dongbei
Senior Member
- Jan 18, 2013
- 151
- 140
Salaam ndugu zangu wana jf!
Nauza bata aina ya Muscovy na Pekin, jumla wapo 31. Kati yao majike ni 16 na madume 15. Ni wazuri na wana maumbo makubwa. Majike wote wanataga. Wanafaa kwa vyote as mbegu (kufuga) au nyama (kitoweo). Wanataga mayai mengi. Nawapunguza idadi yao maana wamekuwa wengi.
BEI: inategemeana na size ya bata,
#Majike 18,000 ~ 20,000/= Tsh
#Madume, 20,000~25,000/=
LOCATION: Arusha mjini.
Note: ukichukua zaidi ya 5 kwa Arusha mjini tunafanya free delivery. Mikoani naweza kutumia pia.
Karibu PM kwa namba ya simu.
Nauza bata aina ya Muscovy na Pekin, jumla wapo 31. Kati yao majike ni 16 na madume 15. Ni wazuri na wana maumbo makubwa. Majike wote wanataga. Wanafaa kwa vyote as mbegu (kufuga) au nyama (kitoweo). Wanataga mayai mengi. Nawapunguza idadi yao maana wamekuwa wengi.
BEI: inategemeana na size ya bata,
#Majike 18,000 ~ 20,000/= Tsh
#Madume, 20,000~25,000/=
LOCATION: Arusha mjini.
Note: ukichukua zaidi ya 5 kwa Arusha mjini tunafanya free delivery. Mikoani naweza kutumia pia.
Karibu PM kwa namba ya simu.