shambani au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.