Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

WAKUU WA JF naomba msaada wa key Pruduct ya DVD PHOTO SLIDE SHOW PROFFESIONAL nime Download kwenye Google nimepata ya trial ya mwezi sasa imekwisha wameniambia ninunuwe sasa naomba msaada kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mark II GR going at a very affordable price ... Only 4.5 M Gari inaita sana, (Angalia picha hapo chini) imekuwa ikitumiwa kwa kwenda ofisini na kurudi. Other Particulars: Year: 1992...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Waungwana,poleni na kazi!! Nina swali nahitaji msaada!! Ningependa kufahamu about kampuni zinazo-deal na namba za simu zinazotumika zaidi kwa masuala ya bahati nasibu na mengine sawa na hayo. am...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Malihusika hapo juu inauzwa. Kiwanja kimepimwa na kina offer. Kwa muhitaji tuwasiliane kupitia 0785-973-834
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kazi kweli kweli, tunaenda na wakati!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kwa wale wanaijua Mwanza natafuta kiwanja Mwanza mjini ni sehemu gani poa, na unaweza kuilinganisha na wapi kwa Dar au Arusha? Asante kwa watakao kuwa tayari kuchangia...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Laptop HP Compact nx9030 Intel (R) Pentium (R) M Processor 1.60GHz 590MHz, 224 MB of RAM system Microsoft Window XP Professiona Version 2002 Service Pack 2 Inauzwa 550,000/- pungufu unaongea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nauza starlet carat ya mwaka 1998 kutoka Japan imetembea klm 80,000. eng. capacity 1300, imelipiwa ushuru na gharama nyingine. nimetumia peke yangu for two years. Anayehitaji...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
LED – Lighting Emitting Diode Natafuta mtaalam nyumbani wa kunitengenezea LED Name Display. Nahitaji name diplay 2 zenye ukubwa wa kama 60 x 12 (inches). Katika ku-google kwangu nimekutana na...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna jirani yangu hapa anauza hii gari, nikadhani pengine yaweza kuwa ni dili nzuri kwa wana JF. Mwaka: 2000 Imeingia Bongo: July 2009 Odometer: 86,000km 1500cc Bei: 7.5m (non-negotiable)...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba yeyote anaejua wanakouza spea ya betri ya Laptop aniarifu nimejaribu sehemu kadhaa sijapata. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bajaji Inauzwa bei Tshs.2,500,000/=. Bajaji ipo kwenye hali nzuri kabisa na inafanya kazi maeneo ya Africana. Usajiri wake ni kama Ifuatavyo: Reg. No. T479 AXD Coulour. RED Accident History...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bajaji Inauzwa Bei Tshs. 2,500,000/= Inafanya kazi Africana. Inahali njuri sana. Imetumika kwa muda wa Mwaka Mmoja tu mpaka sasa. Ilipata ajali mara moja, na ikafanyiwa ukarabati mkubwa so ipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta space kwajiri ya office iwe na ukuwa between 15 - 20 square meter maeneo kama Akiba, Kisutu au Posta bie isizidi USD 10 per square meter
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kipo Mbezi Kunguru karibu sana na shule maalufu nchini kwa kufaulisha watototo nchini iitwayo St Joseph Millenium Secondary. Unapitia njia ya Masaah Hospital kukiendea ukitokea Samaki wabichi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kuna mwanafunzi toka tz yuko Warsaw university kama kuna wabongo wenyeji walioko hapo naomba contact.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dally Estate specializes in selling and renting of commercial, residential, beach front property and retail premises. We do this with an aim to provide a complete solution when buying Or...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Be a morden Lecturer by ditching the chalks and marker pens!! Model:Clearco HD9000 Model-with latest LCD Technology. Brightness: 1800 lumen!! Resolution: compatible with 1024*768 with a 800*600...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Tabata Segerea nyuma ya gereza la Segerea.Eneo wanita Bonyoko. Ukubwa wake ni nusu heka. kipo sehemu nzuri sana. bei ni Tshs. Mil. 15.8 kwa walio na nia ya kununua...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Hello Wanajamii, Kama wewe upo Tanzania, sasa unaweza kupata tovuti BURE kabisa, tena tovuti ya kisasa kabisa (professional and static) itayotengenezwa kwa kujali misingi yote ya taaluma hii...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Back
Top Bottom