Natafuta nyumba ya kupanga

Natafuta nyumba ya kupanga

Quinty

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
462
Reaction score
74
Ndugu zangu wanajamvi habari zenu.?
Natafuta nyumba ya kupanga nzuri ya kupanga.
- Chumba kimoja na sebule au zaidi,
- Kodi isizidi Tshs. 100,000/- kwa mwezi,
- Iwe self contained,
- Iwe na umeme,
- Maji yawepo,
- Iwe sehemu yenye usalama,
- Iwe ndani ya geti,
- Isiwe nje ya mji sana.
Maeneo ninayotaka kama vile Kigamboni, Kinondoni, Kijitonyama, Mikocheni, Mbezi zote, Mwenge, Sinza, Upanga, Ubungo,Tabata nk.
Tafadhali mwenye kujua anipm nashukuru sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom