Anass Hamad
Member
- Sep 30, 2022
- 9
- 7
Habari wana jukwaa,
Jina langu naitwa VOLDER BN BYJUKA. Mimi ni Freelancer Journalist, nimejikita hasa kwenye upande wa usimuliaji wa makala mbalimbali na simulizi za riwaya pia.
Nimefanya kazi na baadhi ya TV za mtandaoni (Online TV) kama vile Ananias Edgar TV, Uhai Tv/Radio, Tanganyika online TV, na Kenya nimefanya kazi na Mutembei Tv pamoja na Kenya news Alert Tv.
Kwa mtu yeyote anaemiliki chaneli ama Radio na anahitaji hiyo huduma ya masimulizi basi namkaribisha sana.
Mawasiliano yangu ni haya: +255 623 582 579
Jina langu naitwa VOLDER BN BYJUKA. Mimi ni Freelancer Journalist, nimejikita hasa kwenye upande wa usimuliaji wa makala mbalimbali na simulizi za riwaya pia.
Nimefanya kazi na baadhi ya TV za mtandaoni (Online TV) kama vile Ananias Edgar TV, Uhai Tv/Radio, Tanganyika online TV, na Kenya nimefanya kazi na Mutembei Tv pamoja na Kenya news Alert Tv.
Kwa mtu yeyote anaemiliki chaneli ama Radio na anahitaji hiyo huduma ya masimulizi basi namkaribisha sana.
Mawasiliano yangu ni haya: +255 623 582 579