msaada wana Jf

msaada wana Jf

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
491
Reaction score
180
nahitaji mashine ya kukobolea mpunga (SB-50 Rice Mill machine) kuna yoyote anaejua bei zake kwa sasa na inapo patikana na contact zao? natanguliza shukran
 
Mpendwa sina uhakika saana na wala sifahamu bei zake ila ukiwasiliana na SIDO -Moshi wanaweza kukusaidia hata kama hawana wao zilipo watakwambia,wasialiana na Munuo yupo SIDO-Moshi namba zake za simu ni 0754 92 93 24
Naamini utafanikiwa
 
Back
Top Bottom