Bima ya Afya

Bima ya Afya

kiri12

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
638
Reaction score
558
Habari wanajamvi,

Karibuni mjipatie bima ya afya kwa ajili yako, mtoto na familia yako, kama picha inavojieleza.

Kwa maelezo zaidi unaruhusiwa kuuliza

Karibuni sana.
Screenshot_20221102-201629~2.jpg


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Malipo kwa mwezi kwa Baba na mtoto pekee ?
 
Tutajibanza SHIB la nssf mpaka watukimbize
 
Malipo ni hapo palipo andikwa kulazwa na kutwa hiko ndio kiwango sahihi cha kila kundi utakalo hitaji.



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Yes Hii ni nzuri mwajiri akiwa anapeleka contributions kwa wakati...
Wanapeleka

Na kuna app unapaswa kuwa nayo uwe unacheck mtiririko, kama kuna mwezi haijaenda utaona., so utacontact na Acc wenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom