Hello Wanajamii,
Kama wewe upo Tanzania, sasa unaweza kupata tovuti BURE kabisa, tena tovuti ya kisasa kabisa (professional and static) itayotengenezwa kwa kujali misingi yote ya taaluma hii...
Habari za majukumu wanaJF, leo nimeletewa gari na ndugu yangu nikaambiwa inauzwa Tshs. 35m (Maelewano yanakaribishwa)
VX yenyewe ni used ya Japan, ni diesel engine, ina Cc 4553, ya mwaka 1995...
Ndugu Wadau wa elimu naomba nakala ya elektroniki ya Takwimu hizo ambazo zimekwishatoka. Kwenye mtandao huu wa Wizara ya Elimu zipo za mwaka 2008 na miaka ya nyuma tu...
Jee, Unaa Tengeneza nyumba ??
Unahitaji Milango na ma dirisha za sliding za kisasa na kwa bei poa ??
We deal in Sliding Windows / Doors and Partitions.
Special of UPVC (Rust Proof, Washable and...
[b]digital video camera (handycam,camcoder) inauzwa .
Ni mpya ya sony , latest model dsr-sr45
features:internal hard disk 30gb.inarekodi hadi masaa 30,touch screen,portable,documents,manual...
Mitsubishi Chariot yenye injini ya Toyota Rav 4....3s inauzwa. Ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha. Ina muziki mzito. Ina nafasi kubwa ndani kiasi cha kubeba familia ya wastani. Rangi yake...
Wakuru habari za usubuh?
namalizia kujenga kabanda kangu sehemsehem, ili kukafanya kawe tundu zuri la kupumzika baada ya kazi ngumu za shamba, ningependa kufunga karuninga kabig kiasi na gagets...
Waheshiwa naomba msaada wa mawazo,
Tafadhali nielekeze ninapoweza kupata DVD au VCD za tuition za watoto wa kati ya miaka 3 hadi 8. Ziwe ni zenye maudhui ya shule, zenye kufundisha kiingereza...
Habari wana JF. Natafuta mashine ya kukoboa na kusaga inayotumia diesel kwani nataka kupeleka kijijini ambako umeme haupo na watu wanatembea umbali mrefu kwenda kupata huduma hiyo.
Mwenye idea...
1. Toyota Rav 4 manual model ya 1995 silver milango mitano. Bei 5.5mil.
Wai usichelewe.
kwa maelezo zaidi tuwasiliane kupitia simu na 0717114409 au 0755312233 au 0784225000
ciyt centre Dar es Salaam along Sokoine Drive. 3 Bedrooms.The apartment is situated behind kilimanjaro Hotel. Renting for USD 1000 per month payable annually. For more information contact Mr...