RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Mambo vipi humu ndani?
Wanajamii mwenzenu nataka kununua gari 4WD, ammbayo ni Landrover discovery, please naomba kwa wenye uelewa mnisaidie kuchambua ni aina gani/version ipi ya discovery ni bomba?kuendesha Dar na mara chache sana (almost twice per year) kwenda mikoani. nitafurahi kama utainclude usage(fuel), maintenance costs, confortability,reliability,appearance etc! japo waweza pia kunishauri mbadala wake kama ni muhimu, mwenzenu sijui kabisa issue za magari!
Wanajamii mwenzenu nataka kununua gari 4WD, ammbayo ni Landrover discovery, please naomba kwa wenye uelewa mnisaidie kuchambua ni aina gani/version ipi ya discovery ni bomba?kuendesha Dar na mara chache sana (almost twice per year) kwenda mikoani. nitafurahi kama utainclude usage(fuel), maintenance costs, confortability,reliability,appearance etc! japo waweza pia kunishauri mbadala wake kama ni muhimu, mwenzenu sijui kabisa issue za magari!