Quinty
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 462
- 74
Ndugu zangu wanajamvi habari zenu.?
Natafuta nyumba ya kupanga nzuri ya kupanga.
- Chumba kimoja na sebule au zaidi,
- Kodi isizidi Tshs. 100,000/- kwa mwezi,
- Iwe self contained,
- Iwe na umeme,
- Maji yawepo,
- Iwe sehemu yenye usalama,
- Iwe ndani ya geti,
- Isiwe nje ya mji sana.
Maeneo ninayotaka kama vile Kigamboni, Kinondoni, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi zote, Mwenge, Sinza, Upanga, Ubungo,Tabata nk.
Tafadhali mwenye kujua anipm nashukuru sana.
Natafuta nyumba ya kupanga nzuri ya kupanga.
- Chumba kimoja na sebule au zaidi,
- Kodi isizidi Tshs. 100,000/- kwa mwezi,
- Iwe self contained,
- Iwe na umeme,
- Maji yawepo,
- Iwe sehemu yenye usalama,
- Iwe ndani ya geti,
- Isiwe nje ya mji sana.
Maeneo ninayotaka kama vile Kigamboni, Kinondoni, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi zote, Mwenge, Sinza, Upanga, Ubungo,Tabata nk.
Tafadhali mwenye kujua anipm nashukuru sana.