Nashindwa kujua ni kampuni ipi naweza kupata jagi konki (original), naomba msaada wa mawazo tafadhali.
Liwe automatic (maji yakichemka ufikia centigrade mia linajikata lenyewe), ila lisiwe...
Habarini wadau,
Ningependa tujuzane juu ya bei ya mchele kwa bei ya jumla(bei ya mashineni) kutokea hapo ulipo. Mimi nikianza na hapa Morogoro ni Tsh: 600/=
Tunatoa huduma ya fumigation na usafi maofisini, majumbani, Viwandani na maghala kwa ufanisi wa hali ya juu kabisa.
Tunavitendea kazi vya kisasa vyenye ubora kabisa pamoja na wafanyakazi wenye...
Habari wakuu, kama una account ya Upwork au Fiverr ya zamani iliyowahi kununua bidhaa au huduma niko interested kukulipa unipe review kwenye account zangu.
Kwa wale wa Upwork ntakulipa, halafu...
Gari imenunuliwa Toyota km 0 now ina km 80
Engine 1kd
Year 2010
Push to start
Leather seats
Automatic Transmission
Registration plate number B
Price mil 68,000,00
Location Dar es Salaam...
Mashamba yanapatikana kata ya mafizi, kijiji cha ving'andi na zipo zaidi ya hekari 300 zilizopimwa, Mashamba haya mazuri kwa kilimo na bei yake kwa kila hekari ni laki nne, 400,000/=
Maji...
Kwa wale wapenzi wa team hizi kubwa tumewetea taa za logo ya team .
[emoji842]Zinatoa mwanga wa rangi 7 tofauti
[emoji842]Zinatumia usb inayokuja nayo au unaweza weka battery za AA...
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=).
Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
Habari wanajukwaa,
Naomba kufahamishwa ninapoweza kupata hii mashine ya kupandia mbegu kama alizeti, ufuta, mahindi nk.
Seed Planter Video
Eneo nilipo ni Dar es salaam. Ni vyema zaidi...
Ndugu zangu nimekuja kwa niaba ya ndugu yangu.
Ndugu yangu(rafiki wa dhati kabisa) kakwama, kanikuta nduguye niko dhohoful hali kiuchumi.
Tatizo hili ni kama langu, mnisaidie ndugu yenu.
Tunauza...
KARIBU KUNUNUA VITU MBALI MBALI KWA BEI NAFUU...[emoji593]AL AUTO PARTS ! Please let us know how we can help you.Ofisi zetu zipo Dar es salaam, kariakoo NA TABATA MUSLIMFree Delivery within...
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi, pia mashine za chakula Cha kuku, mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali, nk,
karbuni sana wateja wetu tunapatikana...
Habari,
Nakaribia kufungua kampuni ya kutoa ya courier services (delivery), na nimeona gharama za kununua vyombo vya moto kama pikipiki, Tricycles ni kubwa na nikaona ni rahisi kama naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.