Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana JF kuna nyumba ya vyumba 3, sitting room, dinning, kitchen, choo + bafu. pia ina uwanja mkubwa unaotosha kujenga nyumba nyingine. nyumba ipo kimara mwisho-ghorofani, mita 20 kutoka barabara...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
appartment ya two bed room,sitting room,kitchen na toilet inapangishwa ipo maganga estate veternary area,formely tazara flats.bei inaanzia 180,000 per month call 0715791130 mr kazmir
0 Reactions
7 Replies
2K Views
??????????
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Imesajiliwa tarehe 22/07/2010, silver, 2001, St 21 3s petrol, 83226 km, automatic, Bei 7.5mil kwa maelezo zaidi au kuiona au maelewano piga simu 0717114409 au 0755312233
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Pikipiki aina ya XL 125 cc inauzwa kwa shilingi za kitanzania 1,500,000 (milioni moja na nusu). Kwa mawasiliano piga simu namba 0755 498013.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF kuna nyumba ya vyumba 3, sitting room, dinning, kitchen, choo + bafu. pia ina uwanja mkubwa unaotosha kujenga nyumba nyingine. nyumba ipo kimara mwisho-ghorofani, mita 20 kutoka barabara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nipo bunju vikawe ili kupata specification ya viwanja nilivoeleza asubuhi leo. Kuna viwanja vingi ila nilivyothibitisha ni hivi. 44x25 sh 1500000, 39x25 sh 800000, 39x21 sh 800000, 33x32 sh...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nyumba inapangishwa Mjini Dodoma
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Prado RZJ 95W ya mwaka 2001, inauzwa tshs 25,000,000/- (Fixed). Hakuna Dalali. Piga 07181 68886 au 0754 570 250. Picha zake hizi hapa attached
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wenyeji wa Tabora na zaidi kwa wilaya ya Urambo na waumini wa kanisa la Moravian Church jimbo la Magharibi, nasikitika kuwatangazia kifo cha Mchungaji Samuel Silanda Sambali kilichotokea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamii Nauza gari aina ya toyota Ipsum tourer 1999, nimeitumia kwa muda wa miezi 11 toka niiagize japan, imetembea km 150,000 ipo ktk hali nzuri sana, bei 12Mil serious buyers contact...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari JF, Promotion kabambe ya Crank Box inaendelea. Crank Box ni jenereta ya ndogo mkono yenye uwezo wa kuwasha taa 3 aina ya LED. Faida zake ni nyingi. Haitumii mafuta ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WWW.UADILIFU.BLOGSPOT.COM Wakati natafuta tafuta Blog za Kudumisha maadili nimekutana na hii blogu Mpya www.uadilifu.blogspot.com Imenivutia kwa makala zake zenye nia ya kujenga kizazi chema...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Fanya kazi mahali popote, kuwa mjasiliamali wa Kimataifa na Umiliki maisha yako mwenyewe, bila kuacha kazi au shughuli yako ya sasa! Tunatoa mafunzo, tutakusaidia na kukuongoza kufikia malengo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
FREMU YA BIASAHRA INAPANGISHWA IPO ENEO LA CHANGOME KATIKATI YA MADUKA MAWILI NA KITUO CHA BASI CHA BORA. INAFAA KWA OFISI, DUKA LA VIPODOZI, DUKA LA CHAKULA, DUKA LA VIFAA VYA UJENZI /NK. BEI YA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jf kuna nyumba inauzwa ipo Magomeni Kagera -DSM ina vyumba 9,Inafaa kuwa Hosteli, Guest,Godown,Kuishi 3 Familia,Kiwanda Kidogo cha Printing,Kusaga na Kupaki Nafaka Etc. Mita 100 kutoka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunatengeneza milango ya aina mbali mbali kwa kutumia mninga mkongo na mvule bei zinatofautiana kulingana na aina ya mlango bei zina range Tsh 250,000-300,000 kwa mlango mmoja.finishing yetu ni...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Natarajia kusafiri kwenda ughaibuni kwa miezi 3 hivi, nahitaji insurance kunicover kwa muda huo. Mwenye kujua naomba anisaidie wapi naweza kupata travel insurance.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watumiaji wa email kupitia http://www.hotmail.com, kuna watu matapeli ambao wanatuma jumbe za kukutaadharisha kuwa kuna matatizo katika anuani pepe yako na wanakutaka utume maelezo yako binafsi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza compactor mashine 2 zina engine ya HONDA kwa maulzio zaidi piga namba hii 255784280551
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…