Zikiwa zimebaki siku kadhaa kabla majira ya mwaka 2022 kuisha basi sisi GETRICH BUSINESS CONSULTANTS tunatoa offer ya discount ya hadi asilimia 20 kwa kuandika events proposal zenye ushawishi na...
VIWANJA VIPYA JIJI LA DODOMA.
Viwanja vyote vimepimwa na vina documents zote,pia biashara zote zinafanyika kupitia Wanasheria.
NALA MIZANI.
NALA MIZANI.
Ukubwa ni Sqm 1000.
Bei ni Milioni 7...
MILIKI ARDHI KWA BEI NAFUU KABISA
[emoji95]Njoo ujipatie kiwanja kwa bei nafuu kabisa pia lipia kwa awamu mpaka umalize deni.
[emoji95]Eneo: Vikindu-Vianzi, na Kisemvule (Wilaya ya Mkuranga)...
Wakuu habari za leo,
Nauza mashine ya kuprint T-Shirt (heat press mashine) kwa bei ya shilingi 1,700,000/=. Ni 8 in 1, inaprint T-shirt, vikombe, kofia, sahani, majagi, nk.
Mashine hii inafanya...
wakati unajenga unatamani finishing nzuri itakayo kuvutia kwa ajili ya nyumba yako
bas tupo hapa kama washauri na kukuonuesha urembo tofauti tofauti kukuwezesha nyumba yako ivutie na kuonekana ya...
UTOFAUTI NA UPEKEE WA SOFTWARE PROGRAM ZINAZOPATIKANA KWENYE TOLEO CAMON 19
Phone Cloner
Hii ni software program inayopatikana kwenye toleo hill la camon 19. Phone cloner inampa nafasi na...
Habari zenu wana Jamvi, natumaini muwazima?
Baada ya safari ndefu ya kumalizia ujenzi Alhamdulilah, nimeshahamia kwangu Kisemvule. Sasa nahitajia gari ndogo aina ya Vitz Old Model. Itapendeza...
Habari za mda huu watu wangu wa nguvu tena jukwaa letu pendwa la matangazo madogomadogo.
Nipo hapa kwa ajili ya kuwatangazia kuwa Nauza Router, kifaa kipo Good Condition na bei ni Kitonga kabisa...
Saluni ya kike inahuzwa na kila kitu kilichomo ni Vipya kbsa vina miezi mi 3 tu:
Drayer ya Juu:230k
Steamer:170k
Handdrayer:45k
Pass 50k
Rollas aina 3 tofaut:50k
Conditioner: 13k
Taulo 5:24k
Vioo...
Wanajamii nawasalimu wote . Napenda kuwatangazia pikipiki za miguu mitatu kwa bei nzuri sana, tupo dar es salaam.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je una bar/pub/hotel/au ofisi yeyote inayohitaji muziki? na hauna deejay? Au unahitaji collection kwa ajili ya kusikiliza katika gari au gheto.
Basi nipo tayari kukutengenezea collection nzuri ya...
Iwe na hivi vitu
-4K
-120Hz(fps)
-55'/65'
-HDMI 2.1
Ata ikiwa USED imrad iwe kwenye condition nzr na box lake
Iwe kampuni yoyote ilimradi iwe na hvyo vigezo, karibun
Fiberglass boat zinauzwa zina urefu wa mita 7 na upana wa mita 1.6 hazina engine na canopy. Zimetengenezwa nchini Indonesia na kuletwa Zanzibar, ni mpya boti mpya.
Unaweza ukatumia kwa...
* Zimewasili chache na bado tumeagiza mzigo mwingine
* Mashine zinatumia teknolojia maalum (Xfoliant technology) kuondoa ukungu wa taa na kuifanya taa ya gari yako kurudia upta wake
*Ni rahisi...
Wakuu naamini mko poa!
[emoji117]Vioo vya magari yetu vimegeuka matanuri pale tunapo park juani?
[emoji117]Dashbord na siti vinachoma kama pasi pale unapofungua mlango na kuingia garini kwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.