Hivi unajua upungufu wa joto bandani ni moja ya sababu inayopelekea vifaranga wako kudumaa/kudhoofika na kupoteza maisha?
(INFRARED BULB)
Sifa za Taa za mifugo plus
●Hutoa mwanga mwekundu ambao...
Nyumba ipo Mbagala kwa Mbiku, ina frem 2 kwa mbele, vyumba 3 vya kulala, sebule, dining, jiko. Nyumba ya pembeni(Wavulana) vyumba 2. Bei ni 25m tu. Tuwasiliane kwa namba hii 0677089280.
DEAR EARLY CHILDHOOD EXPERTS
We are organising a staff talk special for owners with their workers of pre primary institutions
THE CORE OBJECTIVE IS TO LEARN ABOUT
Job ethics
Employers and...
Habari,
Kwa majina ninaitwa Aliko Musa. Mimi ni mwandishi wa makala na vitabu vya uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Ninawafikia watu kupitia mitandao yangu iitwayo UWEKEZAJI MAJENGO.
Leo...
Hagears-supplies - Tunasaidia kupata bidhaa bora moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji(viwanda) vya China hasa tukizingatia ubora wa bidhaa na bei nzuri kwa mfanya biashara wa kawaida, bila kusahau...
Habari wakuu,
Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100.
Asanteni
Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu
Dhamana ya nyumba ipo
Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri...
RABBIT/SUNGURA FRESH WHITE MEAT
TUNAUZA NYAMA YA RABBIT/SUNGURA
KWA ORDER
KILA SIKU YA JUMAMOSI NA JUMAPILI
1 KG = TSHS 15,000/=
TUNAPATIKANA KIMARA BARUTI
DELIVERY KWA DAR ES SALAAM IPO...
Nahitaji miti 500 ya miharadali kwa alienayo tayari kwa kupanda au tunaweza kuingia makubaliano ya kunioteshea
#Mahali popote pale miti ilipo nitaifuata mwenyewe
Katika Kipengele cha uwekaji mfumo wa Umeme katika jengo mpaka kukamilika hupitia hatua 3 kuu.
(1) kutindua ( plan and design circuit's) hii inahusika na ujengaji wa metal box zote single na...
Nina hiyo Benzi, ipo vizuri ndio inakaribia klm 125,000 na haijapoteza mfumo wake wa fuel consumption.
Kwa anayehitaji kununua na hata kubadilishana tuwasiliane 0629478005
A new Lodge located at Nzuguni Dodoma is looking for the following qualified staff
A full-time manager with at least 3 years’ experience and a diploma or degree in hotel management
A full-time...
Wakuu habari
Nauza sungura, wakubwa , Wapo sita nauza wote..
Bei ni 30000 tsh kila mmoja
Nipo Kimara, 07450 98591
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.