Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ina ghorofa na nyumba ndogo nne chini.frame mbili za biashara nje. ipo pembeni ya barabara kabisa. Umiliki Hati Inafaa kwa uwekezaji wa ofisi pia. Nyumba ipo kinondoni mahakama.. Bei 450 millions...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, nahitaji paka mwepe asiye na doa la rangi yeyote ile. Kama unaye au ukanipa connection ya kuweza kumpata tuwasiliane kupitia simu no: Kwa wakazi wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nauza Plot yangu Geza ulole Block 24, Kiwanja kimepimwa Kina Hati ya wizara (Title) Ukubwa wake ni square metre 800 *Mawasiliano: 0758 065 340 KARIBUNI SANA.
3 Reactions
4 Replies
746 Views
Nina external hard disk gb 500 inapatikana Dar es salaam Magomeni , imejaa movies na series bei ni 90000
0 Reactions
1 Replies
559 Views
Mapendo furniture ni wauzaji na watengenezaje wa vitanda aina bedsofa, kabati, sofa, showcase, table bench, godoro aina zote n.k. Tupo mabibo mwisho jijini DSM piga & WhatsApp 0753536609. NB...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Kwa wahitaji wa Toyota hiace used in UK hazina usajir lakin ukishalipia kiasi Cha mil27 tu tutakufanyia usajir isipokuwa bima utafanya mwenyewe ni hiace zenye wheredi na zilizo na km chini ya...
1 Reactions
4 Replies
875 Views
Dukani bei yake si rafiki, kama kuna mtu anayo labda nyumbani kwake au kwenye gari lililokatwa screpa naomba tuwasiliane , pengine naweza kuipata kwa bei rafiki zaidi kuliko dukani inakopigwa AC...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Unapoweka Lengo au unapolielekea Lengo Ulilojiwekea na Ukaona Kuna Vikwazo Vingi Katika Kulifikia au Kulielekea Lengo Hilo Kamwe Usibadili Lengo Lako. Jambo Muhimu Ni Kubadili Njia , Mkakati au...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Samsung A80 flip camera Ram, 4gb Storage 128 gb Location dar es salaam Maongezi yapo
1 Reactions
9 Replies
1K Views
- 2gb ram, - 16gb hard disc, - 13mp Kamera nyuma na mbele (zote zina flash), - non removable battery 3000mah, - haina cracks wala mikwaruzo - bei ni 130000 tu. Piga namba 0783 662495 Sent using...
0 Reactions
159 Replies
21K Views
Nina shida na hicho kiasi chap chap kabisa Pc ina 2gb RAM Harddisk 300gb Maongezi yapo kidogo...... Location: Dar es salaam Ipo vzuri sana Updates kwa vile nina uhitaji wa pesa ya haraka...
0 Reactions
2 Replies
777 Views
Natafuta hii habati soda msaada anaejua niende wapi ili niipate hii habati soda
0 Reactions
44 Replies
25K Views
Habari Wana jukwaa Apartments ni mpya kabisa tayari zimekamilika Mahali: KITUNDA, ( tumaini) Ni seating room kubwa, chumba kikubwa na toilets Ina ✓maji ya kujitegemea ✓ full tiles ✓ umeme wa...
1 Reactions
73 Replies
5K Views
KUKU NA UMUHIMU WA MAJI SAFII JEFF AGRICULTURE FARM tunakuletea NIPPLES zinazo fungwa kwenyee NDOO kwa jiri ya kukuu kunywa maji safiii na salama na kuepuka hasara ndogoo ndogoo na hii tumeleta...
1 Reactions
1 Replies
657 Views
Habari wakuu, Nahitaji kununua existing account ya platform tajwa hapo juu, kwa mwenye nayo naomba tufahamiane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Natafuta fremu ya kuweka nguo maeneo ya Goba Center. Maeneo yawe yamechangamka wakuu. Kama unayo au naweza kuipata kupitia wewe tuwasiliane wakuu. 0734 187722 (WhatsApp)
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kama mada inavyosema naombeni Muongozo tafadhali bei za viwanja na heka .
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Saa za rado ni 65,000 ni Original Pia saa za navigate jipatie kwa sh 60k Bila kusahau mashuka mazuri kutoka Uganda size 7×6 7×8, unapata mashuka mawili na foronya zake4, material: cotton, kwa sh...
9 Reactions
104 Replies
5K Views
Habari za muda huu wakuu, Nauza Kabati la kuwekea Vitafunwa, Matunda au Chips. Pamoja na Jiko la kuchomea nyama ina ngazi mbili. Bei ya Kabati; Sh 150,000 Jiko; Sh 80,000 Eneo: Baruti, Ubungo.
1 Reactions
5 Replies
915 Views
Habari wakubwa kichwa cha habari chajieleza, napesa mfuko wa shati laki 6 nashida na kioo cha TV Tajwa hapo juu, Deler kaniambia kinauzwa 1.1M kwa kweli nimeshindwa. Kwa mwenye nacho hata cha...
1 Reactions
2 Replies
826 Views
Back
Top Bottom