Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jamvi. Nahitaji gari aina ya Toyota IST namba D Rangi iwe kati ya silver, black au white. Budget ni 7 - 8M. Gari iwe haijarudiwa rangi.
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi unajua upungufu wa joto bandani ni moja ya sababu inayopelekea vifaranga wako kudumaa/kudhoofika na kupoteza maisha? (INFRARED BULB) Sifa za Taa za mifugo plus ●Hutoa mwanga mwekundu ambao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Electric centrifuge Matundu sita. Model no. : 800D Bei ni 180k Dodoma ilazo
0 Reactions
0 Replies
465 Views
Habari wakuu,naiuza gari yangu Model:Mazda demio Capacity:CC 1350 Registration:AUL Bei:3,300,000/ Location: Tabata Kifuru Contact:0656214344
0 Reactions
2 Replies
543 Views
Tunafanya Ujenzi kwa Bei Poa January hii bila kuboa tucheki Whatsapp 0685423249
0 Reactions
2 Replies
317 Views
Nyumba ipo Mbagala kwa Mbiku, ina frem 2 kwa mbele, vyumba 3 vya kulala, sebule, dining, jiko. Nyumba ya pembeni(Wavulana) vyumba 2. Bei ni 25m tu. Tuwasiliane kwa namba hii 0677089280.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Raba Original za Kiume zinauzwa. Fuatilia uzi huu mara kwa mara ili kuona bidhaa mpya. 80,000 Tsh Gusa 👇 WHATSAPP
0 Reactions
9 Replies
2K Views
DEAR EARLY CHILDHOOD EXPERTS We are organising a staff talk special for owners with their workers of pre primary institutions THE CORE OBJECTIVE IS TO LEARN ABOUT Job ethics Employers and...
0 Reactions
0 Replies
326 Views
Habari, Kwa majina ninaitwa Aliko Musa. Mimi ni mwandishi wa makala na vitabu vya uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Ninawafikia watu kupitia mitandao yangu iitwayo UWEKEZAJI MAJENGO. Leo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hagears-supplies - Tunasaidia kupata bidhaa bora moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji(viwanda) vya China hasa tukizingatia ubora wa bidhaa na bei nzuri kwa mfanya biashara wa kawaida, bila kusahau...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu Dhamana ya nyumba ipo Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Nina shida na hela,nauza mzani wangu mpya wa KG 10.bei 120,000 tu. Location Kigamboni Mjimwema.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Njio uchukue mzani wa Kg 10 ,kwa bei ya kutupa 120,000 tu.mzani ni mpya kabisa. Location kigamboni mji mwema. 0752649984
0 Reactions
4 Replies
484 Views
RABBIT/SUNGURA FRESH WHITE MEAT TUNAUZA NYAMA YA RABBIT/SUNGURA KWA ORDER KILA SIKU YA JUMAMOSI NA JUMAPILI 1 KG = TSHS 15,000/= TUNAPATIKANA KIMARA BARUTI DELIVERY KWA DAR ES SALAAM IPO...
3 Reactions
6 Replies
802 Views
Nahitaji miti 500 ya miharadali kwa alienayo tayari kwa kupanda au tunaweza kuingia makubaliano ya kunioteshea #Mahali popote pale miti ilipo nitaifuata mwenyewe
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Katika Kipengele cha uwekaji mfumo wa Umeme katika jengo mpaka kukamilika hupitia hatua 3 kuu. (1) kutindua ( plan and design circuit's) hii inahusika na ujengaji wa metal box zote single na...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Nina hiyo Benzi, ipo vizuri ndio inakaribia klm 125,000 na haijapoteza mfumo wake wa fuel consumption. Kwa anayehitaji kununua na hata kubadilishana tuwasiliane 0629478005
1 Reactions
29 Replies
2K Views
A new Lodge located at Nzuguni Dodoma is looking for the following qualified staff A full-time manager with at least 3 years’ experience and a diploma or degree in hotel management A full-time...
1 Reactions
3 Replies
710 Views
Wakuu habari Nauza sungura, wakubwa , Wapo sita nauza wote.. Bei ni 30000 tsh kila mmoja Nipo Kimara, 07450 98591 Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom