WAKUU WA JF naomba msaada wa key Pruduct ya DVD PHOTO SLIDE SHOW PROFFESIONAL nime Download kwenye Google nimepata ya trial ya mwezi sasa imekwisha wameniambia ninunuwe sasa naomba msaada kama...
Mark II GR going at a very affordable price ... Only 4.5 M
Gari inaita sana, (Angalia picha hapo chini) imekuwa ikitumiwa kwa kwenda ofisini na kurudi.
Other Particulars:
Year: 1992...
Waungwana,poleni na kazi!! Nina swali nahitaji msaada!! Ningependa kufahamu about kampuni zinazo-deal na namba za simu zinazotumika zaidi kwa masuala ya bahati nasibu na mengine sawa na hayo. am...
Jamani naomba msaada kwa wale wanaijua Mwanza natafuta kiwanja Mwanza mjini ni sehemu gani poa, na unaweza kuilinganisha na wapi kwa Dar au Arusha?
Asante kwa watakao kuwa tayari kuchangia...
Laptop HP
Compact nx9030
Intel (R) Pentium (R) M
Processor 1.60GHz
590MHz, 224 MB of RAM
system
Microsoft Window XP
Professiona
Version 2002
Service Pack 2
Inauzwa 550,000/- pungufu unaongea...
Wakuu nauza starlet carat ya mwaka 1998 kutoka Japan imetembea klm 80,000.
eng. capacity 1300, imelipiwa ushuru na gharama nyingine.
nimetumia peke yangu for two years.
Anayehitaji...
LED Lighting Emitting Diode
Natafuta mtaalam nyumbani wa kunitengenezea LED Name Display. Nahitaji name diplay 2 zenye ukubwa wa kama 60 x 12 (inches).
Katika ku-google kwangu nimekutana na...
Kuna jirani yangu hapa anauza hii gari, nikadhani pengine yaweza kuwa ni dili nzuri kwa wana JF.
Mwaka: 2000
Imeingia Bongo: July 2009
Odometer: 86,000km
1500cc
Bei: 7.5m (non-negotiable)...
Bajaji Inauzwa bei Tshs.2,500,000/=. Bajaji ipo kwenye hali nzuri kabisa na inafanya kazi maeneo ya Africana. Usajiri wake ni kama Ifuatavyo:
Reg. No. T479 AXD
Coulour. RED
Accident History...
Bajaji Inauzwa Bei Tshs. 2,500,000/= Inafanya kazi Africana. Inahali njuri sana. Imetumika kwa muda wa Mwaka Mmoja tu mpaka sasa. Ilipata ajali mara moja, na ikafanyiwa ukarabati mkubwa so ipo...
Kipo Mbezi Kunguru karibu sana na shule maalufu nchini kwa kufaulisha watototo nchini iitwayo St Joseph Millenium Secondary. Unapitia njia ya Masaah Hospital kukiendea ukitokea Samaki wabichi...
Dally Estate specializes in selling and renting of commercial, residential, beach front property and retail premises.
We do this with an aim to provide a complete solution when buying Or...
Be a morden Lecturer by ditching the chalks and marker pens!!
Model:Clearco HD9000 Model-with latest LCD Technology.
Brightness: 1800 lumen!!
Resolution: compatible with 1024*768 with a 800*600...
Kiwanja kinauzwa kipo Tabata Segerea nyuma ya gereza la Segerea.Eneo wanita Bonyoko.
Ukubwa wake ni nusu heka. kipo sehemu nzuri sana.
bei ni Tshs. Mil. 15.8
kwa walio na nia ya kununua...
Hello Wanajamii,
Kama wewe upo Tanzania, sasa unaweza kupata tovuti BURE kabisa, tena tovuti ya kisasa kabisa (professional and static) itayotengenezwa kwa kujali misingi yote ya taaluma hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.