Msiba mzito wa mama yetu, mwalimu wetu mpendwa

Original Pastor

JF-Expert Member
Nov 14, 2007
1,274
50
Msiba mzito wa mama yetu, mwalimu wetu mpendwa mama yetu na mwalimu wetu mpendwa Frida Mtunguja ambaye alikuwa anafundisha shule ya msingi chumbageni tanga amefariki jana tarehe 16/06/2009 saa 22:46:12 katika hospitali ya bombo baada ya kuugua maradhi ya homa ya manjano.

Msiba utakuwepo nyumbani kwake kisosora tanga na mipango ya mazishi inafanywa na ndugu na jamaa.

Kwa wale wanaoguswa kwa njia moja au nyingine hasa wanafunzi wa chumbageni ambapo marehemu alikuwa anawafundisha tunawapa pole sana. Kuhusu michango yenu inaweza kutufikia hapa nyumbani au hapo shule ya msingi chumbageni tanga.

Ukiwa kama ndugu, rafiki au jirani unaombwa kufika katika msiba huu wa mama yetu /mwalimu wetu mpendwa.

Kwa mawasiliano ya kutuma michango yako piga namba hii +255717062827 ni mwanae anaitwa mMichael Kuziwa (huyu alisoma Galanos Sekondari alimaliza mwaka 1999 form IV)
 
Msiba mzito wa mama yetu, mwalimu wetu mpendwa mama yetu na mwalimu wetu mpendwa Frida Mtunguja ambaye alikuwa anafundisha shule ya msingi chumbageni tanga amefariki jana tarehe 16/06/2009 saa 22:46:12 katika hospitali ya bombo baada ya kuugua maradhi ya homa ya manjano.

Msiba utakuwepo nyumbani kwake kisosora tanga na mipango ya mazishi inafanywa na ndugu na jamaa.

Kwa wale wanaoguswa kwa njia moja au nyingine hasa wanafunzi wa chumbageni ambapo marehemu alikuwa anawafundisha tunawapa pole sana. Kuhusu michango yenu inaweza kutufikia hapa nyumbani au hapo shule ya msingi chumbageni tanga.

Ukiwa kama ndugu, rafiki au jirani unaombwa kufika katika msiba huu wa mama yetu /mwalimu wetu mpendwa.

Kwa mawasiliano ya kutuma michango yako piga namba hii +255717062827 ni mwanae anaitwa mMichael Kuziwa (huyu alisoma Galanos Sekondari alimaliza mwaka 1999 form IV)

Poleni sana, ni kazi ya Mungu.
 
Back
Top Bottom