habari za hapa jukwaani wakuu, zinahitajika camera mbili kubwa za digital ziwe either cannon au nikon mwenye nazo achangamke faster, mpya au used(in good condition)
Mkubwa, si watu binafsi, si makampuni makubwa (Voda wana tangazo la rates za zamani wakati washashusha bei nusu, can you believe that), sio vikampuni vya mom-and-pop, wote advertisement ni zilch. Ukipita upcountry road ya kati (Dar-Dodoma-Mwanza) njia nzima biashara ni moja, "Pata Asali Mbichi." I'm like, ok, what the cluckerfcuk is asali mbichi, and why is it better, never got the answer.Wabongo bana tangazo gani hilo lisilo na kichwa wala miguu na ndio maana mambo yanatushinda,hilo tangazo ni kama tangazo la Twiga simenti,unatakiwa utoe maelezo kama hiyo kamera ni kwa ajili ya picha still au video na unazihitaji kwa kazi gani ili hata anayekuletea aweze kukuletea kamera inayofaa kwa hiyo kazi kwa mfano je ni kwa ajiri ya hafla ya kuzaliwa mtoto au ni kwa ajili ya picha za documentary n.k si ajabu ndio maana Wakenya wanatupita kwa kila kitu,hata mtu unapotangaza kuwa jamaani eh nataka mtu alete glass kuna tenda lazima ueleze ni glass za aina ipi je ni za kunywea waini au biere au za kupimia njegele
kuna nikon P90 hapo bongo. Piga simu 0752417783