Nahitaji gari la kununua kutoka kwa mtu ambaye siyo dalali.
Gari liwe kwenye hali nzuri kampuni ya toyota, bajeti yangu ni milion 3.5 .
Kwa mawasiliano zaid tutaonana inbox kama kuna mtu anayo.
Katika kipindi ambacho technology iko Kasi pia fursa nyingi zinafunguka kwa vijana wanaoitaji kujiajiri.
Saan agency tunakupa mafunzo yatakayo kufanya uweze kujiajiri mwenyewe.
1. Tutakufundisha...
Abraar (waja wema)
Asalaam Alaikum.
Hapa Abraar Complex licha ya kuwa na kituo cha elimu "Abraar EducationCentre", pia tuna kituo cha biashara na ujasiriamali "Abraar Business Centre" chenye...
Ndg zangu tangazo linajieleza ninayo white cement kutoka uturuki mwagizaji ni mturuki mimi namuuzia unaweza kupata kiasi chochote unachohitaji, ujazo au uzito ni 40kg.
Mzigo upo Dar es salaam njia...
Jamani hii attachment inaonyesha bei elekezi za viwanja sehemu mbali mbali za Tanzania. Kwa hiyo wale waliozoea kuuza viwanja kwa bei wanazozijua wao, nadhani huu utakuwa muarobaini wao.
Naona ni...
Habari wana if
Nauza simu yangu
infinixy hot 9 PLAY aina tatizo lolote
Ni:
2ram
32Gb
4g
Line 2
Camera ni 8 mbele nyuma 13
Uwezo wa better ni 6000MAH
Simu ni yangu mwenyewe naiuza
195,000...
Wana jf habari nauza subwoofer yangu spika 3 aina tatizo lolote
Inatumia kila kitu bei ni 95,000
Makubaliano yapo
Pia nauza simu yangu infinx hot 11
Gb 128
Ram 4 ina uwezo wa kuongeza...
Unapata shida kusafirisha mizigo, bidhaa, kwasababu hujui wapi unapata gari, hujui gharama za kusafirishia,
au unapigwa na watu wa kati na hujui jinsi mambo yanavyofanyika?
Kwanini upigwe kwa bei...
Hello Mambo vipi, nauza saluni ya kike ina kila kifaa cha kuanzia tena bado vipya kbs pamoja na baadhi ya mafuta na dawa za aina tofauti tofauti.
Drayer, Handdrayer,Steamer, Vioo, Pasi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.