Hello wanajukwaa,
Je, unafikiria shule Bora Kilimanjaro yenye Ada nafuu Kilimanjaro!?
Nazarene ndio JIBU lako, mlete mwanao apate elimu Bora na malezi sahihi kwa mustakabali wa maisha yake! Ada...
Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa.
Ukubwa ni Squaremeter 1200
Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya...
Gari yako kama taa zake zina ukungu tumia hiyo dawa,
Au michubuko midogo midogo ondoa kwahiyo huipati dukani kokote tanzania zimetoka dubai
Kabla hujalipia nakusafishia taa au michubuko, taa...
kwema wadau?
Samahani nilikuwa naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla jumla ni sh ngap hapo ulipo, hasa kwa mkoa wa songwe kuwa ni shilingi ngapi?
Habari wakuu,
Nipo mbele yenu, nimeweza kutafuta vihela ili niweze kununua simu.
Baada ya kuwaza sana nimeona simu inayo nifaa ni HUAWEI P20 PRO.
Hivyyo mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model...
Naomba kufahamu bei ya karanga mbichi kwa bei ya jumla katika mkoa wa Songwe na Mtwara katika ujazo wa kilo, debe au gunia zikiwa tayari zimesha menywa
We provide the following services on monthly basis
1.VAT return
2.SDL, PAYE, NSSF AND WCF monthly filing
3.Recording transactions on monthly basis into accounting software: XERO and Quickbooks...
Tunatengeneza furniture za kituruki kama coffee table tv showcase. Kitchen cabinets tunafanya makabati ya chini sq mita 1 sh laki 500000 na makabati ya juuu sh laki 450000.
Tunapatikana mbezi...
Uzi huu ni maalum kwa wale ambao mnataka kununua magari kwa bei nafuu. Tunafahamu uchumi umebana kodi ziko juu sio kila mtu anaweza kuagiza gari toka Japan ila unafuu uko kwa kuuziana gari ambazo...
Habari wakuu.
Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika kitabu kinachohusiana na biashara pamoja na mafanikio. Kitabu hiki kimekubaliwa kuwa published on Amazon na publishers nyengine zinashirikiana...
Habari wa JF!
Leo nitaongelea muendelezo wa biashara ya uandishi wa vitabu, makala nyingi nilielezea biashara ya ebook ambayo mwandishi hawezi kupata hasara kama wanayopata sasa kwa wale wanaouza...
I've wrote a business book and published it to Amazon Kindle. I've tried to write about financial success and business. My available in digital format and also paperback (physical book). You can...
Subaru forester inauzwa ipo Tabora mjini haina kipengele.
Make: Subaru
Model: 2008
Transimission: Automatic
New tyres
Full ac
Leather seats
Android music
Bei mil 18mil.
Piga no: 0623 265088
Toyota Rav 4 namba T.. DTT, iliyoingia nchini July mwaka juzi (2020), inauzwa kwa bei ya shilingi milioni 25, bei inapoa kidogo. Haijawahi kupata mzinga wowote wala tatizo lolote. Haijawahi hata...
Dagaa fresh kabisa toka Mwanza kwa mahitaji ya jumla la Reja reja unapana tupo mbezi goba (kwa ndambi)
Sado 1 tsh 22,000
Sado 2 tsh 42,000
Ndoo kubwa 85,000
Tunasambaza pia kwenye supamarkets na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.