Sony PlayStation 3 (PS3) inauzwa.
Imetumika kwa mwezi mmoja (1)
*Ina HDD yenye 250 GB.
*Inakuja na padi mbili (2)
*Inakuja na waya wa power, waya wa HDMI na nyaya mbili (2) za kuchajia padi.
*Ina...
Nimelima vitunguu maji nakuvuna gunia takriban 200 natafuta mteja au wateja kwa anahitaji whatsapp namba 0622258133
Aina ya kitunguu ni CHEKUNDU.
Kimepakiwa kwenye gunia saizi ya kati maarufu...
Model: Creality Ender 3v2
Materials Supported
ABS, PLA, PETG, TPU
Number of Print Colors
1
Number of Extruders
1
Frame Design
Open
Printer tajwa hapo juu ipo sokoni, imetumika kidogo...
Iphone x
GB... 256
Full box
Bei ni 574,000/=
Zingatia•• biashara ni dukani kariakoo ukitaka kutumiwa mkoani au ulipo sawa
Ukiwa Dar unakuja dukani au unatumiwa.
Jamani habari za asubuhi,
Nauza keki za happybirthday na matukio mengine, usimuache mtoto wako aone wivu kwa jirani , niko Tandika keki ni elf 15 mpaka 20.
Mawasiliano 0624808386
Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 70,000 tu
*Screen (5.7 Inches)
*Battery (3020 mAh)
*RAM (1.00 GB)
*Storage (16.00 GB)
*3G/2G auto
Simu iko kwenye hali nzuri sana, inakaa sana na...
Hello Dears,
▫️New Stock ya Saa za Mike
▫️Hizi za mikanda ya ngozi ni Unisex mwanaume au mwanamke anaweza vaaa, hizi za chuma ziko in couple kubwa ya kiume ndogo ya kike, tho its Oky Mwanamke...
Habari Ndugu!
Ikiwa tume uwanza mwaka mpya basi nasi tunataka tukuhudumie kwa viwango vya juu kabisa kwa mwaka huu kwa kuwaletea matoleo mazuri zaidi na ya kisasa.
Leo tujadiliane kitu kimoja...
Habari za muda huu wanajamvi!
Ningependa niende moja kwa moja kwa mada husika pasi na kuwapotezea muda wa kusoma makala ndefu wakuu najua mmechoka na usiku huu
Nahitaji sticker za kubandika...
Habari za muda huu wanajamvi.
Ningependa niende moja kwa moja kwa mada husika pasi na kuwapotezea muda wa kusoma makala ndefu wakuu najua mmechoka na usiku huu.
Nahitaji sticker za kubandika...
Ikiwa wewe ni mtumiaji mzuri wa simu janja unaweza ukawa una tumia muda wako mwingi kuangalia uwezo mkubwa wa uhifadhi kumbukumbu wa simu, kamera ni megapixels ngapi, saizi ya display, processor...
Tangazo hili limekaa Kwa option zote mnunuzi au muendeshaji
Guest house ipo Kata ya Minazi mirefu Kiwalani, wilaya ya Ilala Jiji ipo katika hali nzuri kabisa ina vyumba 10 self, maji ya Dawasa na...
Habari wana jamvi, me ni mmoja ya watu ambao nimekutana na simu nyingi zenye matatizo hayo, niseme tu sasa yamekwisha.
Haya matatizo ya emergency call hasa hasa yapo kwenye samsung nayo nafikix...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.