Utapigwa ban kwa kupinga mtu asile banSasa si angeambiwa tu kuwa si kweli!
Mi huwa nashangaa sdana humu JF. Sometimes, watu humu huwa wanaandika vitu ambavyo havina uthibitisho na kubandika mapicha ya uchi kwenye majukwaa ambayo hata watoto wanayapitia lakini hatuoni kupewa Ban.
JF imekwisha kuchakachuliwa!Utapigwa ban kwa kupinga mtu asile ban
Burn nae kafanya nini jamani?
huyu huwa wanatamani hata kumnyonga kabisa
Mimi binafsi sipingi watu kufungia au kupewa Ban, ila ninachokitaka ni kujua tu, makosa yapi yanaendana na adhabu ipi, basi ni ilo tu.Kila sehemu ina taratibu,kanuni na sheria zake,so tuzifuate ili tuwe salama,ama mnataka JF iendeshwe kama TANZANIA inavyoendeshwa
moderators nadhani endeleeni na kautaratibu,kanuni na sheria zenu mlizojiwekea
tupo nanyi kwa maslahi ya Wana Jf na Jf kwa ujumla
mapinduziiii daimaaa:ban:
Sasa si angeambiwa tu kuwa si kweli!
Mi huwa nashangaa sdana humu JF. Sometimes, watu humu huwa wanaandika vitu ambavyo havina uthibitisho na kubandika mapicha ya uchi kwenye majukwaa ambayo hata watoto wanayapitia lakini hatuoni kupewa Ban.
Nilipozungumzia picha za utupu ndani ya Jf, nilikuwa namaanisha kwenye majukwaa ambayo uitaji vibari kutoka kwa Mods, mfano kuweka picha za utupu jukwaa la mapenzi, au jukwaa la picha au jukwaa la jokes na utani... uko ndiko ninakopigia kelele mie na si jukwaa la mambo ya kikubwa mpaka uombe ruhsa.Hivi watoto kupitia porn sio tatizo la mzazi? Inakuwaje mtoto awe na uhuru wa kutumia internet kwenda kwenye kila site, inaweza kuwa hata kwenye site nyingine natumaini hili ni swala la parents na siyo la JF. Kwa sababu huwezi kuingia kwenye forum ya mambo ya kikubwa bila kuomba. Vile vile on the other note si ndio utandawazi ambao wengi wanasema ndio maendeleo.
Mimi binafsi sipingi watu kufungia au kupewa Ban, ila ninachokitaka ni kujua tu, makosa yapi yanaendana na adhabu ipi, basi ni ilo tu.