MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Wadau,Naomba kujua Kama Kuna mtu au dalali ambaye anaweza kunisaidia nipate kiwanja Cha kujenga Nyumba ya kuishi kwa Bajeti ya Milioni 1.5 Hadi 2.5 Kigoma mjini. Kiwanja kinaweza kuwa hata nje ya mji lakini kiwe karibu na umeme,soko na maji.
Aksanteni.
Aksanteni.