Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Wapi nitapata chimbo la spea za pikipiki kwa bei ya jumla nahitaji kuuuza jumla la rejareja sasa wapi nitapata mzigo kwa bei ya jumla mwenye data kuhusu hii biashara msaada wakuu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu, naomba kujua kwa hapa bongo ni dealer yupi anauza au kupitia yeye naweza kupata gari mpya kabisa yaani 0 kilometer.Gari hizi ni Kama, 1. Mercedes Benz S class (2022) 2. Audi...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako. 1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200. Tsh. 17000 = Km. 200 ? = Km. 1...
3 Reactions
52 Replies
4K Views
Igweee! Jamani ninajua humu kuna wataalamu kila nyanja. Ninakuja Dar kwa matibabu, nitakaa siku 5-10 nina familia ya watu 4. Ninahitaji sehemu inayoweza saidia kukaa na watu wangu kwa siku tajwa...
1 Reactions
4 Replies
503 Views
Kama umewahi au unamiliki kampuni basi maneno yafuatayo yatakuwepo katika msamiati wa maneno yako Share Capital, Authorized Share Capital, Paid up and issued shares. Maneno mengine ambayo utakuwa...
12 Reactions
28 Replies
5K Views
Hello wanajukwaa, Je, unafikiria shule Bora Kilimanjaro yenye Ada nafuu Kilimanjaro!? Nazarene ndio JIBU lako, mlete mwanao apate elimu Bora na malezi sahihi kwa mustakabali wa maisha yake! Ada...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Habarin Wana JF, Nahitaji iPhone X ya GB 64, battery health iwe kuanzia 90% na face id sio lazima. Offer yangu ni 290,000/=
0 Reactions
4 Replies
642 Views
Makava mapya na glas 5D NA ZA KAWAIDA 1. SAMSUNG A2CORE 2. SAMSUNG A10 3. Samsung A20 4. Infinix note5 5. Infinix hot6 6 .infinix hot7 7. Oppo 15proo 8. Oppo f7 9. Tecno pouver3 10. Tecno spak3...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa. Ukubwa ni Squaremeter 1200 Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya...
4 Reactions
66 Replies
8K Views
Gari yako kama taa zake zina ukungu tumia hiyo dawa, Au michubuko midogo midogo ondoa kwahiyo huipati dukani kokote tanzania zimetoka dubai Kabla hujalipia nakusafishia taa au michubuko, taa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
kwema wadau? Samahani nilikuwa naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla jumla ni sh ngap hapo ulipo, hasa kwa mkoa wa songwe kuwa ni shilingi ngapi?
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba kujua bei ya ndizi mzuzu mikoani na je, naweza pata mtu akaniuzia?
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nipo mbele yenu, nimeweza kutafuta vihela ili niweze kununua simu. Baada ya kuwaza sana nimeona simu inayo nifaa ni HUAWEI P20 PRO. Hivyyo mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla katika mkoa wa Songwe na Mtwara katika ujazo wa kilo, debe au gunia zikiwa tayari zimesha menywa
0 Reactions
0 Replies
924 Views
We provide the following services on monthly basis 1.VAT return 2.SDL, PAYE, NSSF AND WCF monthly filing 3.Recording transactions on monthly basis into accounting software: XERO and Quickbooks...
2 Reactions
1 Replies
585 Views
Tunatengeneza furniture za kituruki kama coffee table tv showcase. Kitchen cabinets tunafanya makabati ya chini sq mita 1 sh laki 500000 na makabati ya juuu sh laki 450000. Tunapatikana mbezi...
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale ambao mnataka kununua magari kwa bei nafuu. Tunafahamu uchumi umebana kodi ziko juu sio kila mtu anaweza kuagiza gari toka Japan ila unafuu uko kwa kuuziana gari ambazo...
17 Reactions
128 Replies
14K Views
Habari wakuu. Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika kitabu kinachohusiana na biashara pamoja na mafanikio. Kitabu hiki kimekubaliwa kuwa published on Amazon na publishers nyengine zinashirikiana...
1 Reactions
6 Replies
725 Views
Habari wa JF! Leo nitaongelea muendelezo wa biashara ya uandishi wa vitabu, makala nyingi nilielezea biashara ya ebook ambayo mwandishi hawezi kupata hasara kama wanayopata sasa kwa wale wanaouza...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom