Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu naamini mko poa! [emoji117]Vioo vya magari yetu vimegeuka matanuri pale tunapo park juani? [emoji117]Dashbord na siti vinachoma kama pasi pale unapofungua mlango na kuingia garini kwako...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu, Kwa yeyote anaeuza ama kukodisha account ya Bolt naomba anicheck inbox.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naihitaji nissan march mgongo wa kobe, mkali unenyooka au mazda demio zingatia iwe Mwanza au Shinyanga, sina hela ya kufata mikoa mingine njoo na offer.
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Tunauza korosho nzuri kwa. Bei nzuri kutoka mtwara mahali popote pale Mzigo unakofikia ni kuweka Order yako mapema na kwa wakati , Tupigie kwa No 0712359510,0712359510...BEI ( Price) zetu 25,000...
1 Reactions
2 Replies
723 Views
Nauza kiwanja kipo Mongola ndege ukonga D'salaam Bei ni Milioni 10, mimi mwenyewe muhusika sio dalali kwa mawaliano zaidi piga namba 0718 343299
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza pikipiki Honda Click 150 cc Bei Mil 6,500,000 ipo ktk good condition kwa mawasiliano zaidi piga namba 0718343299
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu kama kuna mtu anauza/anasukuma gari yake aina ya Mazda tribute anicheki inbox haraka. Gari iwe kuanzia namba D, good condition, rangi haiharudiwa wala kuwahi kupata ajali, njoo na offer fasta.
0 Reactions
2 Replies
572 Views
Habari wadau wa ufugaji. Natafuta shamba liwe karibu na barabara za mitaa kiasi nilichonacho ni laki na nusu kwa kila heka. Nahitaji heka kumi. pia lisiwe Na migogoro yeyote.
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Nimebahatika kupata Tsh Milioni 1 nahitaji PS4 mbili ili nifungue kijiwe hapa home. Mwenye nazo anicheki PM basi
0 Reactions
8 Replies
1K Views
TAYARI IMESHAKUA WEEKEND.....FANYA BOOKING YAKO YA USAFI TUPIGIE SASA....[emoji337][emoji337][emoji337][emoji337] [emoji120] UTAPATA HUDUMA YA USAFI WA NYUMBA YAKO NA OFISI YAKO KWA GHARAMA NAFUU...
0 Reactions
1 Replies
616 Views
Wanahitajika vijana wanne 4, umri miaka 16-22, watakaa kwangu, (baada ya kufahamiana vema na wazazi/walezi wao) Watakuwa na kazi ya kuuza matunda kwa kutumia matoroli, baada ya mimi kuweka mtaji...
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Nipo DSM. 0655173113
0 Reactions
1 Replies
424 Views
Currently zinacheza bei gani? Haswa kwa wakazi wa Dar na Mwanza.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni Property Investors Company (PIC) inauza Viwanja vyenye sifa zifuatazo: [emoji736] Viwanja vipo Vigwaza Mkoa wa Pwani karibu na bandari kavu ya Kwala. [emoji736]Vipo umbali wa km6 toka Vigwaza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, Naomba msaada wa kufahamishwa wapi naweza pata vitambaa vizuri vya sofa vinavyodumu kwa muda mrefu na bei yake. Nitashukuru sana kwa msaada wenu. Ahsante
0 Reactions
1 Replies
5K Views
🔴GATE MOTOR 💢Hii inaifanya Gate lako kuwa automatic, hautohitaji mtu kukufungulia wala kukufungia gate. Utaweza ku control Gate lako kwa kutumia remote tu hata ukiwa umbali wa mita 100 . 💢Gates...
0 Reactions
5 Replies
846 Views
Plate 8 za 5kg Barbell ya 1.5 metres Bars ndogo mbili kwa ajili ya dumbbell Bei: 250,000 Zipo: Sinza Remy Mawasiliano: 0685661790
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nina shida na machine hizi mbili kwa ajili ya ofisi ya uwakala, kwa yoyote ambae anauza au aliacha biashara hii na anahizo machine anisaidie tuwasiliane, ofisi ipo Korogwe Tanga...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Brand New tv Full HD 1 year warranty Double glass Free delivery in Dar Tupo Aggrey/Ndanda street. Price :350,000Tsh Call 0788622610
0 Reactions
2 Replies
987 Views
Back
Top Bottom