Habari wakuu,
Nina shida na machine hizi mbili kwa ajili ya ofisi ya uwakala, kwa yoyote ambae anauza au aliacha biashara hii na anahizo machine anisaidie tuwasiliane, ofisi ipo Korogwe Tanga...
Kwa wakazi wote mliopo Dar-es-salaam na Nje ya Dar hii n fursa Yenu sasa. Karibuni sana kwa CHIKAWE TAILORING MART TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-
[emoji419] Tunapokea Tenders zote zinazohusiana na...
Kama headline inavyojieleza hapo juu, gari inatakiwa atleast iwe na conditions nzuri haswa body. Offers zenu tafadhari, mkituma na picha itapendeza zaidi.
Kiwanja kinapatikana KITUNDA (mwisho)
Umbali wa km 3.5 kutoka pugu road
Umbali kutoka kitunda road (lami) meter 200
Unaweza kufanya project tofauti kulingana na Eneo na uhitaji wako.
Mfano. (...
Nahitaji gari la kununua kutoka kwa mtu ambaye siyo dalali.
Gari liwe kwenye hali nzuri kampuni ya toyota, bajeti yangu ni milion 3.5 .
Kwa mawasiliano zaid tutaonana inbox kama kuna mtu anayo.
Katika kipindi ambacho technology iko Kasi pia fursa nyingi zinafunguka kwa vijana wanaoitaji kujiajiri.
Saan agency tunakupa mafunzo yatakayo kufanya uweze kujiajiri mwenyewe.
1. Tutakufundisha...
Abraar (waja wema)
Asalaam Alaikum.
Hapa Abraar Complex licha ya kuwa na kituo cha elimu "Abraar EducationCentre", pia tuna kituo cha biashara na ujasiriamali "Abraar Business Centre" chenye...
Ndg zangu tangazo linajieleza ninayo white cement kutoka uturuki mwagizaji ni mturuki mimi namuuzia unaweza kupata kiasi chochote unachohitaji, ujazo au uzito ni 40kg.
Mzigo upo Dar es salaam njia...
Jamani hii attachment inaonyesha bei elekezi za viwanja sehemu mbali mbali za Tanzania. Kwa hiyo wale waliozoea kuuza viwanja kwa bei wanazozijua wao, nadhani huu utakuwa muarobaini wao.
Naona ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.