Used computer dodoma!!!!

Used computer dodoma!!!!

stymo

Senior Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
118
Reaction score
15
Monitor-hp flat screen-ila ina kichogo..
Cpu-dell 40gb, 512 mb ram

processor 2.53

tsh 240,000....haishuki, nimeshaishusha sana tuu... 🙂
 
Sasa mimi na wekundu wa jk 15. Yani laki unusu. Kama uko tayar tuwasiliane simu 0757922293, nko kwa rostam igunga
 
Kutokana na ugumu wa maisha na bei mafuta kutoeleweka and etc,... Kama mzalendo ninayependa technologia hii ikue zaidi..... nimeamua kupunguza buku 10, basi 230,000/=...ila sasa itakuwa wa kwanza kuja kuchukua mzigo ndo wake...namba 0717790034....Stev
 
Back
Top Bottom