Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina mzigo wa kutosha wa maembe nauza jumla. Nina aina ya maembe ya dodo, bolibo na maembe ya apple.
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Sasa jiunge kwenye ajira bora kwako ya KUTOTOLESHEA mayai ya KUKU , KANGA, BATA, NJIWA N.K kwa kumiliki incubator au Kitotoreshi kwa ghara nafuu kutoka Kampuni yako pendwa MWALIMU GROUP LTD. Na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Vuta unachopenda kwa kutumia Sukari Sukari ni mmea dawa unaotoka kwenye Muwa, na kutokana na ladha yake, kuacha hivyo pia ladha na utamu wa sukari ulishawahi kuweka record ya dunia katika...
5 Reactions
51 Replies
36K Views
Je, umekuwa upo katika hali ya kujiuliza unaweza kujifunza ujuzi gani ambao utakuingizia pesa ya kujikimu kila siku. Nakumbuka mwaka 2015 nilikuwa kama wewe nimekaa nyumbani bila ujuzi wowote na...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari ya leo wakuu, Napenda kuwajulisha kuwa nauza chemicals zote za uchenjuaji wa madini ya dhahabu. Chemicals zote ikiwemo Sodium Cyanide, Activated Carbons, Caustic Sodas, Nitric Acid...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kichwa chajieleza natafuta gari ya engine 1500 kushuka chini offer yangu ni million nne (4,000,000) Piga simu au whatsapp 0759117175 Ukiwa Owner itakua vzr zaidi.
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Mwenge au Makumbusho. Bei 40 to 60k kwa dalali naomba tuwasiliane tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeelza nahitaji jbl charge 4 used Kwa MTU mwenye nayo aje DM tuyajenge 0627796644 tunaweza chekiana humu ni serious
0 Reactions
0 Replies
443 Views
MIFUGO PLUS GROUP HUDUMA ZETU KATIKA TASNIA YA UFUGAJI ~ Mashine za kutotolesha vifaranga [full automaticIncubator] vichanja vya kufugia kuku wa nyama na mayai (Poultry cage's). ~ Mashine ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imetumika miezi 4 Engine haijawahi kuguswa Namba D Cc 125 Mpya kabisa Bei 2.2m Call 0713579248
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tunauza bidhaa mbalimbali zenye ubora na kwa bei nafuu kabisa ni kwa ajili ya jinsi zote wakaka na wadada.Bidhaa zetu ni :- 1.SET ZA ACCESSORIES/UREMBO Tunauza set za urembo inayojumuisha (saa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba nzima inapangishwa Mbagala Kiburugwa, NYUMBA NI YA KISASA FULL MAJI KISIMA FENCE 3.5 kwa mwezi ila Inaanza kupokea mpangaji Feb 2023 , kwa maelezo zaidi piga 0766594323 au whatsapp : ‪+255...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Huu urembo umekaa poa sana. Unaongeza thamani na uzuri wa nyumba... Vipi kwako umekaaje? Karibu tukuhudumie.... Makadirio ya bei ni... Dirisha--- TZS 60,000/= Kona - - - - TZS 50,000/= Nguzo - -...
7 Reactions
15 Replies
5K Views
iPhone 6+ Storage: 64GB Fingerprint: [emoji3581] Condition: In Mint Condition Price: Tsh 240 000 Location: Mwasonga Road; Mtabe Street Block No.20, House No.9 | Kibada,KIGAMBONI Dar es Salaam...
1 Reactions
7 Replies
583 Views
Type 3 Axles 40 CBM Rear Tipper Semi trailer Total size 10500x2500x3700mm Loading capacity CBM 40 Tare weight kg 13000 Specification Main Beam Heavy duty and extra durability designed...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa, nahitaji kupata control box ya IST New model, details zake ni hizi hapa. 89661-52F50 J2 IST New model Niliyoipata imefanikiwa kuwasha gari vizuri but taa za dashboard...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunatoa offer ya Misumari kwa kuanzia bati 80 Tunatoa offer ya Usafiri @ Kuanzia bati 80. Tupigie 0762 75 31 40 Whatsapp 0762 75 31 40 KARIBU TUKUHUDUMIE. ********** Migongo midogo ni Tsh...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
Kijana wenu hapa nafungua movie library ya kisasa, kudownload movie zote itakua time consuming, mwenye ana collection ya movie kali zote za 2020 to 2022 aliyepo mwanza tunaweza punguziana...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wadau, Ninatafuta runx au allex used Stricly number D , bajet mil 6.5 nione Pm kama unayo tuyajenge 🧐
0 Reactions
7 Replies
604 Views
Heri ya mwaka mpya kwenu nyote wana teknolojia. Ozone Technologies imerudi tena kivingine katika mwaka huu wa 2023 kuhakikisha kila mtu anakuwa na Computer mpakato yenye kasi na ufanisi. Ili...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom