Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
Wakuu habari!
Mdau yeyote mwenye taarifa ya nyumba ya kupanga maeneo ya Kimara,Ubungo au Mwenge. Iwe na sifa hizi:
Njia ya mawasiliano, PM
Asanteni bandugu!
Mdau yeyote mwenye taarifa ya nyumba ya kupanga maeneo ya Kimara,Ubungo au Mwenge. Iwe na sifa hizi:
- - Vyumba vya kulala 2 au 3 (+ 1 Master bedroom); Sebule, dining, public toilet, jiko
- - Iwe ndani ya fence
- - Iwe na Parking space
- - Isiwe mbali sana na barabara kuu na iwe inafikika kwa gari kirahisi
Njia ya mawasiliano, PM
Asanteni bandugu!