located:Dar es Salaam, Tanzania, Msasani. It has been separated by USA Embassy which makes it to be a very secured house. It has 2 bedrooms situated upstairs whereby on the ground floor there are...
ROOMS 2 ZA KULALA, SITTING ROOM 1, CHOO NA BAFU (si lazima iwe self contained, but ni vizuri pia kama itakuwa self), fenced/ parking ndogo, umeme na maji, sehemu yoyote accessible, preferably...
Wimbi la askari kuuana kwa wivu wa mapenzi limeendelea kushika kasi nchini kufuatia tukio jingine la skari polisi, Mwajabu Ramadhani (22), mkazi wa Babati, mkoani Manyara, kuuawa kwa kupigwa...
kwa wale kinamama na wanaharusi ambao wanataka kujipamba,kuna mtaalamu hapo tanga anayeshughulika na kupaka hina kwa bibi harusi na pia kwa wale ambao wanataka kupaka kwa occasion mbalimbali kama...
Ndugu Wana JF,
Napenda kuwafahamisha kuwa mimi ni mjasiliamali nipo huku Hong Kong na Japan, na nina deal na magari pamoja na electronics, kuna gari aina ya RANGE ROVER HSE inauzwa bei poa...
Ndugu wana JF, Kuna nyumba yangu ipo kimara kilungule karibu na uwanjani. unaweza kushukia korogwe au kimara mwisho ukipenda. nyumba ina vyumba vitatu, sitting room, choo na bafu, na jiko. nyumba...
KWA MTU YEYOTE ANAYEHITAJI MBWA (PUPPIES) WA KUFUGA/ULINZI MBWA HAO WAPO MAENEO YA SINZA.
Information:
Breed: GERMAN SHEPHERD
Colour: Brown/Black
Sex: Male & Female available (few...
Wana JF, mwenye ka laptop kenye average specs,na moderate speed kwenye internet,used of course BUT NOT DEFECTIVE,nanunua kwa 500,000. Niliipata kwa bei poa zaidi tofauti nitachangia kwenye JF.
Iwe...
Jamani ninatafuta toyota collora wadau,iwe na sifa zifuatazo:-
1.iwe ni 110 au 111 ya atleast mwaka 1999 na kuendelea.
2.kama ni used iwe angalau imeingia nchini mwezi wa 5 mwaka huu.
3.iwe...
A/alaykum kwa yoyote yule mwenye kutaka kununua ice cream machine ninazo 3 kutoka uk model taylor manufacture usa ninazo katika godown langu zanzibar pamoja na gari kabila gulf vw kwa maelezo...
Nyumba ya vyumba viwili self contained,sebule,jiko zinzhitajika maeneo ya Bwiru,Kirumba,Nyamagana,Nyegezi,maeneo ya CBE Mwanza na viwanja na mashamba vinahitajika pia maeneo ya...
NYUMBA NA KIWANJA CHENYE UKUBWA WA EKA 1 VINAUZWA MAENEO YA MBEZI BEACH KARIBU NA SHULE YA GREEN ACRE .
ENEO LINA USALAMA WA KUTOSHA.
KWA WANAOHITAJI NITUMIE EMAIL UNITAJIE NAMBA YAKO YA SIMU...
I'm looking for a Cisco serial cable CAB-530MT, new/used any Jamii member who have or can assist wea to get it i will appreciate, zungu.business@gmail.com
Thenki yu!
Kwa anayejua, anisaidie (One-Way) fares za precission air toka miji ya;
Dar - Zbar
Zbar - Arusha
Arusha - Dar
...Wanayo website lakini haijakamilika,
Natanguliza shukrani.
Kwaniaba ya rafiki yangu,anatafuta nyumba ya kununua dar maeneo ya kimara,tabata,chan'gombe etc bajeti yake sh mil 30,iwe kubwa na nzuri,pia iwe na nafasi kiasi ,isiwe uswahilini, matengenezo yawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.