Azam FC hajauchana kweli baada ya kufungwa 2-1 na KMC! Timu ina maproo kibao wa ukweli, lakini inafungwa fungwa tu.Mkeka wangu ukitiki nakuchek kesho saa 1 kamili ila ushudlshe bei kbsa 11m
Sijabeti za bngo nlkua na treni lngu la toka j4 mpk leo lnapumua nngoja kesho ndo linakamilik likitk nanunua gari hii🤣🤣Azam FC hajauchana kweli baada ya kufungwa 2-1 na KMC! Timu ina maproo kibao wa ukweli, lakini inafungwa fungwa tu.
Ile timu waachane na udiniAzam FC hajauchana kweli baada ya kufungwa 2-1 na KMC! Timu ina maproo kibao wa ukweli, lakini inafungwa fungwa tu.
Acha ushamba mbona hujauliza toka 2004 kwann imesajiliwa namba E wakat ingetakiwa iwe namba A huko. Muda mwingine unaweza jidai mjanja halafu ukapigwa sehemu ndogo.Kutoka 2004 mpaka leo imetembea km 97,000. Wajuzi hii inakuwaje?
Sawa dalali.Siku hizi usiangalie km wala usajili kagua gari umeipenda ni nzima beba maana hata huko Japan wanashusha hizo km kama kawa
Ume panic sana na jamaa kauliza tu swali alitaka ajue,hapa hujamjibu kakaAcha ushamba mbona hujauliza toka 2004 kwann imesajiliwa namba E wakat ingetakiwa iwe namba A huko. Muda mwingine unaweza jidai mjanja halafu ukapigwa sehemu ndogo.
Siku hizi usiangalie km wala usajili kagua gari umeipenda ni nzima beba maana hata huko Japan wanashusha hizo km kama kawa
Mhh nakuona mfalme njozi umefikaUme panic sana na jamaa kauliza tu swali alitaka ajue,hapa hujamjibu kaka