Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Landrover Free Lander Mileage 68,000miles only Engine is in immaculate Condition UK Import Model 2004 Owned and driven by a lady Driven in Urban/Town Roads only Car is in Dar Bei ni Tshs.14...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1200 sq.meters, with clean papers. Price Tshs 130mil. CALL:+255 784 225 000
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hi wandugu, Naomba kuulizia ,Ninataka kusafirisha vitu vyangu hapa USA kuvileta Arusha nyumbani kama kuna mtu ambaye ameshawahi kusafirisha container kutoka hapa USA to Mombasa Kenya alitumia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIWANJA VIZURI VIKO MBEZI LUIS 20*20 1.5Mil, 22*24 2Mil, 25*35 3Mil. (CALL 0718334726)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Iphone 3GS 16GB Unlocked inapatikana Arusha kwa 550,000/=..ilianguka na kuweka Crack kwenye Screen kama inavyoonekana kwenye picha. Touch Sensitivity bado ipo vizuri na simu inafanya kazi kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada wetu, naomba mnijulishe kuhusiana na mashirika yanayokodisha magari (nataka gari la kukodi) kwa Dar es Salaam. Nitafurahi kama mtanijulisha na gharama zao zilivyo kwa siku...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Wana JF natafuta nyumba ya kunua Dar maeneo ya Magomeni mikumi, kagera au mapipa, naomba msaada wenu hata kama ni nyumba chakafu nimepata visenti kidogo, je naweza kupata nyumba maeneo hayo kwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wapendwa kwa bahati mbaya nilipoteza laptop ya ofisini, nahitaji laptop aina ya Samsung 2 GB, used size ya kati sio mjuzi sana kwenye screen size, mwenye nayo naomba anipigie 0656205308.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
840 sq.meters. Price Tshs 16mil. CALL:+255 784 225 000
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimepigiwa simu na mtu namba zake ni za Airtel katika kuongea kaaza kunitukana sasa ninataka kujua huyu mtu ni nani nitumie njia gani kumpata
0 Reactions
15 Replies
3K Views
wadau nisaidieni, naomba kama mwenye details zozote kuhusu hili, nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala (kimoja kikiwa self contained itapendezazaidi), sebule kubwa ya kutosha, na stoo. pia kama meter...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za wakati na salamu za sikukuu ndugu wanajukwaa la jamii, Tunayofuraha sana kujitambulisha kwenu na kwa umma wa watanzania waishio ndani na nje ya mipaka yetu ya kijiografia, Darproperty...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nahitaji mashine ya kukobolea mpunga (SB-50 Rice Mill machine) kuna yoyote anaejua bei zake kwa sasa na inapo patikana na contact zao? natanguliza shukran
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi Waheshimiwa,nahitaji kujua wapi naweza pata au mwenye Toyota Starlet ya bei ya kuridhisha ili mradi iwe haijatembea hapa kwetu and unregistered, Year 2000 or latest,manual /automatic,white...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja/viwanja vinauzwa kwa ujumla. Hekari 20 kwa mil 70. Eneo lipo kiluvya maeneo ya kwa Sumaye(waziri mkuu mstaafu). Ni umbali wa kilomita 9 toka barabara ya Dar-Morogoro. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf! Kuna kiwanja chenye hati kinauzwa bei chee kiko kipawa mpya aka kwa mbike na kiko tambarare ni vile viwanja waliopewa watu waliohamishwa kipawa kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ipo Kimara Temboni Saranga. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, gereji na jiko. Haijakamilika. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 34 kwa 26. Bei shilingi 25mil. Maelewano yapo. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SHIMI ENTERTAINMENT tunatoa huduma za Music na MC, Photo and Video Shooting kwenye sherehe na shughuli mbalimbali. Pia tunafanya promotion za bidhaa mbalimbali kwa street music na dancers. SHIMI...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kipo KIBAMBA CCM. Kina ukubwa wa heka moja. Kipo mita 50 kutoka barabara ya Morogoro. Bei shilling 20mil. Kwa maelezo ya ziada piga simu 0717114409.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
. Ipo Mbezi Shamba kwa mzungu pembezoni mwa barabra iendayo Mbezi Makabe. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 29 kwa 27 Ina vyumba vitatu vya kulala, masta na jiko. Haijakamilika. Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom