Kata kitambi sugu jogging club

Kata kitambi sugu jogging club

educator2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
403
Reaction score
465
Je unateseka na kitambi sugu/manyama uzembe na umetumia dawa kadhaa na haijsaidia? Basi usihofu jiunge nasi saa 12:15 asubuhi pale mlimani city mall (geti la kuelekea Survey/Chuo Kikuu kwa ajili ya jogging mpaka uwanjani UDSM/Chuo na kurudi mlimani city muda ni kati ya dakika 30 mpaka 45. Hakuna kiingilio cha pesa ni kwa ajili ya kuimarisha afya zetu.
 
imekaa vizuri hii nimeshaku-PM mkuu mapema sana utanikuta pale maeneo naacha kimkoko changu humo mlan city kwa usalama
 
Je unateseka na kitambi sugu/manyama uzembe na umetumia dawa kadhaa na haijsaidia? Basi usihofu jiunge nasi saa 12:15 asubuhi pale mlimani city mall (geti la kuelekea Survey/Chuo Kikuu kwa ajili ya jogging mpaka uwanjani UDSM/Chuo na kurudi mlimani city muda ni kati ya dakika 30 mpaka 45. Hakuna kiingilio cha pesa ni kwa ajili ya kuimarisha afya zetu.
 
Je unateseka na kitambi sugu/manyama uzembe na umetumia dawa kadhaa na haijsaidia? Basi usihofu jiunge nasi saa 12:15 asubuhi pale mlimani city mall (geti la kuelekea Survey/Chuo Kikuu kwa ajili ya jogging mpaka uwanjani UDSM/Chuo na kurudi mlimani city muda ni kati ya dakika 30 mpaka 45. Hakuna kiingilio cha pesa ni kwa ajili ya kuimarisha afya zetu.
Mkuu bado unapiga jaramba la Jogging au ulishastaafu
 
sisi tuko watano,tunaanzia mabibo hostel saa 11 alfajir to mlman cty then tunazunguka chuo tunatokea geti maji tunarud mabibo hostel,hapo ni saa 12 tunafanya mazoefu ya viungo afu tunatawanyika.karibuni.
 
Mkuu bado mnafanya nimehamia mitaa hii aiseee
Aisee nimeamua kupigia home kwangu tu (uwani). Maana nilikutana na vibaka watano na mapanga wakanitaiti kwenye pori (la akiba) la chuo, karibu na klabu ya udasa. Nilipopata upenyo nilitimua mbio mpaka kule shule ya msingi ndo ilikuwa pona yangu. Maeneo ya Chuo si salama wandugu hasa kukiwa na giza. Mazoezi yanaweza kukutokea puani.
 
sisi tuko watano,tunaanzia mabibo hostel saa 11 alfajir to mlman cty then tunazunguka chuo tunatokea geti maji tunarud mabibo hostel,hapo ni saa 12 tunafanya mazoefu ya viungo afu tunatawanyika.karibuni.
Okay
 
Aisee nimeamua kupigia home kwangu tu (uwani). Maana nilikutana na vibaka watano na mapanga wakanitaiti kwenye pori (la akiba) la chuo, karibu na klabu ya udasa. Nilipopata upenyo nilitimua mbio mpaka kule shule ya msingi ndo ilikuwa pona yangu. Maeneo ya Chuo si salama wandugu hasa kukiwa na giza. Mazoezi yanaweza kukutokea puani.
Pole ndugu. Japo inasikitisha pia inachekesha kiaina
 
Aisee nimeamua kupigia home kwangu tu (uwani). Maana nilikutana na vibaka watano na mapanga wakanitaiti kwenye pori (la akiba) la chuo, karibu na klabu ya udasa. Nilipopata upenyo nilitimua mbio mpaka kule shule ya msingi ndo ilikuwa pona yangu. Maeneo ya Chuo si salama wandugu hasa kukiwa na giza. Mazoezi yanaweza kukutokea puani.
Ha ha ha pole Sana ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom