No politics here, straight to the business
Nina Freezer yangu, ina miez miwili tangu itoke dukani.
Naiuza sababu nafunga biashara (imeenda kombo) then narudi Dar.
Freezer ipo katika hali nzuri...
Huu msimu wa mwisho wa mwaka ni msimu wa kutengeneza memories ambazo zitadumu daima.
Familia nyingi hukutana na kujuimuika na ndugu jamaa na marafiki wakikaa pamoja wakoshauriana mawili matatu...
Gari aina ya DAF XF EURO5 engine ya paccar inauzwa ipo separate kibini pamoja na chesesi, Engine inahitaji matengenezo.
TAJIRI anahitaji milioni kumi na tano(15) kwa mawasiliano piga namba +255...
Brand New Xiaomi 10000 MaH Power Banks for Sale
Comes sealed in Box
Supports fast charging
Ina uwezo wa kucharge simu from 0% to 100% mara TATU
Bei: tsh.95,000/=
Contacts: 0689341445
Place your...
Katika dunia ya leo suala la habari (Information) ni muhimu sana hasa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Ukosefu wa habari sahihi juu ya inshu fulani iwe ya kijamii, kisiasa au kiuchumi itakufanya...
Kwema mabosi?
Nawakaribisha sana kwa uhitaji wa kuagiza gari toka nje ya nchi. Pia kama una gari na unahitaji kubadilisha tutakusaidia kuuza uliyo nayo ili ufanikiwe kuagiza uitakayo.
Karibu...
Karibu @mookabwe.sports.store
@mookabwe_sports_store Jezi za msimu mpya 2022/23
BEI Tsh 25,000 tu
Tupo Kigogo Round About Jiran na kituo cha mafuta lake oil
Tunatuma Tanzania nzima Kwa Uhakika...
Wadau,Naomba kujua Kama Kuna mtu au dalali ambaye anaweza kunisaidia nipate kiwanja Cha kujenga Nyumba ya kuishi kwa Bajeti ya Milioni 1.5 Hadi 2.5 Kigoma mjini. Kiwanja kinaweza kuwa hata nje ya...
Habari watu wote,
Kwa mara nyingine tena naomba kwa heshima na taadhima,niwaletee offer ya msimu wa sikukuu.
Tunawaletea mfumo wa kufanya mauzo kwenye biashara yako mfano supermarket,Pharmacy...
*ENEO LINAUZWA*
Eneo lenye ukubwa wa *ekari ishirini* linauzwa *Pingo, Chalinze*. Eneo linapakana na *Chuo cha Ualimu Chalinze* kwa mbele na kwa upande wa kulia ni *kiwanda kipya cha vigae cha...
Natengeneza furniture za manyumbani kama
Bedroom
tv showcase
Kitchen cabinets
Dressing table
Makabati ya nguo
Kwa material halisi ya kitruki
Whatsapp no 0747366800/0623705158
Tupo dar es salaam...
Habari wakuu,
Natafuta pikipiki ya kutembelea, isiwe ya kuchaji, moja wapo kati ya hizo. Naombeni msaada kwa mwenye kujua mahari zinapouzwa nikajichagulie.
Natanguliza shukrani.
Habari wanaJF,
Tuition kwa wanafunzi wa sekondari O'level na A'level, nafundisha kwa wanafunzi watakaohitaji huduma
Majumbani kwao na centre pia.
Masomo yanayofundishwa ni:
1. Physics (O'level...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.