Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Two plots for sell located at Mbezi makabe,size of each plot 24x25 and the price per plot Mill 2.5,for those who are interested call 0713876210
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wenye hizi habari waniambie jamani nimesikia kuwa Dr. Remmy Ongala amefariki nipeni deatail sina habari zozote kuhusu kifo cha Dr. Remmy Ongala
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Jamani nauza M/Benz chassis # 124 engine 102, cc 2000 ya mwaka 1988 iko katika hali nzuri, bei ni poa, nauza ili ninunue pick up kwa ajiri ya shughuli za shamba. Iko Iringa..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mi natafta sehemu naweza pata remote ya LCD LG tv yangu,,,, naomba msaada kama hizi remote huwa zinaingiliana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu heshima mbele ninatafuta mbwa 2 wakufuga wale wanaosemaga wa police wenye mafunzo ya kupambana na wahalifu najua hapa jamvini akikosekani kitu pls wenye kujua haya tujuzane
0 Reactions
40 Replies
7K Views
These lands are situated in the beautiful area of Upanga, Osterbay, Ada Estate, Regent Estate, Mwenge, Msasani Peninsula, Kigamboni, Kawe Beach, in Dar es Salaam, Tanzania, East Africa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji gari Suzuki Curry ya kununua. Bei isizidi 6.5m na iwe ktk hali nzuri na rangi iwe nyeupe(white).
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi Wanajamii Jamani naomba ushauri wenu nataka nunua gari aina ya VOLKSWAGEN POLO/GOLF, naomba ushauri wenu kwa wale wanao yajua magari ya kijerumani. Kaeni imara.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
VINAHITAJIKA VIFAA VYA BAJAJ MATAIRI MATATUL VIFUTAVYO i-foko ii stelingi nzima (steering complete) NB vipya vinapatika ila natafuta vya bajaj ilokwisha lakini vyenye hali nzuri kwa mfano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ANATAFUTWA MTU MWENYE UMAKINI ATAKAYEENEDESHA PIKIPIKI YA BODABODA UWE NA LESENI YA KIWANGO ANAGALAU CHA KUENDESHA PIKIPIKI. UTATAKIWA ULETE TSHS 60,000/= KWA WIKI (NO EXCUSES). SERVICE ITAFANYWA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niaje washkaji? Nisaidieni natafuta playstation 2 iliyotumiwa na bei ndogo au duka gani zinauza bei ndogo zaidi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Imeingia nchini ina mwezi, imeshakatiwa motor vehicle na insurance, ni ya cc 1760, 4 cylinder, imetembea kilomita 56,200, bei 11mil, ingawa biashara mazungumzoo, picha soon nitaweka. Kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wanaohitaji biogas kwaajili ya kupikia tuwasiliane @ solutionartz@yahoo.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana janvi nimeamua kujiajiri na kuanzisha garage katika kujikwamua kiuchumi kama kijana baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na kampuni ya scania kwa muda mrefu,nimeajiri pia vijana wenzangu...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari zenu wadau, natafuta simu nzuri yenye internet lakini isiwe blackberry, na isiwe touchscreen, natumia mtandao wa tigo, kwenye tigo kama unatumia blackberry unaweza kulipa elfu 20 na ukapata...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
... My answer is iPad. What about you?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Make: Daihatsu model: Terios colour: Dark red mica body type: Station wagon yamwaka 1996 bei maelewano ipo kwenye hali nzuri kwa mawasiliano 0715 290116
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nauza 42'' LG LCD TV brand new just imported from UK price Tsh 2M Pia kuna 32'' SAMSUNG LCD brand new just imported from UK price Tsh 1.5M Please contact me through pm if ur interested,prices are...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu natafuta hii simu kwa hapa Bongo. Naomba kujua bei ni kiasi gani na ninaweza pata duka gani kwa hapa Mjini. Natanguliza Shukrani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Headquartered in Dar es Salaam, Tanzania – the heart of corporate vibrancy - Genesis Consult Ltd provides superior consulting services, challenging industry standards by serving various...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom