Jipatie Viatu namba 46

Jipatie Viatu namba 46

Snowden E

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
1,707
Reaction score
3,022
Uzi umefungwa.
 

Attachments

  • IMG_20220118_174526.jpg
    IMG_20220118_174526.jpg
    92.5 KB · Views: 39
Kuna watu huwa wanapata changomoto ya kupata viatu vinavyo watosha.

Usihangaike tena, njoo inbox fasta.
Mimi ni mmojawapo nimekosa kbs viatu ngozi vyakunitosha sema sitamani kurudi inbox kwani kuna mtu aliwahi kunichora baada ya kunijua akala kona,niliishi kwa hofu sana

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mmojawapo nimekosa kbs viatu ngozi vyakunitosha sema sitamani kurudi inbox kwani kuna mtu aliwahi kunichora baada ya kunijua akala kona,niliishi kwa hofu sana

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Usihofu....
Mimi ni raia wa kawaida.
Mimi siyo Polisi
Mimi siyo Mjeda
Mimi siyo Afisa usalama wa Taifa.


Ukija inbox nitakuelekeza sehemu nilipo.

Zingatia mimi sio mfanyabiashara wa viatu, viatu ambavyo nauza ni hivyo kwenye picha tu, baada ya hapo business imeisha.
 
Usihofu....
Mimi ni raia wa kawaida.
Mimi siyo Polisi
Mimi siyo Mjeda
Mimi siyo Afisa usalama wa Taifa.


Ukija inbox nitakuelekeza sehemu nilipo.

Zingatia mimi sio mfanyabiashara wa viatu, viatu ambavyo nauza ni hivyo kwenye picha tu, baada ya hapo business imeisha.

Majibu YAKO naona yanazidi kumtisha jamaa yako!
 
Mimi ni mmojawapo nimekosa kbs viatu ngozi vyakunitosha sema sitamani kurudi inbox kwani kuna mtu aliwahi kunichora baada ya kunijua akala kona,niliishi kwa hofu sana

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Ishanitokeaga kipindi hicho napinga sanaa baadhi ya mitazamo ya viongozi wa serikali, ikiwemo kutania Jiwe kavuta, asa kumbe na mwenzangu alikua anahofu, kwahio wote ni kuliana timing, Jamaa yangj yy mpka akafungua ID mpya,
Baadaee ndio tukakutana kwenye utani, kila yule akafunguka.
 
Ishanitokeaga kipindi hicho napinga sanaa baadhi ya mitazamo ya viongozi wa serikali, ikiwemo kutania Jiwe kavuta, asa kumbe na mwenzangu alikua anahofu, kwahio wote ni kuliana timing, Jamaa yangj yy mpka akafungua ID mpya,
Baadaee ndio tukakutana kwenye utani, kila yule akafunguka.
hatari sana shee

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Usihofu....
Mimi ni raia wa kawaida.
Mimi siyo Polisi
Mimi siyo Mjeda
Mimi siyo Afisa usalama wa Taifa.


Ukija inbox nitakuelekeza sehemu nilipo.

Zingatia mimi sio mfanyabiashara wa viatu, viatu ambavyo nauza ni hivyo kwenye picha tu, baada ya hapo business imeisha.
Upo mkoa gani bro,tuanzie hapo

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Usihofu....
Mimi ni raia wa kawaida.
Mimi siyo Polisi
Mimi siyo Mjeda
Mimi siyo Afisa usalama wa Taifa.


Ukija inbox nitakuelekeza sehemu nilipo.

Zingatia mimi sio mfanyabiashara wa viatu, viatu ambavyo nauza ni hivyo kwenye picha tu, baada ya hapo business imeisha.
Weka bei.
 
Not must to be tall.
In Dar hii aina ya viatu tunaipata Woolworth tu, na sio chini ya 250,000/=

Niliwahi kupata hiyo size Arusha Clerk kwa bei ya chini kidogo ya Woolworth
Aisee hiyo bei tu mi hoi, vitu vyenu nyie si mchezo bei zake, 250 viatu tu? 😂 mimi napata furushi la viatu hapo na chenji
 
Usihofu....
Mimi ni raia wa kawaida.
Mimi siyo Polisi
Mimi siyo Mjeda
Mimi siyo Afisa usalama wa Taifa.


Ukija inbox nitakuelekeza sehemu nilipo.

Zingatia mimi sio mfanyabiashara wa viatu, viatu ambavyo nauza ni hivyo kwenye picha tu, baada ya hapo business imeisha.
Intelligencia.
Kama ulifanya tukio ukaacha ukasahau kiatu sandals yako au soksi ,kwny eneo la tukio 😆😆😆
Vinasaba huko vishatiki.
Atakamatwa mtu kiulaini sana.

Jamani nawaza tu kwa sauti sina nia ya kuogopesha watu wala kuharibu biashara ya mwenyewe.
 
Intelligencia.
Kama ulifanya tukio ukaacha ukasahau kiatu sandals yako au soksi ,kwny eneo la tukio
Vinasaba huko vishatiki.
Atakamatwa mtu kiulaini sana.

Jamani nawaza tu kwa sauti sina nia ya kuogopesha watu wala kuharibu biashara ya mwenyewe.
Kweli hayo ni mawazo yako tu...

Mali ni safi haina doa hata kidogo.
Usalama kwa mteja ni 100%.

Mimi siogopi chochote kwasababu sijafanya kosa lolote.

Vipi kuhusu wewe...unamatukio mabovu...? kama ndiyo lazima uwe na hofu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom